Kama $400,000 zinazalisha 400 megawat- Rusumo Falls , je kwanini Serikali inakubali kutumia $2.9bn kuzalisha 2100 megawatts?

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,336
5,571
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni cahache sane lakini ikakubali kujenga kwa pesa nying nyingi sana kwa mradi wa Rusumo?
 
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni nyingi sana???
Endelea na tafiti, utajijibu mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni nyingi sana???
Mkuu umeme WA maji huzalishwa kutegemea na height ya hilo dam, sasa Rusumo height tayari ipo yaani ni maporomoko wakati Rufiji maporomoko yatatengenezwa
 
Kwa wale tuliobobea kwenye miundo mbinu - megawatt (MW) moja inagharimu takriban dola milioni moja (USD 1,000,000).

Hichi ndio kikisio tunachotumia cha juu juu.

Megawatt 2,100 ingegharimu around USD 2.1 billion lakini inawezekana kuna gharama nyingine kubwa zaidi specific kwa hiyo sehemu ya mradi.
 
Tuwekee structure zote mbili tulinganishe vzr
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni nyingi sana???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni cahache sane lakini ikakubali kujenga kwa pesa nying nyingi sana kwa mradi wa Rusumo?
Moderator badilisha title isomeke 400,000,000 $ badala ya 400,000$ kwenye title
 
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni nyingi sana???

Ungeandika kwa kiingereza ungepata majibu maana serikali ya mzee baba ipo kwa RAS SIMBA kujifunza kiingereza kuweza kumjibu Lissu baada ya Masilingi kuchemsha VoA. Post yako ingekuwa uwanja wa kujipima kama sasa wamefaulu English.
 
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni cahache sane lakini ikakubali kujenga kwa pesa nying nyingi sana kwa mradi wa Rusumo?
Watakuambia kuwa kuna uvunaji wa miti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kim
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni cahache sane lakini ikakubali kujenga kwa pesa nying nyingi sana kwa mradi wa Rusumo?
Kimla, hesabu zako hazijakaa sawa kabisa $400,0000 au $400,000,000 kajifunze kuandika ndiyo uje uposit upupu wako hapa.
 
Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni cahache sane lakini ikakubali kujenga kwa pesa nying nyingi sana kwa mradi wa Rusumo?
HEBU TULIA ANDIKA UPYA UZI WAKO....HAUELEWEKI KABISA
 
Najiuliza kama serikali itatumia dolla 2.9 Billion kuzalisha megawat 2100 Rufiji, kwanini ilikubali kwa kushirikiana na nchi za Rwanda, Burundi kulipa dolla 400 Million kuzalisha Megawatt 80 Tu huko Rusumo Falls.

Ukitumia hesabu za ulinganisho ni kwamba Gharama harisi za kuzalisha Megawatt 2100 ilitakiwa iwe dolla 10.5 billion. Je nini kimefanya tujenge kwa bei ndogo sana rufiji lakini tukakubali kulipa bei kubwa rusumo?

Au kutafanyika adjusment baadaye kuongeza Gharama kwani labda serikali iliogopa kukuabliana gahrama zote zitajwe nakuandikwa kwa kuogopa siasa zilizopo sasa? Wadau tujadili
 
Mleta mada tupe uzoefu wako katika masuala yautekelezaji wa miradi ya uzalishaji umeme kwa njia ya maji yanayotiririka. Ikikupendeza tupe na kiwango chako cha Elimu katika masuala hayo hayo ya uzalishaji umeme kutokana na kutiririka kwa maji!

Karibu
 
Hizo $400m dollar ni mchango wa nchi tatu si Tanzanian wanayoa zote na ni mkopo toka world Bank... Kila nchi itapata MG kutokana na % ya mkopo waliochukua WB.....taarifa zaidi nenda website ya wizara ya ujenzi za Rwanda,Burundi na tz na website ya WB hizi information zipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom