Elections 2010 Kama 27% ndio waliopiga kura, je kweli huyo rais anakubalika kweli?

Mubezi

Member
Sep 27, 2010
71
23
Nimekuwa nikifatilia matokeo ya urais kwa makini,kuna mambo mengi yametokea,kama kuaribu kura za dr slaa,wizi wa kura,mpaka ikafikia watu waliopiga kura hawakuvuka aslimia 30,ikiwa ina maana kuwa karibu 73% hawakupiga kura,swali je kama asilimia 73% ya watanzania hawakupiga kura,je kiongozi aliyechaguliwa ni wa kweli na anakubalika?
 
Nimekuwa nikifatilia matokeo ya urais kwa makini,kuna mambo mengi yametokea,kama kualibu kura za dr slaa,wizi wa kura,mpaka ikafikia watu waliopiga kura hawkuvuka aslimia 30,ikiwa ina maan kuwa karibu 73% hawakupiga kura,swali je kama asilimia 73% ya watanzania hawakupiga kura,je kiongozi aliyechaguliwa ni wa kweli na anakubalika?
Hata angechaguliwa na 5% ya raia, hiyo haina shida yoyote, Rais atatawala kwa Power zote, ili mradi wale ambao hawakupiga walifanya hivyo kwa hiari yao, maana huwezi kumlazimisha mtu kwa polisi aende kituoni kupiga kura!
Shida inakuja kama kura zenyewe hizo30% zilikuwa za HAKI NA HURU?..hapo ndio panapogomba!
 
Hata angechaguliwa na 5% ya raia, hiyo haina shida yoyote, Rais atatawala kwa Power zote, ili mradi wale ambao hawakupiga walifanya hivyo kwa hiari yao, maana huwezi kumlazimisha mtu kwa polisi aende kituoni kupiga kura!
Shida inakuja kama kura zenyewe hizo30% zilikuwa za HAKI NA HURU?..hapo ndio panapogomba!
ukweli ni kwamba kura nyingi za haana zinaweza kuwa zimetupwa... kingine ni ile inflation ya 5M votes ambayo walikosa uchakachuaji, na pia watu waliopiga kura walikua wachache sana
 
Hata angechaguliwa na 5% ya raia, hiyo haina shida yoyote, Rais atatawala kwa Power zote, ili mradi wale ambao hawakupiga walifanya hivyo kwa hiari yao, maana huwezi kumlazimisha mtu kwa polisi aende kituoni kupiga kura!
Shida inakuja kama kura zenyewe hizo30% zilikuwa za HAKI NA HURU?..hapo ndio panapogomba!
PJ credibility ya kuchaguliwa ni pamoja na idadi kwa asilimia ofcourse, kama karibu 70% hawakushiriki lazima u query, kuna vita? mfuriko? au nchi inatawaliwa kijeshi lazima uje na sababu zenye nguvu.
 
ukweli ni kwamba kura nyingi za haana zinaweza kuwa zimetupwa... kingine ni ile inflation ya 5M votes ambayo walikosa uchakachuaji, na pia watu waliopiga kura walikua wachache sana
Najua CCM walitegemea uchakachuaji kuwa ule wa kizamani wa kuongeza kura vituoni lakini huo ukashindikana watu walikuwa makini kama walifanikiwa ni kwa idadi ambayo hawakutegemea, kilichobaki ni kuitumia NEC kubadili figure kwa nguvu kitu ambcho wizi huo ni rahisi kuonekana zaidi ya ule wa kuongeza kura vituoni.
 
Tulikuwa tukihubiriwa hivi:

Jumla ya wapiga kura kwenye Daftari ni 19 000 000

Kama 27% ndio waliopiga, basi hiyo ni = 5 130 000

Kinana na Makamba wanajitapa: "Tuna mtaji wa wanachama 4 000 000 nchi nzima."

Kwa hiyo ndiyo kusema: Watu 1 130 000 pekee ndiyo ambao si wana - CCM ambao wameshiriki uchaguzi mwaka huu. Na hawa wanaweza kuwa wanachama wa vyama fulani ama wasiwe na chama kama mimi.

Huu ni uzandiki.


Huu pia ni ushahidi mwingine kuwa siku za CCM kuitawala Tanzania zinahesabika.
 
Tulikuwa tukihubiriwa hivi:

Jumla ya wapiga kura kwenye Daftari ni 19 000 000

Kama 27% ndio waliopiga, basi hiyo ni = 5 130 000

Kinana na Makamba wanajitapa: "Tuna mtaji wa wanachama 4 000 000 nchi nzima."

Kwa hiyo ndiyo kusema: Watu 1 130 000 pekee ndiyo ambao si wana - CCM ambao wameshiriki uchaguzi mwaka huu. Na hawa wanaweza kuwa wanachama wa vyama fulani ama wasiwe na chama kama mimi.

Huu ni uzandiki.


Huu pia ni ushahidi mwingine kuwa siku za CCM kuitawala Tanzania zinahesabika.
mkuu, sikuwahi kudhani ntajiunga na chama cha siasa... lakini kwa mwendo huu... politics is too serious to be left to politicians alone
 
mkuu, sikuwahi kudhani ntajiunga na chama cha siasa... lakini kwa mwendo huu... politics is too serious to be left to politicians alone
Mkuu umeongea kitu kilichoenda shule, we can't let politicians alone to handle big issues like world economic.
 
mkuu, sikuwahi kudhani ntajiunga na chama cha siasa... Lakini kwa mwendo huu... Politics is too serious to be left to politicians alone

sure,even me together i join politca very soon next year and start runup for the next election for presdential candidate,bcoz what i see everyone is interesting in white house magogoni the area full of samaki stinking.....iam wrong..no..i remember verywell.
Good acid we will meet at the platform and i will give you a hint once i touch you at the finger.
 
mkuu, sikuwahi kudhani ntajiunga na chama cha siasa... lakini kwa mwendo huu... politics is too serious to be left to politicians alone

Tena wengi wao ni Std 7/ Form 4 leavers.

Tumewashtukia.
 
Nimekuwa nikifatilia matokeo ya urais kwa makini,kuna mambo mengi yametokea,kama kuaribu kura za dr slaa,wizi wa kura,mpaka ikafikia watu waliopiga kura hawakuvuka aslimia 30,ikiwa ina maana kuwa karibu 73% hawakupiga kura,swali je kama asilimia 73% ya watanzania hawakupiga kura,je kiongozi aliyechaguliwa ni wa kweli na anakubalika?

Acha kufuata namba za gazeti la Mwananchi, zina makosa mengi sana.

Turnout ilikuwa ya chini lakini sio hiyo 27%.
 
Tena wengi wao ni Std 7/ Form 4 leavers.

Tumewashtukia.
Sasa kama wengi ni wa kiwango hicho na ndio wanaotuamulia mwelekeo wa taifa letu kweli tutaziweza challenge za mataifa yaliyoendelea kama si kuburuzwa na kufanywa nchi tegemezi ni nini. Maana ukienda kuomba misaada kwenye nchi zilizoendelea kabla ya kukupa kwanza wanakusoma wewe IQ yako ndipo wanakupa, ukitoka huko unatamba umepata misaada kumbe umemeza ndoana bila kujua na kujitoa humo huwa nikazi kweli kweli. Mfano wa karibu ni mikataba, wanakuja wanasaini mikataba feki hata wao wanajua mikataba ni feki lakini wanajua hatuna uwezo wa kugundua na hata tukigundua itakuwa too late inabidi tuvunje na kuwalipa mamilioni ya dola.
 
Dataz please za turnout jimboni tuone jinsi wapiga kura wa Tanzania wasivyoona umuhimu wa zoezi la kupiga kura, mimi naanza na data huko Tabora za wasimamizi wa jimbo, wanaJF muongeze dataz hapa chini:
  1. Jimbo la Tabora kaskazini waliojiandikisha 87,281 waliojitokeza kupiga kura 20,600 yaani turnout ni 23.6% !
  2. Uyui Tabora waliojiandikisha 59,357 waliojitokeza kupiga kura 13,000 hivyo turnout ni 21.9% !
 
Hata angechaguliwa na 5% ya raia, hiyo haina shida yoyote, Rais atatawala kwa Power zote, ili mradi wale ambao hawakupiga walifanya hivyo kwa hiari yao, maana huwezi kumlazimisha mtu kwa polisi aende kituoni kupiga kura!
Shida inakuja kama kura zenyewe hizo30% zilikuwa za HAKI NA HURU?..hapo ndio panapogomba!

Pj ni kweli hata akichaguliwa kwa 5%. Lakini kwa 27% kujitokeza, wengi walikwisha kata tamaa maana wanajua hata wakipiga NEC itaiba kura ili kumsaidia kikwete, na wanajua Urais ni cheo kikubwa ambacho kikwete hakiwezi, wakaona bora wasipoteze muda kwenda vituoni.
 
Nimekuwa nikifatilia matokeo ya urais kwa makini,kuna mambo mengi yametokea,kama kuaribu kura za dr slaa,wizi wa kura,mpaka ikafikia watu waliopiga kura hawakuvuka aslimia 30,ikiwa ina maana kuwa karibu 73% hawakupiga kura,swali je kama asilimia 73% ya watanzania hawakupiga kura,je kiongozi aliyechaguliwa ni wa kweli na anakubalika?

Mwaka huu nilivyoona wapinzani walikuwa wamewabana sana CCM na Tume na kwa maana hiyo hao 23% ndio kama 95% ya waliopiga kura na 5% hawakujitokeza. Na hiyo 73% ndio ile hewa!

Pia ukumbuke kuna wakati wale wafanyakazi wa muda wa Tume waliokuwa wakifanya 'data entry and cleaning' walilalamikia malipo yao na nafikiri waliamua kuihadhibu NEC kwa kutokufanya entry na cleaning vizuri; sasa aibu ni yao! Safi sana!
 
Nafikiri vitambulisho vya kupigia kura viwe kwa kazi moja tu kupiga kura ili kupata idadi ya kweli yaani universal suffrage.
 
Siku watakapo pga kura wa2 almost 50% ndipo ccm itakaposhdwa kwa kishndo
 
Hata angechaguliwa na 5% ya raia, hiyo haina shida yoyote, Rais atatawala kwa Power zote, ili mradi wale ambao hawakupiga walifanya hivyo kwa hiari yao, maana huwezi kumlazimisha mtu kwa polisi aende kituoni kupiga kura!
Shida inakuja kama kura zenyewe hizo30% zilikuwa za HAKI NA HURU?..hapo ndio panapogomba!

Hawakuacha kupiga kura kwa hiari ila majina yao hayakuwepo wengine walionekana wamefariki wakati wengine vilelezo vya kadi za kupigia kura zilitofautiana na vielelezo vya orodha ya tume ya uchaguzi.Hitilafu zingine zilifanywa makusudi kama waraka aliouonyesha Dr.Slaa unavyoagiza.
 
Ngoja NEC watupe idadi ya waliopiga kura then tuanze hesabu za apa na pale
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom