Ndugu Ndelamio, acha uongo na uzushi. Mbona mambo ya vyama huko majuu yapo mitandaoni tu. Akina Trump tunasoma Twitter zao wakisema siasa za vyama vyao mara nyingi tu. Acha uongo.
Ndelamio, ukiona wanachama wa chama fulani cha siasa wanatoka na kusema issues za chama chao mitandaoni, wala usiumize kichwa chako ni kwa nini! Jua demokrasia na uhuru wa kueleza haipo ndani ya Chama. Demokrasia inaminywa.
Ujue Chama kinaongozwa na kimeshikwa na kakikundi ka watu wenye ubinafsi mkubwa. Wananeemeka kifisadi kwa kuwemo ndani ya Chama. Ndugu Mwesigwa ukimsikia iwapo wewe ni mtu mwenye hekima utagundua mtu huyu ni mzalendo kwa Chama Cha Mapinduzi CCM na Nchi.
Wewe unawasiliana na viongozi wako kwa kutumia means zote, but with no positive response from your party leaders. Ni haki kweli?
Sasa, ndugu Mwesigwa anapumulia wapi angalau kupunguza pressure na msongo wa mawazo kama siyo mitandaoni. Je, asungefanya hivi, nani angalijua uovu huu unaofanyika ndani ya Chama ambacho kimejijengea heshima kubwa ndani na nje ya Nchi?
Nachojua, viongozi wengi wa Chama cha Mapinduzi hawapo pamoja na visions nzuri za Rais JPM. Ndiyo maana waona mbali wanahofu kubwa mambo yatakavyokuwa baada ya 2025.
Sasa mpaka tuhuma hizi dhidi ya akina Polepole; kijana ninayemwamini kwelikweli. Jamani!
Mimi ni mwanaCCM tangu TYL.
Taifa letu limejipambanua kuwa linamtumaini Mungu wa kweli na aliye hai; i.e. Mungu wa Ibrahim, Isaka, na Yakobo. Taifa ktk hali yoyote linaliitia Jina la Mungu. Lakini tukumbuke, Neno la Mungu linasema, ... Kila aliitiaye Jina la BWANA na auache uovu.
Tukiendelea na unafiki, kikombe cha hasira ya Mungu kitakapojaa, Mungu atakiadhibu Chama na Nchi bila shaka.
Tujifunze kwa iliyokuwa KANU kwa jirani zetu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu mbariki JPM.
Ndelamio, ukiona wanachama wa chama fulani cha siasa wanatoka na kusema issues za chama chao mitandaoni, wala usiumize kichwa chako ni kwa nini! Jua demokrasia na uhuru wa kueleza haipo ndani ya Chama. Demokrasia inaminywa.
Ujue Chama kinaongozwa na kimeshikwa na kakikundi ka watu wenye ubinafsi mkubwa. Wananeemeka kifisadi kwa kuwemo ndani ya Chama. Ndugu Mwesigwa ukimsikia iwapo wewe ni mtu mwenye hekima utagundua mtu huyu ni mzalendo kwa Chama Cha Mapinduzi CCM na Nchi.
Wewe unawasiliana na viongozi wako kwa kutumia means zote, but with no positive response from your party leaders. Ni haki kweli?
Sasa, ndugu Mwesigwa anapumulia wapi angalau kupunguza pressure na msongo wa mawazo kama siyo mitandaoni. Je, asungefanya hivi, nani angalijua uovu huu unaofanyika ndani ya Chama ambacho kimejijengea heshima kubwa ndani na nje ya Nchi?
Nachojua, viongozi wengi wa Chama cha Mapinduzi hawapo pamoja na visions nzuri za Rais JPM. Ndiyo maana waona mbali wanahofu kubwa mambo yatakavyokuwa baada ya 2025.
Sasa mpaka tuhuma hizi dhidi ya akina Polepole; kijana ninayemwamini kwelikweli. Jamani!
Mimi ni mwanaCCM tangu TYL.
Taifa letu limejipambanua kuwa linamtumaini Mungu wa kweli na aliye hai; i.e. Mungu wa Ibrahim, Isaka, na Yakobo. Taifa ktk hali yoyote linaliitia Jina la Mungu. Lakini tukumbuke, Neno la Mungu linasema, ... Kila aliitiaye Jina la BWANA na auache uovu.
Tukiendelea na unafiki, kikombe cha hasira ya Mungu kitakapojaa, Mungu atakiadhibu Chama na Nchi bila shaka.
Tujifunze kwa iliyokuwa KANU kwa jirani zetu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu mbariki JPM.