Kaliua Saga: Vita ya Madaraka na uhuni wa wahuni

Mkuu ni kama umeyasema yale nliyotaka kuandika....

Nikiri mimi ni mwalimu, lakini kusema ukweli nawachukia walimu kuliko kawaida .kwa nini?

Walimu ni wanafiki mno, ni watu wenye roho mbaya kuliko maelezo..

Muda wowote mwalimu atakuuza ikionekana anaweza kupata chochote mbele yake..kama kuna kanafas kokote mwal.anaweza kukuchongea ili ukwame...


Walim wengi hasa wenye madaraka hawa wakuu wa shule, waratib wa elimu kata na maafisa elimu...ni washirikina asikwambie mtu....


Nna ushahidi wa baadhi ya wakuu wa shule wanavowafanya walimu wao mandondocha, ili wasihoji chochote kwenye utawala wao...

Itoshe kusema, kila sku nasali na kuomba siku moja nitoke kwenye hii kada...na mtoto wangu ama ndugu kamwe hatokuja kuwa mwalim...MUNGU na aniskie
Badilisha kada mkuu
 
Ulipofika wakati wa kustaafu mzee Nchimbi (the former DEO) watu walitarajia kupata promotion kuchukua nafasi yake lakini haikuwa hivyo badala yake akaletwa Martin Mahinda kushika madaraka ya DEO.

Watu wakaanza kumsoma DEO mpya ni nani na kwa nini kaliua. Kutokana na uchanga wa wilaya nafasi nyingi katika idara ya elimu zilikuwa zinakaimiwa tu hazikuwa na watu walioteuliwa na TAMISEMI muda ukafika ama waliopo warasmishwe km Wana sifa na kama hawana waletwe watu wenye sifa hapo ndipo watu waliporudishwa kufundisha ama kupewa madaraka madogo kulingana na vigezo vyao si Johari pekee yake aliyetolewa na wengine wapo Haina haja ya kuwataja maana si sehemu ya mgogoro.

HUJUMA IKAANZA

Pale kaliua kuna Afisa elimu mmoja Comedian Idara ya sekondary alipogundua status ya mwenzake akaanza kumu-win bwana Martin na kuidhoofisha Idara ya msingi kwa kumfanya mtu wa karibu Sana huku akimhujumu na kuihujumu Idara yake, alitumia uenyeji wake kwa kutaka wateule wengi watoke sekondary na ikibidi wawe wa nyanda za juu hususani Mbeya maana ni mtu wa huko walimu wa sekondary kaliua hili wanalijua vizuri maana km hutoki huko ukuu wa shule utausikia tu labda uwe mwanamke.

Kwa kigezo Cha uenyeji mwamba slishamteka mkurugrnzi mgeni pia hivyo huwa anakaimishwa ukurugenzi kila mara mkurugrnzi anapotoka, Mwamba kakafanikiwa kupendekeza vijana kadhaa kutoka sekondari wakapata uteuzi mzuri kutoka TAMISEMI pamoja na Idara ya msingi kuwa watu wenye uzoefu lakini hawakupata hiyo promosheni na wengine barua zilifichwa. (Bomani hapo haka kamchezo mnakajua na wengine ni waathirika)

Ukaja uteuzi wa waratibu elimu kata. pamoja na vijana wengi kutoka shule za msingi kuwa na elimu inayostahili yule mwamba akafanikisha tena kutungua waratibu kutoka sekondari wa kutosha tena wasiokuwa na uzoefu kabisa na usimamizi wa elimu lengo la mwamba ni kuimarisha Idara ya sekondari msingi watajijua hapa ikaanza kuibuka mining'ono miongoni mwa waratibu juu ya ustawi elimu ya msingi na hilo ndo likaanza kuwa anguko la elimu ya msingi na matokeo darasa la saba kuporomoka maana asilimia 75 ya waratibu wa mwamba wanaishi kaliua mjini huku vituo vyao vikiwa zaidi ya Km90.

Juzi kamalizia na walimu wakuu shule za msingi mwamba katoa ruzuku tena kwa walimu wa sekondari kwenda kuwa walimu wakuu shule za msingi wakati shule za msingi kuna hazina ya vijana wenye ama diploma au shahada wakiachwa. Jambo ambalo linaenda kuua kabisa elimu ya msingi na matokeo ya kaliua yataendelea kuwa duni.

KWA NINI MARTIN MAHINDA? KWANINI VITA YA MADARAKA?

Tukumbuke hapo awali hatukuwa na nafasi ya DEO sekondari ilikuja kuibuka katika mazingira km ya kisiasa na hivi zipo taarifa za kuvunjwa kwa hizi Idara na kurudi kuwa na Afisa elimu mmoja tu kila wilaya mwamba alishaanza kujitayarisha mapema kumuua mwenzake kwa "do or die" maana anamhofia Sana na sababu za kumhofia zipo japo nazo ni hofu zake tu.

Mwamba kafanikiwa totally kumchonganisha Bwana DEO Msingi na Idara yake, waratibu wote, walimu wakuu na walimu kwa ujumla kupitia safi aliyoandaa japo bwana DEO adui yake hamjui kabisa maana kila siku Yupo naye begA kWa bega anamwambia Comred tupambane

KWANINI JOHARI KATIKA VITA HII?
Johari ameanza kufanya kazi na MWAMBA kabla ya Bwana DEO Johari na mwamba wanajuana.

Mwamba kwake kila kinachomuumiza mwenzie ni silaha kwake na hii akaiona itafaa pia kunipigia bwana DEO na kafanikiwa.
Bwana DEO unajua kuna kakundi ofisini kwako hakapo upande wako(na nyie watu wa bomani mnajua hili) na kapo technically engineered na MWAMBA Ila yeye akichochea akiwa mbaali ili bwana DEO asishituke japo wanamuogopa lakini wame-take advantage Haiwezekani Johari APIGWE na MWALIMU MKUU tuhuma ziende kwa DEO tena kwa kurejerea Tukio la zaidi ya mwaka na nusu.

Na JOHARI walimu wanamjua ni mtu wa namna gani waulize watu waliofanya zoezi la BVR jinsi alivyowanyanyasa walimu sasa kakutana na mwenzake Bwana KITINYA(Salary scale haisomi) na yeye akiwa na stress zake kachezeshwa halafu wahuni wametumia advantage za mgogoro kumshughulikia bwana DEO . Ni ujinga kiwango Cha standard guage(hali ya juu).

RAI

Mamlaka zinazohusika imulikeni kaliua mkazione harakati za mwamba na wateule aliojiandalia kwa ajili ya kulinda madaraka yake na harakati za kuua elimu ya msingi kaliua ikiwezekana Bomoeni kaliua yote maana kuanza upya siyo ujinga.

Na kila anayestahili haki na akaipate na anayestahili adhabu naye akanywee kikombe chake.

KALAMU CHUMA

Pia soma;


Walimu wa miaka hii wa ajabu sana wanaacha kazi zao za msingi wanahangaika na vyeo na majungu, na ndiyo maana hawapendani hata kidogo
 
Ulipofika wakati wa kustaafu mzee Nchimbi (the former DEO) watu walitarajia kupata promotion kuchukua nafasi yake lakini haikuwa hivyo badala yake akaletwa Martin Mahinda kushika madaraka ya DEO.

Watu wakaanza kumsoma DEO mpya ni nani na kwa nini kaliua. Kutokana na uchanga wa wilaya nafasi nyingi katika idara ya elimu zilikuwa zinakaimiwa tu hazikuwa na watu walioteuliwa na TAMISEMI muda ukafika ama waliopo warasmishwe km Wana sifa na kama hawana waletwe watu wenye sifa hapo ndipo watu waliporudishwa kufundisha ama kupewa madaraka madogo kulingana na vigezo vyao si Johari pekee yake aliyetolewa na wengine wapo Haina haja ya kuwataja maana si sehemu ya mgogoro.

HUJUMA IKAANZA

Pale kaliua kuna Afisa elimu mmoja Comedian Idara ya sekondary alipogundua status ya mwenzake akaanza kumu-win bwana Martin na kuidhoofisha Idara ya msingi kwa kumfanya mtu wa karibu Sana huku akimhujumu na kuihujumu Idara yake, alitumia uenyeji wake kwa kutaka wateule wengi watoke sekondary na ikibidi wawe wa nyanda za juu hususani Mbeya maana ni mtu wa huko walimu wa sekondary kaliua hili wanalijua vizuri maana km hutoki huko ukuu wa shule utausikia tu labda uwe mwanamke.

Kwa kigezo Cha uenyeji mwamba slishamteka mkurugrnzi mgeni pia hivyo huwa anakaimishwa ukurugenzi kila mara mkurugrnzi anapotoka, Mwamba kakafanikiwa kupendekeza vijana kadhaa kutoka sekondari wakapata uteuzi mzuri kutoka TAMISEMI pamoja na Idara ya msingi kuwa watu wenye uzoefu lakini hawakupata hiyo promosheni na wengine barua zilifichwa. (Bomani hapo haka kamchezo mnakajua na wengine ni waathirika)

Ukaja uteuzi wa waratibu elimu kata. pamoja na vijana wengi kutoka shule za msingi kuwa na elimu inayostahili yule mwamba akafanikisha tena kutungua waratibu kutoka sekondari wa kutosha tena wasiokuwa na uzoefu kabisa na usimamizi wa elimu lengo la mwamba ni kuimarisha Idara ya sekondari msingi watajijua hapa ikaanza kuibuka mining'ono miongoni mwa waratibu juu ya ustawi elimu ya msingi na hilo ndo likaanza kuwa anguko la elimu ya msingi na matokeo darasa la saba kuporomoka maana asilimia 75 ya waratibu wa mwamba wanaishi kaliua mjini huku vituo vyao vikiwa zaidi ya Km90.

Juzi kamalizia na walimu wakuu shule za msingi mwamba katoa ruzuku tena kwa walimu wa sekondari kwenda kuwa walimu wakuu shule za msingi wakati shule za msingi kuna hazina ya vijana wenye ama diploma au shahada wakiachwa. Jambo ambalo linaenda kuua kabisa elimu ya msingi na matokeo ya kaliua yataendelea kuwa duni.

KWA NINI MARTIN MAHINDA? KWANINI VITA YA MADARAKA?

Tukumbuke hapo awali hatukuwa na nafasi ya DEO sekondari ilikuja kuibuka katika mazingira km ya kisiasa na hivi zipo taarifa za kuvunjwa kwa hizi Idara na kurudi kuwa na Afisa elimu mmoja tu kila wilaya mwamba alishaanza kujitayarisha mapema kumuua mwenzake kwa "do or die" maana anamhofia Sana na sababu za kumhofia zipo japo nazo ni hofu zake tu.

Mwamba kafanikiwa totally kumchonganisha Bwana DEO Msingi na Idara yake, waratibu wote, walimu wakuu na walimu kwa ujumla kupitia safi aliyoandaa japo bwana DEO adui yake hamjui kabisa maana kila siku Yupo naye begA kWa bega anamwambia Comred tupambane

KWANINI JOHARI KATIKA VITA HII?
Johari ameanza kufanya kazi na MWAMBA kabla ya Bwana DEO Johari na mwamba wanajuana.

Mwamba kwake kila kinachomuumiza mwenzie ni silaha kwake na hii akaiona itafaa pia kunipigia bwana DEO na kafanikiwa.
Bwana DEO unajua kuna kakundi ofisini kwako hakapo upande wako(na nyie watu wa bomani mnajua hili) na kapo technically engineered na MWAMBA Ila yeye akichochea akiwa mbaali ili bwana DEO asishituke japo wanamuogopa lakini wame-take advantage Haiwezekani Johari APIGWE na MWALIMU MKUU tuhuma ziende kwa DEO tena kwa kurejerea Tukio la zaidi ya mwaka na nusu.

Na JOHARI walimu wanamjua ni mtu wa namna gani waulize watu waliofanya zoezi la BVR jinsi alivyowanyanyasa walimu sasa kakutana na mwenzake Bwana KITINYA(Salary scale haisomi) na yeye akiwa na stress zake kachezeshwa halafu wahuni wametumia advantage za mgogoro kumshughulikia bwana DEO . Ni ujinga kiwango Cha standard guage(hali ya juu).

RAI

Mamlaka zinazohusika imulikeni kaliua mkazione harakati za mwamba na wateule aliojiandalia kwa ajili ya kulinda madaraka yake na harakati za kuua elimu ya msingi kaliua ikiwezekana Bomoeni kaliua yote maana kuanza upya siyo ujinga.

Na kila anayestahili haki na akaipate na anayestahili adhabu naye akanywee kikombe chake.

KALAMU CHUMA

Pia soma;



Tuchape kazi na saa zingine majungu kama haya ndiyo yanayotuchelewesha tabolaa. Nasema uongo ndugu zangu
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom