Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Kuna ndugu yangu mmoja ambaye kabila lake ni lile la watu wale ambao wanaweza kula ndizi kutwa mara tatu kwa siku,kwa siku zote 30 za mwezi na zisiwakifu,alikuwa ametoka mahakamani ambako kesi yake ilikuwa inasikilizwa.Njiani akakutana na ndugu yake ambae alimsimulia kesi yote si ndipo jamaa akamuuliza
"kwani umeukumiwa na hakimu Mkazi wa wapi"
Jamaa akajibu,
"No hakuwa mkazi, kalikuwa ni kashaija"
Waulizeni ndugu zetu wahaya maana ya maneno haya, mkazi na kashaija.
Weekend njema
"kwani umeukumiwa na hakimu Mkazi wa wapi"
Jamaa akajibu,
"No hakuwa mkazi, kalikuwa ni kashaija"
Waulizeni ndugu zetu wahaya maana ya maneno haya, mkazi na kashaija.
Weekend njema