Kaliba na Kadhia

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,142
13,216
Haya maneno nimeyakuta uzi fulani, hakika yamenitoa kamasi, nisaidieni wakuu
 
.
Kadhia= affairs, incident, event, happening; misfortune.

Hilo lingine sina jibu la harakaharaka Amavubi
.
 
Last edited by a moderator:
.
Kadhia= affairs, incident, event, happening; misfortune.

Hilo lingine sina jibu la harakaharaka Amavubi
.
asante, kwa hiyo wakisema mtu wa kadhia nfulani wanaanisha hivi? uzi ulisema watu wa kaliba na kadhia mbalimbali
 
asante, kwa hiyo wakisema mtu wa kadhia nfulani wanaanisha hivi? uzi ulisema watu wa kaliba na kadhia mbalimbali
Kaliba inatokana na neno la kiingereza Calibre lenye maana ya kiwango, ubora, mwenendo na mengine kama hayo.
 
Back
Top Bottom