Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Betri zinakuwa zimeshachomolewa waya... hivyo hakuna connection tenaHuwa nawaza ile friction force due to viscosity ya air hawapatagi umeme tuli kwenye miili yao, pindi wanapokuja kusaidiwa na kushikwa ningeshauri wasaidiaji kuvaa grove kuzuia kupatwa na shot.
Tatizo serikali haiamini katika ushirikina, uchawi wala ulozi... (Japo sio kweli)Kama haya matukio yana ukweli ndani yake, basi imefika wakati muafaka wa serikali kuwabana watoe elimu hii iwe faida kwa nchi. Yaani upande ungo kutoka upande mmoja wa nchi mpaka mwingine? Kuna la kujifunza hapa ili tuokoe gharama...
Mshana utaalamu wako unatakiwa. Nini hitilafu?
Tatizo hizi teknolojia zina gharama sana; kafala, kutokulala usiku na maisha mafupi kulingana na makubaliano (kutaja chache tu)Ndege aina ya UNGO237-8 ya shirika la ndege la WANGA AIRLINE imetua kwa dharula juu ya pa la nyumba mkoani Iringa kufuatia hitilafu kwenye injini.Hakuna majeruhi.View attachment 1184941View attachment 1184942View attachment 1184943View attachment 1184944
Mi naendelea na uchunguzi wa human factor wa huyu dereva aliyeangusha hyo ndegeNgoja tupeleke Black box na cockpit voice recorder NTSB for further investigation
Hilo nalo wazo pevu. Wanaume tunaachwaje ndani ya nyumba usiku huku wenzetu wanasafiri safari ndefu! Pia mshana jr tusaidie kwa kutumia vyombo vyako vya kiintelijenzia, Je, mhusika ni wa Iringa hapo hapo au ni mgeni kutoka sayari nyingine?? Fuatilia utujuvye isijekuwa alitoroka Msamvu kwani naona ka walioungua pale msamvuMbona marubani wa hizi ndege wengi ni wanawake!
Hiyo nguo nyekundu aliojifunga matitini ndo safety belt au??Ndege aina ya UNGO237-8 ya shirika la ndege la WANGA AIRLINE imetua kwa dharula juu ya pa la nyumba mkoani Iringa kufuatia hitilafu kwenye injini.Hakuna majeruhi.View attachment 1184941View attachment 1184942View attachment 1184943View attachment 1184944
Tatizo serikali haiamini katika ushirikina, uchawi wala ulozi... (Japo sio kweli)