Kwaroz
Member
- Aug 30, 2009
- 55
- 10
mimi ni mkazi wa Arusha naishi Suye ninayefanya kazi Dsm na naishi Ubungo karibu na stand ya mkoa. Nikiwa Dar umeme kwa wiki ulikuwa unakatika mara mbili au tatu kwa wiki lakini kwa Arusha hii ni funga kazi mpaka nauchukia mji wenyewe. Nimefika hapa Jpili mpaka leo umeme haujulikani ratiba yake kwa kuwa tunaupata kwa wastani wa masaa matatu hadi manne kwa wenyeji wanasema ni umeme wa kuchajia simu tu wala haitojaa maana hapo kuna kukatikakatika kusoko na idadi.
leo nikawa nimeenda kulipa bili ya umeme nashangaa naambiwa na wafanyakazi wa TANESCO kuwa hakuna umeme hawafanyi kazi, kufika kwa maneja anasema hakuna umeme pia hivyo tuje kesho au umeme ukirudi.
Ama kweli kama shirika linahujumu wananchi wa arusha kazi ipo maana wakazi wote wala hawababaiki na hawana habari tena na umeme. Tena wanaichukia CCM kwa kila jambo maana adha ya umeme imekuwa kero mpaka sasa wananchi wamekubali lakn kuhusu magamba hawataki kusikia.
leo nikawa nimeenda kulipa bili ya umeme nashangaa naambiwa na wafanyakazi wa TANESCO kuwa hakuna umeme hawafanyi kazi, kufika kwa maneja anasema hakuna umeme pia hivyo tuje kesho au umeme ukirudi.
Ama kweli kama shirika linahujumu wananchi wa arusha kazi ipo maana wakazi wote wala hawababaiki na hawana habari tena na umeme. Tena wanaichukia CCM kwa kila jambo maana adha ya umeme imekuwa kero mpaka sasa wananchi wamekubali lakn kuhusu magamba hawataki kusikia.