Kali Ya Karne: Mlinzi wa Getini amuomba rushwa Rais Uhuru Kenyatta ili amruhusu kutembelea bustani ya taifa nchini Kenya

Habari Wana Kijiji,

Leo katika pita pita za kusoma habari mitandaoni, nimekutana na kali ya karne katika bara zima la Africa. Kenya wamevunja rekodi ya Rushwa katika bara la Africa (Kama Sio Duniani Kwa Ujumla).

Nirudi kwenye mada husika,

Siku za hivi karibuni, Rais Uhuru Kenyatta alikwenda kutembelea Bustani ya Uhuru (Uhuru Gardens) bila ya kutoa taarifa kwa mtu yoyote kwamba anakwenda huko. Alitumia gari binafsi ili mtu yoyote asijue kwamba Rais anakwenda na alikua maeneo yale.

Mara baada ya kufika getini, mlinzi aliokuwepo lindoni kwa wakati huo alizuia lile gari lisiingie ndani ya bustani, bila kujua kwamba aliomo ndani ya gari hilo ni Rais Kenyatta mlinzi aliomba rushwa ili aliruhusu lile gari kuingia ndani ya bustani.

Cha kushangaza zaidi, Rais Uhuru Kenyatta hakua na hila wala gubu, alizamisha mkono mfukoni na kutoa kiasi cha fedha na kumpa yule mlinzi. Mara baada ya kupokea zile hela, mlinzi aliliruhusu lile gari la Rais Uhuru kuingia ndani ya bustani na kulielekeza mahala pa kulipaki gari, huku akimuahidi kwamba usalama wa gari utakua vizuri.

Kama ilivyo ripotiwa na chombo cha habari cha The Star, haikujulikana nini kilimpata mlinzi yule mara baada ya kuomba na kupokea rushwa kwa Rais wa Nchi.


Hili ni jambo dogo sana ambalo mwandishi amelikuza sijui kwa sababu gani. Kwa kawaida watu wanapotembelea maeneo kama hayo walinzi huomba hela ili kutoa ulinzi wa magari - na hii haiwezi kuitwa rushwa- ni huduma tu.
 
Kwaiyo ina maana mlinzi hamjui raisi wa nchi yake au ni Mimi ndio sijaelewa kisa icho,,, maana jamaa kaomba Ela na imeelezwa kuw Uhuru katoa Ela mfukoni na kumpa mlinzi,, Mbn Kama tea ya rangi na tangawiz kw mbali
 
Habari Wana Kijiji,

Leo katika pita pita za kusoma habari mitandaoni, nimekutana na kali ya karne katika bara zima la Africa. Kenya wamevunja rekodi ya Rushwa katika bara la Africa (Kama Sio Duniani Kwa Ujumla).

Nirudi kwenye mada husika,

Siku za hivi karibuni, Rais Uhuru Kenyatta alikwenda kutembelea Bustani ya Uhuru (Uhuru Gardens) bila ya kutoa taarifa kwa mtu yoyote kwamba anakwenda huko. Alitumia gari binafsi ili mtu yoyote asijue kwamba Rais anakwenda na alikua maeneo yale.

Mara baada ya kufika getini, mlinzi aliokuwepo lindoni kwa wakati huo alizuia lile gari lisiingie ndani ya bustani, bila kujua kwamba aliomo ndani ya gari hilo ni Rais Kenyatta mlinzi aliomba rushwa ili aliruhusu lile gari kuingia ndani ya bustani.

Cha kushangaza zaidi, Rais Uhuru Kenyatta hakua na hila wala gubu, alizamisha mkono mfukoni na kutoa kiasi cha fedha na kumpa yule mlinzi. Mara baada ya kupokea zile hela, mlinzi aliliruhusu lile gari la Rais Uhuru kuingia ndani ya bustani na kulielekeza mahala pa kulipaki gari, huku akimuahidi kwamba usalama wa gari utakua vizuri.

Kama ilivyo ripotiwa na chombo cha habari cha The Star, haikujulikana nini kilimpata mlinzi yule mara baada ya kuomba na kupokea rushwa kwa Rais wa Nchi.


Siamini hata.
Mpaka wanaongea kuomba rushwa ina maana walitizamana uso kwa uso ina maana huyo mlinzi hakumwona mtoa rushwa usoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utamu wa kazi uwe unapata hata ka tip bwana hata uhuru analijua Hilo sasa mbaka asubiri mshahara mwisho wa mwezi huyo mlinzi kajiongeza apate Hela ya bange au unadhani kulinda Raha?

Anyway jamaa amevunja rekodi ya kumpiga kizinga Rais!
😂😂😂😂
Wewe unasema kavunja rekodi umesahau yule mzee mmoja Nshomile kutoka kule Bukoba alimtapeli raisi Nyerere matofali na tena akijua kabisa ni raisi wa nchi.Raisi Nyerere wa watu hakumfanya lolote nani anajua jina lake atuambie.Watu kama hawa ni adimu sana kupatikana wanatakiwa wapewe ulinzi na nishani ya ujasiri
2.Mme msahau yule mwalimu mkuu wa shule flani sijui alikuwa anaitwa Kamuzora mtoto wa Nyerere alifanya kosa shule akamuambia namuhitaji baba yako.Mkuu wa mkoa akatumwa akasuluhishe akakataliwa mwalimu akasema baba yake huyu namfahamu ndio namuhitaji wakaenda wazee mbali mbali aliwakataa hadi mzee Nyerere akaenda mwenyewe na landrover yake.Mwalimu akasema nilikuwa najua wewe ndio baba yake ndio nilikuwa nakuhitaji.Nyerere akachukua kiboko kengele ikapigwa akamchapa mwanaye mbele ya wanafunzi wenzake.Mwalimu Nyerere alivorudi dar baada ya muda akamteua yule mwalimu mkuu kuwa mkurugenzi wa National Milling.
 
Wewe unasema kavunja rekodi umesahau yule mzee mmoja Nshomile kutoka kule Bukoba alimtapeli raisi Nyerere matofali na tena akijua kabisa ni raisi wa nchi.Raisi Nyerere wa watu hakumfanya lolote nani anajua jina lake atuambie.Watu kama hawa ni adimu sana kupatikana wanatakiwa wapewe ulinzi na nishani ya ujasiri
2.Mme msahau yule mwalimu mkuu wa shule flani sijui alikuwa anaitwa Kamuzora mtoto wa Nyerere alifanya kosa shule akamuambia namuhitaji baba yako.Mkuu wa mkoa akatumwa akasuluhishe akakataliwa mwalimu akasema baba yake huyu namfahamu ndio namuhitaji wakaenda wazee mbali mbali aliwakataa hadi mzee Nyerere akaenda mwenyewe na landrover yake.Mwalimu akasema nilikuwa najua wewe ndio baba yake ndio nilikuwa nakuhitaji.Nyerere akachukua kiboko kengele ikapigwa akamchapa mwanaye mbele ya wanafunzi wenzake.Mwalimu Nyerere alivorudi dar baada ya muda akamteua yule mwalimu mkuu kuwa mkurugenzi wa National Milling.
haaaahaaa yule mzee wa Msasani aliemtapeli Mwalimu Nyerere matofari alikua mtani wake, jamaa nasikia kabla ya tukio akaenda site akaanza kupiga zogo na mchonga akazizisifia tofari kua nzuri kwelikweli baadae akaagiza roli akazikomba zote dadeq

Mwalimu alipopata taarifa akacheka Sana akasema mtani kamuweza halafu ikawa imeisha hiyo nasikia Kama ni kweli kua zile tofari ndio zilizojenga Morogoro store ya pale masaki Kama sikosei!
😂😂😂😂🙌
 
Wewe unasema kavunja rekodi umesahau yule mzee mmoja Nshomile kutoka kule Bukoba alimtapeli raisi Nyerere matofali na tena akijua kabisa ni raisi wa nchi.Raisi Nyerere wa watu hakumfanya lolote nani anajua jina lake atuambie.Watu kama hawa ni adimu sana kupatikana wanatakiwa wapewe ulinzi na nishani ya ujasiri
2.Mme msahau yule mwalimu mkuu wa shule flani sijui alikuwa anaitwa Kamuzora mtoto wa Nyerere alifanya kosa shule akamuambia namuhitaji baba yako.Mkuu wa mkoa akatumwa akasuluhishe akakataliwa mwalimu akasema baba yake huyu namfahamu ndio namuhitaji wakaenda wazee mbali mbali aliwakataa hadi mzee Nyerere akaenda mwenyewe na landrover yake.Mwalimu akasema nilikuwa najua wewe ndio baba yake ndio nilikuwa nakuhitaji.Nyerere akachukua kiboko kengele ikapigwa akamchapa mwanaye mbele ya wanafunzi wenzake.Mwalimu Nyerere alivorudi dar baada ya muda akamteua yule mwalimu mkuu kuwa mkurugenzi wa National Milling.
Nyerere alikua anavumilia mengi,alishawahi kupigwa kwenzi kanisani na padri,padri hakujua ni Nyerere,alijua ni watumishi wakanisani ,alikuja kwa nyuma akamlima kwenzi,akamwambia unafanya nini apa badala ya kuandaa vitu kwa ajili ibada,baada misa kuisha wakaenda kupata chai nzito
 
Kumbe syo rushwa ni pesa ya kurinda gari
Habari Wana Kijiji,

Leo katika pita pita za kusoma habari mitandaoni, nimekutana na kali ya karne katika bara zima la Africa. Kenya wamevunja rekodi ya Rushwa katika bara la Africa (Kama Sio Duniani Kwa Ujumla).

Nirudi kwenye mada husika,

Siku za hivi karibuni, Rais Uhuru Kenyatta alikwenda kutembelea Bustani ya Uhuru (Uhuru Gardens) bila ya kutoa taarifa kwa mtu yoyote kwamba anakwenda huko. Alitumia gari binafsi ili mtu yoyote asijue kwamba Rais anakwenda na alikua maeneo yale.

Mara baada ya kufika getini, mlinzi aliokuwepo lindoni kwa wakati huo alizuia lile gari lisiingie ndani ya bustani, bila kujua kwamba aliomo ndani ya gari hilo ni Rais Kenyatta mlinzi aliomba rushwa ili aliruhusu lile gari kuingia ndani ya bustani.

Cha kushangaza zaidi, Rais Uhuru Kenyatta hakua na hila wala gubu, alizamisha mkono mfukoni na kutoa kiasi cha fedha na kumpa yule mlinzi. Mara baada ya kupokea zile hela, mlinzi aliliruhusu lile gari la Rais Uhuru kuingia ndani ya bustani na kulielekeza mahala pa kulipaki gari, huku akimuahidi kwamba usalama wa gari utakua vizuri.

Kama ilivyo ripotiwa na chombo cha habari cha The Star, haikujulikana nini kilimpata mlinzi yule mara baada ya kuomba na kupokea rushwa kwa Rais wa Nchi.


 
Nyerere alikua anavumilia mengi,alishawahi kupigwa kwenzi kanisani na padri,padri hakujua ni Nyerere,alijua ni watumishi wakanisani ,alikuja kwa nyuma akamlima kwenzi,akamwambia unafanya nini apa badala ya kuandaa vitu kwa ajili ibada,baada misa kuisha wakaenda kupata chai nzito
Hahahaha. Hii imenichekesha sana
 
Habari Wana Kijiji,

Leo katika pita pita za kusoma habari mitandaoni, nimekutana na kali ya karne katika bara zima la Africa. Kenya wamevunja rekodi ya Rushwa katika bara la Africa (Kama Sio Duniani Kwa Ujumla).

Nirudi kwenye mada husika,

Siku za hivi karibuni, Rais Uhuru Kenyatta alikwenda kutembelea Bustani ya Uhuru (Uhuru Gardens) bila ya kutoa taarifa kwa mtu yoyote kwamba anakwenda huko. Alitumia gari binafsi ili mtu yoyote asijue kwamba Rais anakwenda na alikua maeneo yale.

Mara baada ya kufika getini, mlinzi aliokuwepo lindoni kwa wakati huo alizuia lile gari lisiingie ndani ya bustani, bila kujua kwamba aliomo ndani ya gari hilo ni Rais Kenyatta mlinzi aliomba rushwa ili aliruhusu lile gari kuingia ndani ya bustani.

Cha kushangaza zaidi, Rais Uhuru Kenyatta hakua na hila wala gubu, alizamisha mkono mfukoni na kutoa kiasi cha fedha na kumpa yule mlinzi. Mara baada ya kupokea zile hela, mlinzi aliliruhusu lile gari la Rais Uhuru kuingia ndani ya bustani na kulielekeza mahala pa kulipaki gari, huku akimuahidi kwamba usalama wa gari utakua vizuri.

Kama ilivyo ripotiwa na chombo cha habari cha The Star, haikujulikana nini kilimpata mlinzi yule mara baada ya kuomba na kupokea rushwa kwa Rais wa Nchi.


Nyerere alishawahi sema... MTOAJI NA MPOKEAJI RUSHWA WOTE MANJI GA NYANJA...
 
Dah! Kwa namna ulivyowasilisha kwa mihemko nikadhani jamaa aliagiza rushwa akijua fika ni rais, kumbe mlinzi alijua zali la kawaida ila ikawa ndio zake za arobaini. Haya ni matukio ya kawaida sana Afrika, nakumbuka hata Tanzania marehemu rais Magufuli aliwahi kuhalalisha kwa kusema wawe wanapewa hela ya rangi ya viatu.

Afrika ni usen.ge wa kijinga sana, yaani maaskari wanaomba rushwa kwenye kila kitu, ukiibiwa mtaani inabidi upambane na hali yako maana ukienda kushtaki, pale eti askari watoke kwa defenda kuja mtaani kukusaidia lazima uchomoe noti kadhaa, wakati Ulaya unapiga 911 magari ya mapolisi yanakusanyka kwako mlangoni zaidi ya balaa.

Tatizo la rushwa limekithiri sana nchi hii, sema ni aibu kwa Mtanzania kuchekelea wakati nawafahamu sana kwenu huko......hamna utofauti wowote hovyo bin hoi.
 
Back
Top Bottom