STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Ndugu Zangu wanaJF, Hii biashara ya kuuzwa kwa Calenda za CHADEMA mbona kama inahijumiwa, kwani zinatolewa chache mno kiasi cha watu wengi wamekuwa wakipanda dau ambalo nimenunua mimi.
Naomba kuwauliza wahusika kama ni CDM waongeze kiasi kwani inapatikana kwa taabu sana kiasi cha unamwelekeza mtu aende akachukue inakopatikana lakini anakosa hadi mara kadhaa.
Tunaomba kufahamu kama CDM wanahusika na Uchapishaji basi waongeze na ziende hadi katika ofisi za wilaya wapo watu kibao wanazihitaji, kama mimi nishatuma kama mbili hivi wilayani watu wanazihitaji.
Vile vile tupeni ambako zinapatikana kwa bei ya jumla tufanye hiyo biashara ya kuziuza maana watu watazinunua hadi mwezi wa nne.
Ahsanteni, Katiba Mpya lazima hadi JK amesalimu amri 2011 mwaka wetu
Naomba kuwauliza wahusika kama ni CDM waongeze kiasi kwani inapatikana kwa taabu sana kiasi cha unamwelekeza mtu aende akachukue inakopatikana lakini anakosa hadi mara kadhaa.
Tunaomba kufahamu kama CDM wanahusika na Uchapishaji basi waongeze na ziende hadi katika ofisi za wilaya wapo watu kibao wanazihitaji, kama mimi nishatuma kama mbili hivi wilayani watu wanazihitaji.
Vile vile tupeni ambako zinapatikana kwa bei ya jumla tufanye hiyo biashara ya kuziuza maana watu watazinunua hadi mwezi wa nne.
Ahsanteni, Katiba Mpya lazima hadi JK amesalimu amri 2011 mwaka wetu