Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Naibu waziri wa nishati na madini Medard Kalemani amewataka wawekezaji wafunge migodi yao kama wanaona hawapati faida na kushindwa kulipa kodi
Pia amewataka TRA kupita kwenye migodi yote ya mafuta na madini ili kuhakikisha wawekezaji wote wanalipa kodi
Pia amewataka TRA kupita kwenye migodi yote ya mafuta na madini ili kuhakikisha wawekezaji wote wanalipa kodi