Kamanda usiechoka mbona unamfokea kamanda original?🤣🤣🤣🤣Acha chuki za kifala
Unamaanisha nini mkuu
Sio mkoa tu Bali imetimiza vigezo vya kuwa jiji.Je,chato imetimiza sifa za kuwa mkoa?
Na wewe endelea kuwadanganya mburura wenzako.Kawadanganye madunya wasio na A wala B hasa lumumba wenzako.
Nasubiri niambiwe kuna mtu anataka kunimega anioeleke chatoChato inatangazwa kama mkoa mpya siku hiyo
Na yule lafa #dishlimetilt anayeshikishwa ukuta kule ubeleji yeye amejisikiaje?Vile mwendakuzimu amefurahi kutokea huko kuzimu baada ya kusikia kuwa mwenge umezimwa Chato😁😁😁
View attachment 1970421
HahahahahaVile mwendakuzimu amefurahi kutokea huko kuzimu baada ya kusikia kuwa mwenge umezimwa Chato
View attachment 1970421
Mwendakuzimu aliidharau Covid-19 nayo ijatufurahishaTuliwazidi maarifa tukamuua bwana Chato.
Faida pekee ya kuanzishwa kwa mwenge ni kijenga hamasa katika utaifa. Iwapo una wananachi ambao hawana inami ni utaifa tena bali kila mtu anajiangalia kivyakevyake, basi mwenge unaweza kuwa hauna faida tena, na iwapo Kagame akituma jeshi lake, lenye vifaa hatari sana zaidi ya alivyokuwa navyo Amini, kuja kututandika hakuna raia atakayejitolea kwenda kupigana tena kama wale waliojitolewa mwaka 1979.Nipe faida tano za mwenge
Naamini wahusika wamekusikia mkuuHistoria ya Viongozi wakuu wa mbio za mwenge tuwajue kina nani na wako wapi?
Labda jiji la nyumbani kwenu katoroSio mkoa tu Bali imetimiza vigezo vya kuwa jiji.
Kuwa mwana uvccm kunahitaji kujiondoa akili.Na wewe endelea kuwadanganya mburura wenzako.
Wewe utakuwa ni mkimbiziNasubiri niambiwe kuna mtu anataka kunimega anioeleke chato
Acha wivu wa kujinga..ikiwa mkoa utapungukiwa nini.Itimize wapi? Labda kama vigezo ingekuwa wingi wa punda mjini
Wewe utakuwa
Mkimbizi nani we kenge. Tiny Dwarf.Wewe utakuwa ni mkimbizi
Butihama je ni mkoa au??Huwashwa Mkoani na kuzimwa mkoani. Amesema Kalemani na kudai kuwa hii ni fursa kubwa kwa Chato.
Hivyo Chato kama wilaya imepata fursa kubwa sana kwa mwenge kuzimwa hapa wilayani chato.