Kalemani huu sio ufisadi kwa kujenga ofisi ya TANESCO ya mabilioni katika Kijiji cha Chato, kubwa kuliko ofisi yoyote Kanda ya Ziwa na Kati?

Ashukuriwe Mungu kwa matendo yake makuu,ikiwemo kumchukua bwana yule. La sivyo tungekua zaid ya North Korea au Mobutu,
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.

Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.

View attachment 1941428
Yaamipaka

Sent from my A71 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.

Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.

View attachment 1941428
Yaani hata mfagiaji na mtunza bustani watakuwa na ofisi gorofani

Sent from my A71 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo tuendeleza Mbeya, Mwanza na Dar tu ?

Kwani hao ma specialist walikuwa wanakubali kukaa Mbeya na Mwanza in the ‘90 and ‘80 ? No less the 70s and ‘60 ? Hell no!
Siku hizi wanakubali kwa sababu Mbeya ya 1980 sio ya leo.

Lazima vijiji, viji miji, misitu wilayani, mikoani iendelezwe ili ivutie hao ma specialist.
Pumbavu!
 
Naamin Tanexco haikua priority yao kujenga huko..kama aliyekua na wizra ni wa chato +yule incharge..Tanexco hawakua na option zaid ya kufanya huo ujenz..chato ingekua transformed kutoka kijij hadi jiji tena lenye national Park kama Nairobi
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.

Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.

View attachment 1941428
Wabadilishe matumizi take na kuwa aidha shule au kituo cha afya
 
Naamin Tanexco haikua priority yao kujenga huko..kama aliyekua na wizra ni wa chato +yule incharge..Tanexco hawakua na option zaid ya kufanya huo ujenz..chato ingekua transformed kutoka kijij hadi jiji tena lenye national Park kama Nairobi
Ingekuwa vizuri sana
 
Hawa Sukuma Gang walikuwa na ajenda chafu na mbaya dhidi ya nchi hii.

Yasirudiwe tena makosa yaliyofanyika mpaka nchi kuingizwa mkenge kiasi hiki.

Hawa watu wa Chato wanapaswa kutengwa na plan za maendeleo mpaka tugawe mkate sawa na mikoa ya kusini kwanza at least kwa miaka 10 watu wa Chato watengwe kama Nyerere alivyoitenga mikoa ya Singida na Tabora enzi hizo.
Agiza kitimoto ya kuchoma na bia baridi kwa mangi nakuja kulipa
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.

Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.

View attachment 1941428
Halafu tukimsema marehemu yule tunaonekana wabaya tutaendelea kumcharaza angali amekufa hadi afufuke tu
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.

Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.

View attachment 1941428
Hizo zingine zilijengwa mwaka gani
Hilo jengo la Tanesco Chato linakadiriwa kudumu miaka mingapi?
 
Inawezekana CHATTO ilikuwa inaenda kuwa kitovu cha umeme Kanda ya Ziwa
Si hiyo tu,hospitali ya kanda,Airport kubwa,Vyuo vikuu,hata junction ya SGR kwenda Burundi, Rwanda na Uganda,BOT,Makao makuu ya TANAPA,Commercial capital.na labda mji mkuu.
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.

Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.

View attachment 1941428
Ndio maana mama kamwaga kaona isiwe tabu... ila tungeendelea na awamu ile tungeona mengi
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom