Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 1,498
- 2,700
Unajua napost kutokea wapi sasa? Vipi milimani kumepoa au bado koona atembeza kichapo? Kachanjenileo tar. 17 kwanini hamjaenda kupalilia kama mlikuwa mnampenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua napost kutokea wapi sasa? Vipi milimani kumepoa au bado koona atembeza kichapo? Kachanjenileo tar. 17 kwanini hamjaenda kupalilia kama mlikuwa mnampenda.
YaamipakaHii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.
Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja
Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.
View attachment 1941428
Yaani hata mfagiaji na mtunza bustani watakuwa na ofisi gorofaniHii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.
Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja
Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.
View attachment 1941428
Pumbavu!Kwa hiyo tuendeleza Mbeya, Mwanza na Dar tu ?
Kwani hao ma specialist walikuwa wanakubali kukaa Mbeya na Mwanza in the ‘90 and ‘80 ? No less the 70s and ‘60 ? Hell no!
Siku hizi wanakubali kwa sababu Mbeya ya 1980 sio ya leo.
Lazima vijiji, viji miji, misitu wilayani, mikoani iendelezwe ili ivutie hao ma specialist.
Wabadilishe matumizi take na kuwa aidha shule au kituo cha afyaHii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.
Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja
Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.
View attachment 1941428
Naona libadirishie matumizi liwe hata hotel ili lirudishe pesatafuteni wachina walibebe hili jengo liende dodoma kuokoa pesa za walala hoi zisipotee.
Ingekuwa vizuri sanaNaamin Tanexco haikua priority yao kujenga huko..kama aliyekua na wizra ni wa chato +yule incharge..Tanexco hawakua na option zaid ya kufanya huo ujenz..chato ingekua transformed kutoka kijij hadi jiji tena lenye national Park kama Nairobi
Agiza kitimoto ya kuchoma na bia baridi kwa mangi nakuja kulipaHawa Sukuma Gang walikuwa na ajenda chafu na mbaya dhidi ya nchi hii.
Yasirudiwe tena makosa yaliyofanyika mpaka nchi kuingizwa mkenge kiasi hiki.
Hawa watu wa Chato wanapaswa kutengwa na plan za maendeleo mpaka tugawe mkate sawa na mikoa ya kusini kwanza at least kwa miaka 10 watu wa Chato watengwe kama Nyerere alivyoitenga mikoa ya Singida na Tabora enzi hizo.
Halafu tukimsema marehemu yule tunaonekana wabaya tutaendelea kumcharaza angali amekufa hadi afufuke tuHii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.
Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja
Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.
View attachment 1941428
Swali la kijinga sana !Alijenga yeye au Tanesco?
Nyerere hakutunzwa!JPM alikua anatumia nguvu kubwa kuinua Chato 😃😃😃 "mcheza kwao hutunzwa"
Hizo zingine zilijengwa mwaka ganiHii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.
Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja
Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.
View attachment 1941428
Hahahaaaa........waziri anajenga ofisi za shirika?Swali la kijinga sana !
Si hiyo tu,hospitali ya kanda,Airport kubwa,Vyuo vikuu,hata junction ya SGR kwenda Burundi, Rwanda na Uganda,BOT,Makao makuu ya TANAPA,Commercial capital.na labda mji mkuu.Inawezekana CHATTO ilikuwa inaenda kuwa kitovu cha umeme Kanda ya Ziwa
Ndio maana mama kamwaga kaona isiwe tabu... ila tungeendelea na awamu ile tungeona mengiHii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini.
Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja
Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadi.
View attachment 1941428
HIlo jengo hapo kijijini ni kubwa mara 4 ya jengo tanesco mkoa wa ArushaKwani chato ni kenya acheni ushamba ,kumbuka chato inakuja kuwa makao makuu ya mkoa wa Geita