Kalemani huu sio ufisadi kwa kujenga ofisi ya TANESCO ya mabilioni katika Kijiji cha Chato, kubwa kuliko ofisi yoyote Kanda ya Ziwa na Kati?

TUHARAKISHE KATIBA MPYA TUACHE UJINGA TUTALALAMIKIA MANGAPI???
hili jengo ligeuzwe iwe shule aunt ofisi zoote maji,umeme,tra,rea,nec wooote wabanane humohumo shwensi!!
 
Hospitali ya kanda Chato, ni specialist gani utamtoa Dar, Mwanza, Mbeya na miji mingine atakayekubali kukaa chato?

Kwa hiyo tuendeleza Mbeya, Mwanza na Dar tu ?

Kwani hao ma specialist walikuwa wanakubali kukaa Mbeya na Mwanza in the ‘90 and ‘80 ? No less the 70s and ‘60 ? Hell no!
Siku hizi wanakubali kwa sababu Mbeya ya 1980 sio ya leo.

Lazima vijiji, viji miji, misitu wilayani, mikoani iendelezwe ili ivutie hao ma specialist.
 
Pumbavu, mradi wa umeme Rufiji uko chatto? mbona hata wenyewe mmepiga mikelele kusema hauna maana?

Mradi wa njia treni ya umeme, na wenyewe mmepiga kelele kusema hauna maana, na wenyewe uko chatto?

Mradi wa ubungo interchange, na wenyewe mlipiga kelele kwamba hauna manufaa, je na huo uko chatto?

Pumbavu, Ujenzi wa meri ktk maziwa makuu, yote mlisema hauna maana, je, na zenyewe ziko chatto?

Mradi wa stend kuu ya kimataifa mbez, mkamkodisha na Mkaguzi mkuu wa serikari aseme hauna maana, je na wenyewe uko chato?

jinga kabisa
Mbona Kama umepaniki ka umepigwa dole la kundu, hebu tulia kunywa maji mengi halafu tuambie tija ya kujenga huo mradi wa tanesco chato sio unatoka nje ya mada
 
Binadamu asili yake ni unafiki tu.chato nayo ni sehemu ya Tanzania

Wewe unaejiona una akili na usomi wa kijinga jiulize

Kati ya mwendazake aliyetaka kuijenga chato kuwa kivutio kwa watanzania wote

Na hao mnao wasifia.wakati wao wana majumba ya kifahari huko uraya na marekani bila faida yoyote kwa watanzania.

Mwogopeni Mungu
 
Kwani hilo ghorofa la Hayati Mengi huko porini lina faida gani ?
Wachaga wanakuwasha ee? Utajengaje ghorofa lote hilo wakati chato 40% ni nyumba za nyasi? Kilimanjaro yenyewe yenye umeme Kaya zote kwa 90% haina office kamA hiyo
 
Hivi kililmanjaro ni mji ? Unaandika umelewa au uko timamu ?
Wataalamu wanakataa maeneo ya bembezoni kwa sababu ya mazingira mabaya, Marais wote wangelikuwa na akili kama Magufuri,wangelijenga vitu ka hivi kila wilaya, wataalamu wasinge kimbilia mjini,miji kama Dar-as-salaam, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro,yamejaa sababu wataalamu awataki kwenda vijijini sababu ya miundombinu mibovu, tunaitaji viongozi kama Magufuri,wenye maono ya miaka Mia ijayo.
 
Mawaziri aina ya Kalemani majina yao yakatwe 2025, hawawazi maslahi ya taifa
 
Ule uwanja nao vipi? hautaota nyasi tu? Yani kuna watu wabinafsi sana humu duniani... Lile tawi la CRDB linaendeleaje?
ATM zinamaliza siku nne bila kutembelewa na mteja, ukienda unakuta zina utando wa buibui
 
Kwishne, usitegemee serikali iendeleze upuuzi huo. Majengo mengi yatapangiwa kazi nyingine. Ndege ngapi zimetua chato toka aondoke.?

waliokuwa na tabia hiyo ya kulazimisha kila kitu kwao ambao wametoka madarakani kwa aibu kubwa na wote hawa walijenga kwao na vyote walivyojenga sasa ni magofu ni pamoja na.

Yahya Jammeh _


jenga bonge la kasri kijijini kwake na " ZOO" alipohamishia wanyama kila aina. Magari kibao na Acc 75 za USD mamilioni nchi za mabeberu. Na kutembea na Quran na kanzu na viatu vyeupe safi kujidai mtu wa dini sana. Aliwai kutangaza kugundua dawa ya ukimwi.

Felix Boigny-

Cote d IVoire
Mpenda sana dini yake ya Roma Katoliki.
Kanisa kubwa la RC kuliko yote duniani kijijini kwake, na mahela kibao kuhamishia kwa mabeberu.

Mobutu _

Congo. Alikuwa anakula bata na boti lake la anasa alilibatiza jina kamanyola mto congo, uwanja wa ndege wa kutosha kutua ndege yeyote duniani , n.k

JPM
Kila J2 kanisani na Camera zikitoa live coverage.
Uwanja wa ndege kijijini kwake na kutaka kufanya kijiji kiwe wilaya hatimae mkoa, na watu wengine kutaja jina lake sambamba na mungu, na wengine kuomba mungu anapaswa kumshukuru JPM kwa utendaji wake, yeye alisikia na kukaa kimya tu,n.
K.
Bokassa
Mla nyama ya watu. Mshirikina.
alijenga sana kwao na kutawazwa mfalme wa maisha, alipojipa hicho cheo kiti cha dhahabu alikalia na kula bata vibaya sana. Inasemekana alimgegeda mke wa rais wa ufarannsa wakati huo kwa dau kubwa.

Marais ambayo majina yao na nyota zao zinang'aa mpaka kesho na wengine majina kuingia katika mitaala ya shule.

Nelson Mandela
J. Nyerere
Kwame Nkuruma
Martin Luther
Sir S. Khama

NB; Katika kundi hili hatusikii harufu chafu ya kuweka i.e makasri, zoo, viwanja vya ndege, lamborgini , kule kijijini kwao


Utakuta JPM.bahati mbaya anafanana hao waovu wpte walijifanya watu wa dini sana kuzuga na bahati mbaya anaingia katika list mbovu kabisa, Chato kwishne.


Pres. Y. JAMEH

View attachment 1941913
Hapo kwa wazalendo umemsahau mtu na nusu
Thomas Sankara.
 
Ukiwa unapita daraja jipya la mto wami jipige kifua na kumshukuru Mungu kwa kudra hizo hizo
kwani hapo Wami pamejengwa uwanja wa ndege wa kimataifa, hospital kubwa ya rufaa, hotel ya nyota 3, mbuga ya wanyama imehamishiwa hapo na kuna taa za barabarani zinazoongoza punda???
 
kwani hapo Wami pamejengwa uwanja wa ndege wa kimataifa, hospital kubwa ya rufaa, hotel ya nyota 3, mbuga ya wanyama imehamishiwa hapo na kuna taa za barabarani zinazoongoza punda???
Ukiwa waenda kuhesabiwa disemba ukipita wapi jipige kifua kumkumbuka jiwe
 
Back
Top Bottom