S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,614
- 32,710
Hii yote ilikuwa ni kazi ya punguani
Lifanywe machinga complex Kama wapo hao machinga wenyewe.Ndio mnataka libakie gofu bila kumaliziwa?
Ni bora tba wapendekeze matumizi mengine au jengo la kibiashara lenye ofisi za serikali.
Kwa hiyo Arusha ndo mnasitahiri sio? Myinyi ndo binadamu zaidi?HIlo jengo hapo kijijini ni kubwa mara 4 ya jengo tanesco mkoa wa Arusha
SureChato kwani hamjui ilitakiwa iwe nchi? Mungu aliingilia kati mapemaaaaa sasahivi hata lile liuwanja la ndege imebaki stori
Chato sahivi mtakoma
We bila shaka unatumia makalio kufikiriTumia kichwa kufikiri, sio kubebea nywele na meno
Sisi tuna mkoa, nyie?
Uliishi sehemu gani mkuu?Yani babati sehemu ya ovyo kama hiyo tuhangaike hakuna mtu mwenye akili anawaza kwenda kuwekeza babati! Mji umedumaa haukui!
Magugu so babati mwenyeji! PiaUliishi sehemu gani mkuu?
Magugu ni kijiji mkuu, sema Babati town uliishi mtaa gani? lami tupu, maji, umeme wa uhakika na mazingira bora kabisa ya ubaridi baridiMagugu so babati mwenyeji! Pia
Walimu wa kiswahili zama hizi za shule za kata ni bure kabisa! Hii kitu nimeona hadi waandishi wakubwa na hata watangazaji wa TVs wanakosea sana !JPM alikua anatumia nguvu kubwa kuinua Chato 😃😃😃 "mcheza kwao hutunzwa"
Magugu ni kijiji mkuu, sema Babati town uliishi mtaa gani? lami tupu, maji, umeme wa uhakika na mazingira bora kabisa ya ubaridi baridi
Teteteet kodi za wananchi mkuu tangu JK lami ilikuwepoHaya bwana mkubwa! Ila bado sana mji umepoa ishukuru serkali ya magufuli kuwaletea rami!