Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Mimi ni Mchagga najua tulivyotapakaa Kona zote za Nchi hata nchi Jirani Hadi kule mashariki ya Mbali tena Ulaya na Marekani kote huko Rafiki hapa tumeshamalizana na nyie tuwaache na ufaulu wenu sasa!!Hao wachaga wengi wapi hawzid hat mil1
Umeajiriw kwa wachaga nin?
Wachaga wengi lakin vyuoni hawaonekani ajabu sana.
Oky wakiwa wengi inakusaidia nin wewe?