Kalemani alikuwa analeta ukabila TANESCO ndo maana akapigwa chini

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,839
17,437
Hili genge sijui ina lina laana gani mungu wangu!

Kwa kweli mnawafanya wanachato wote wasiaminike

Huyu bwana pamoja na kuwa rekodi nzuri ya utendaji alivyotolewa nilisikitika sana lakini kumbe alikua analeta ukabila na uchato huko Wizarani na Tanesco

Alikua analeta upendeleo wa kikabila na wa kieneo kwenye wizara yake pamoja na Tanesco

Waziri nzima unajaza watu wa chato tu Tanesco unapeleka mafavour yote yaende kwenu chato japo nyumbani ni nyumbani sio kwa ukabila huu wa kupendelea tu kwenu hii ni aibu na hasara kubwa kwa taifa


Huko Tanesco uliwajaza ndugu zako, kabila lako wachato wenzako!!! Halafu hao hata wakifanya makosa ulikua huwagusi na bado hukuridhika ukapeleka jengo la mabilioni huko Chato la tanesco

Yaani ni kusema kwamba chato ina wateja wengi wa umeme kuliko dsm au?Hivi mnatuonaje nyie Push gang?Hamtaki kuamini kwamba zama zenu zimekwisha?

Halafu kuna wajinga waliohoji mama kamtumbua bila kumwambia kosa lake eti magu alikua anamtumbua mtu anamwambia kosa...We msitufanye mazuzu mwendazake alivyomtoa makamba kipindi ile kwani makamba alifanya kosa gani?

Si hakufanya lolote baya?Sasa tulieni dawa iwaingie msimpangie mheshimiwa rais cha kufanya kwamba afanye km alivyokua anatenda huyo marehemu wenu.Halafu ni bora mkae kimya tu hivi mnajua tunajua hadi utambulisho wa huyo mtu wenu alotolewa kwamba ni damu moja na marehemu nasubiri ni suala la muda tu i will expose everything soon

Hili genge inabidi iwepo list kabisa watolewe wote, huyu kalemani nilimwamini sana na ni mchapakazi sana ila ukabila na uchato ulimpenda zaidi....

Kibaya zaidi ulikua unapingana na boss wako na unampinga hadharani na kumuona sio lolote kwenye vijiwe vya push gang ulikua ukihudhuria na wewe ni mwanachama kindakindaki wa sukuma gang na ulikua unapanga mikakati ya kumuhujumu na kumuangusha samia bila kuona hata aibu wakati wewe ni waziri wake, ukabila, ukanda,upendeleo, na chuki dhidi ya Samia vilikupenda zaidi broo!!!
 
Hili genge sijui ina lina laana gani mungu wangu!

Kwa kweli mnawafanya wanachato wote wasiaminike

Huyu bwana pamoja na kuwa rekodi nzuri ya utendaji alivyotolewa nilisikitika sana lakini kumbe alikua analeta ukabila na uchato huko Wizarani na Tanesco

Alikua analeta upendeleo wa kikabila na wa kieneo kwenye wizara yake pamoja na Tanesco

Waziri nzima unajaza watu wa chato tu Tanesco unapeleka mafavour yote yaende kwenu chato japo nyumbani ni nyumbani sio kwa ukabila huu wa kupendelea tu kwenu hii ni aibu na hasara kubwa kwa taifa


Huko Tanesco uliwajaza ndugu zako, kabila lako wachato wenzako!!! Halafu hao hata wakifanya makosa ulikua huwagusi na bado hukuridhika ukapeleka jengo la mabilioni huko Chato la tanesco

Yaani ni kusema kwamba chato ina wateja wengi wa umeme kuliko dsm au?Hivi mnatuonaje nyie Push gang?Hamtaki kuamini kwamba zama zenu zimekwisha?

Halafu kuna wajinga waliohoji mama kamtumbua bila kumwambia kosa lake eti magu alikua anamtumbua mtu anamwambia kosa...We msitufanye mazuzu mwendazake alivyomtoa makamba kipindi ile kwani makamba alifanya kosa gani?

Si hakufanya lolote baya?Sasa tulieni dawa iwaingie msimpangie mheshimiwa rais cha kufanya kwamba afanye km alivyokua anatenda huyo marehemu wenu.Halafu ni bora mkae kimya tu hivi mnajua tunajua hadi utambulisho wa huyo mtu wenu alotolewa kwamba ni damu moja na marehemu nasubiri ni suala la muda tu i will expose everything soon

Hili genge inabidi iwepo list kabisa watolewe wote, huyu kalemani nilimwamini sana na ni mchapakazi sana ila ukabila na uchato ulimpenda zaidi....
Evidence, evidence, evidence..short of that these are assertions! with no evidential value!
 
Hili genge sijui ina lina laana gani mungu wangu!

Kwa kweli mnawafanya wanachato wote wasiaminike

Huyu bwana pamoja na kuwa rekodi nzuri ya utendaji alivyotolewa nilisikitika sana lakini kumbe alikua analeta ukabila na uchato huko Wizarani na Tanesco

Alikua analeta upendeleo wa kikabila na wa kieneo kwenye wizara yake pamoja na Tanesco

Waziri nzima unajaza watu wa chato tu Tanesco unapeleka mafavour yote yaende kwenu chato japo nyumbani ni nyumbani sio kwa ukabila huu wa kupendelea tu kwenu hii ni aibu na hasara kubwa kwa taifa


Huko Tanesco uliwajaza ndugu zako, kabila lako wachato wenzako!!! Halafu hao hata wakifanya makosa ulikua huwagusi na bado hukuridhika ukapeleka jengo la mabilioni huko Chato la tanesco

Yaani ni kusema kwamba chato ina wateja wengi wa umeme kuliko dsm au?Hivi mnatuonaje nyie Push gang?Hamtaki kuamini kwamba zama zenu zimekwisha?

Halafu kuna wajinga waliohoji mama kamtumbua bila kumwambia kosa lake eti magu alikua anamtumbua mtu anamwambia kosa...We msitufanye mazuzu mwendazake alivyomtoa makamba kipindi ile kwani makamba alifanya kosa gani?

Si hakufanya lolote baya?Sasa tulieni dawa iwaingie msimpangie mheshimiwa rais cha kufanya kwamba afanye km alivyokua anatenda huyo marehemu wenu.Halafu ni bora mkae kimya tu hivi mnajua tunajua hadi utambulisho wa huyo mtu wenu alotolewa kwamba ni damu moja na marehemu nasubiri ni suala la muda tu i will expose everything soon

Hili genge inabidi iwepo list kabisa watolewe wote, huyu kalemani nilimwamini sana na ni mchapakazi sana ila ukabila na uchato ulimpenda zaidi....
Ukitoa madai ya namna hiii unatakiwa utoe mifano hai.. ili watu waipe uzito. Siyo wakubali au wapinge kwa sababu umesema.
 
chato aliweka umeme wapi kama kwao Nyambogo hakuna umeme?


kalemani hajachomeka mtu yeyote tanesco labuda kama alilazimishwa na mwendazake.


kalemani ni ndugu yangu, lakini mbinafsi sana, tena sana.


jaribu kwenda kwao kijiji cha nyambogo, kata ya ilemela.


alifariki mama yake..... aliacha gumzo,
akafa mke wake.... alikuwa gumzo...


hata ubunge alibebwa sana na rafiki yake john, kwani 2012 alijaribu unec akachezea kichapo na 2015 kwenye ubunge kura za maoni alikuwa anapumuliwa kisogoni na kijana mmoja anaitwa Deusdedit Katwale( huyu baada ya uchaguzi walimbambikia kesi ya uhujum uchumi ili asigombee ubunge. mama ashamtoa).


wanufaika wa utawala wa magu hazivuki hata kaya 20 kwa chato.

1. familia yake, magu, wadogo zake, na mpwa wake Martin.
2. alipooa Gordian Magufuli.
3. alipooa Musa magufuli.
4. kwa mugosha...
5. walimu waliokuwa chato primary miaka ya 80 kurudi nyuma
6. familia ya furaha wa kawe



wengine walikuwa wamebanwa sana na magu hasa alipokuwa waziri.


kuna familia ya Sende aliwanyima umeme wakati walikuwa Jirani na tanesco wilaya. nguzo wanayotumia tanesco ndiyo wanatumia kwa sende, kisa Dr sende alitaka kugombea ubunge.


Jamaa alikuwa na rohoo mbaya sana, ya vusasi na kila aina ya chuki.


huwa sielewi, ilikuwaje idara ya usalama ikaruhusu hadi akawa alipofikia.


huwa sielewi ilikuwaje ametoka kwenye familia yenye historia ya afya ya akili usalama wa taifa ukaruhusu awe alipokuwa

ilikuwaje wakaruhusu mtu aliyekuwa hahudhurii kwenye sherehe za kitaifa, hakuwa anautii kwa viongozi wake akawa alipokuwa?

Tumsgukuruni sana mungu kwa kuruhusu Mtumishi wake apumzike.


wengi hasa mmemfaham alipokuwa top.


tunategemea 2022 na 2025 kwa mara ya kwanza jimbo la chato litakuwa na uchaguzi huru na haki.


wito: idara ya usalama msije mkaruhusu watu wa aina yake kuukarubia hata unaibu waziri.
 
Sisi ndo tuliteka watu na kuwaua?sisi ndo tumetawala nchi hii miaka 60 ya uhuru?hebu tutolee upuuz wako hapa
Kuteka watu haikuwa kosa za kalemani, mzee wa watu amehukumiwa sababu tuu anatoka chato, kipindi cha miezi6 huyu mzee wa watu amehujumiwa, amezalikishwa na kufedheheshwa kweli kweli, haya sasa wizara na tanesco wame kabidhiwa ‘ manyang’au na watoto wa mji’ subiri uone kazi sasa!
 
Hili genge sijui ina lina laana gani mungu wangu!

Kwa kweli mnawafanya wanachato wote wasiaminike

Huyu bwana pamoja na kuwa rekodi nzuri ya utendaji alivyotolewa nilisikitika sana lakini kumbe alikua analeta ukabila na uchato huko Wizarani na Tanesco

Alikua analeta upendeleo wa kikabila na wa kieneo kwenye wizara yake pamoja na Tanesco

Waziri nzima unajaza watu wa chato tu Tanesco unapeleka mafavour yote yaende kwenu chato japo nyumbani ni nyumbani sio kwa ukabila huu wa kupendelea tu kwenu hii ni aibu na hasara kubwa kwa taifa


Huko Tanesco uliwajaza ndugu zako, kabila lako wachato wenzako!!! Halafu hao hata wakifanya makosa ulikua huwagusi na bado hukuridhika ukapeleka jengo la mabilioni huko Chato la tanesco

Yaani ni kusema kwamba chato ina wateja wengi wa umeme kuliko dsm au?Hivi mnatuonaje nyie Push gang?Hamtaki kuamini kwamba zama zenu zimekwisha?

Halafu kuna wajinga waliohoji mama kamtumbua bila kumwambia kosa lake eti magu alikua anamtumbua mtu anamwambia kosa...We msitufanye mazuzu mwendazake alivyomtoa makamba kipindi ile kwani makamba alifanya kosa gani?

Si hakufanya lolote baya?Sasa tulieni dawa iwaingie msimpangie mheshimiwa rais cha kufanya kwamba afanye km alivyokua anatenda huyo marehemu wenu.Halafu ni bora mkae kimya tu hivi mnajua tunajua hadi utambulisho wa huyo mtu wenu alotolewa kwamba ni damu moja na marehemu nasubiri ni suala la muda tu i will expose everything soon

Hili genge inabidi iwepo list kabisa watolewe wote, huyu kalemani nilimwamini sana na ni mchapakazi sana ila ukabila na uchato ulimpenda zaidi....
Mkuu hujui ulisemalo. Kalemani ni mkaksi, yaani ni mtu mwema sana ila ni mnoko! Hana muda na mtu zaidi ya wale anaojuana nao. Yaani kama ulikuwa na shida naye then ukatokea kumuona then ukawa hueleweki imekula kwako. Kalemani hakupenda hata kusalimiana kisukuma mbele ya watu. Yaani ukimkuta Kalemani kwenye vikao jifanye humjui, ukijifanya kumshobokea imekula kwako.

Kalemani watoto wake wote hawana kazi za maana, yaani hakuwahi kuwatafutia kazi serikalini. Ni mtu ambaye uzalendo upo damuni. Yaani ni kama Nyerere tu.
 
chato aliweka umeme wapi kama kwao Nyambogo hakuna umeme?


kalemani hajachomeka mtu yeyote tanesco labuda kama alilazimishwa na mwendazake.


kalemani ni ndugu yangu, lakini mbinafsi sana, tena sana.


jaribu kwenda kwao kijiji cha nyambogo, kata ya ilemela.


alifariki mama yake..... aliacha gumzo,
akafa mke wake.... alikuwa gumzo...


hata ubunge alibebwa sana na rafiki yake john, kwani 2012 alijaribu unec akachezea kichapo na 2015 kwenye ubunge kura za maoni alikuwa anapumuliwa kisogoni na kijana mmoja anaitwa Deusdedit Katwale( huyu baada ya uchaguzi walimbambikia kesi ya uhujum uchumi ili asigombee ubunge. mama ashamtoa).


wanufaika wa utawala wa magu hazivuki hata kaya 20 kwa chato.

1. familia yake, magu, wadogo zake, na mpwa wake Martin.
2. alipooa Gordian Magufuli.
3. alipooa Musa magufuli.
4. kwa mugosha...
5. walimu waliokuwa chato primary miaka ya 80 kurudi nyuma
6. familia ya furaha wa kawe



wengine walikuwa wamebanwa sana na magu hasa alipokuwa waziri.


kuna familia ya Sende aliwanyima umeme wakati walikuwa Jirani na tanesco wilaya. nguzo wanayotumia tanesco ndiyo wanatumia kwa sende, kisa Dr sende alitaka kugombea ubunge.


Jamaa alikuwa na rohoo mbaya sana, ya vusasi na kila aina ya chuki.


huwa sielewi, ilikuwaje idara ya usalama ikaruhusu hadi akawa alipofikia.


huwa sielewi ilikuwaje ametoka kwenye familia yenye historia ya afya ya akili usalama wa taifa ukaruhusu awe alipokuwa

ilikuwaje wakaruhusu mtu aliyekuwa hahudhurii kwenye sherehe za kitaifa, hakuwa anautii kwa viongozi wake akawa alipokuwa?

Tumsgukuruni sana mungu kwa kuruhusu Mtumishi wake apumzike.


wengi hasa mmemfaham alipokuwa top.


tunategemea 2022 na 2025 kwa mara ya kwanza jimbo la chato litakuwa na uchaguzi huru na haki.


wito: idara ya usalama msije mkaruhusu watu wa aina yake kuukarubia hata unaibu waziri.
weww umesema ukweli ,,kalemani siyo rahi hata kukusaidia hata kama unaqualifications..tofauti na wachaga auwanyakyusa..yeye alikuwa radhi kuwasaport wanyakuyusa au watu wengine lakini siyo mtu wa chato..Bahatai mbaya sasa kila mtu wa chato anachafulia eti alikula shavu enzi za magufuri au kalemani..ukifuatilia orodha ya wanufaika wwngi na marafiki zake tena nje ya chato
 
chato aliweka umeme wapi kama kwao Nyambogo hakuna umeme?


kalemani hajachomeka mtu yeyote tanesco labuda kama alilazimishwa na mwendazake.


kalemani ni ndugu yangu, lakini mbinafsi sana, tena sana.


jaribu kwenda kwao kijiji cha nyambogo, kata ya ilemela.


alifariki mama yake..... aliacha gumzo,
akafa mke wake.... alikuwa gumzo...


hata ubunge alibebwa sana na rafiki yake john, kwani 2012 alijaribu unec akachezea kichapo na 2015 kwenye ubunge kura za maoni alikuwa anapumuliwa kisogoni na kijana mmoja anaitwa Deusdedit Katwale( huyu baada ya uchaguzi walimbambikia kesi ya uhujum uchumi ili asigombee ubunge. mama ashamtoa).


wanufaika wa utawala wa magu hazivuki hata kaya 20 kwa chato.

1. familia yake, magu, wadogo zake, na mpwa wake Martin.
2. alipooa Gordian Magufuli.
3. alipooa Musa magufuli.
4. kwa mugosha...
5. walimu waliokuwa chato primary miaka ya 80 kurudi nyuma
6. familia ya furaha wa kawe



wengine walikuwa wamebanwa sana na magu hasa alipokuwa waziri.


kuna familia ya Sende aliwanyima umeme wakati walikuwa Jirani na tanesco wilaya. nguzo wanayotumia tanesco ndiyo wanatumia kwa sende, kisa Dr sende alitaka kugombea ubunge.


Jamaa alikuwa na rohoo mbaya sana, ya vusasi na kila aina ya chuki.


huwa sielewi, ilikuwaje idara ya usalama ikaruhusu hadi akawa alipofikia.


huwa sielewi ilikuwaje ametoka kwenye familia yenye historia ya afya ya akili usalama wa taifa ukaruhusu awe alipokuwa

ilikuwaje wakaruhusu mtu aliyekuwa hahudhurii kwenye sherehe za kitaifa, hakuwa anautii kwa viongozi wake akawa alipokuwa?

Tumsgukuruni sana mungu kwa kuruhusu Mtumishi wake apumzike.


wengi hasa mmemfaham alipokuwa top.


tunategemea 2022 na 2025 kwa mara ya kwanza jimbo la chato litakuwa na uchaguzi huru na haki.


wito: idara ya usalama msije mkaruhusu watu wa aina yake kuukarubia hata unaibu waziri.
HILI BANDIKO LAKO NI ZITO ZAIDI.........ILA KUHUSU ISHU YA KALEMANI WEWE HUJAFAHAMU ZAIDI HUYO NA MAGUFULI WANA UNDUGU WA DAMU KWENYE UKOO KABISA

ISHU YA KALEMANI KUJAZA WATU WAKE NI KWELI KABISA KUANZIA WIZARANI KAJAZA NDUGU ZAKE WENGINE NI WATOTO WA NDUGU ZAKE KABISA WALA SIONGEI KWA KUBAHATISHA


KUHUSU MWENDAZAKE WALA SITII NENO ZAIDI YA KUKUELEWA NA KUAPRECIATE ULICHOKIANDIKA MIMI HADI LEO NAJIULIZA ILIKUAJE AKAWA RAIS.....NISHAWAHI KULETA UZI KABISA HUMU KUHOJI KWAMBA KWANINI ALIKUA RAIS ILIWEZEKANA VIPI....JAMAA ALIKUA MTU WA VISASI SANA KWA KWELI YULE SIJUI KAMA YULE BABA ALIKUA BINADAMU AISEE MHHH SIO KAWAIDA KABISA MHHH HADI NAJIULIZA NI MTANZANIA KWELI?KUNA MAMBO HUWA NAREASONING HADI NAHOFIA KUMKUFURU MUNGU KUHUSU YULE JAMAA AISEE
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom