Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
You should never judge a book by the look of the cover
Bila kusahau uchaguzi wa Meya wa Dar na pia RC Mnyeti alipokuwa DC.achana na hizo kalamu,ziliwahi kumrekodi mbunge Rwakatare
Halafu ndio unategemea kuwe na fairness na maamuzi ya kuweka mbele Taifa,never and ever.kweli hii nchi ni ya kikomunisti na ya chama kimoja, sio kwa rundo la makada huko TISS, polisi na hata ngazi za juu JWTZ (walio ingia kwa kigezo cha kadi ya chama). Tuna safari ndefu sana. Aliyeanzisha huu mfumo wa kifalme alikuja kupata akili ikiwa too late, katuachia hili shetani la kimfumo liendelee kutuburuza.
Alkua anafanyia shughuri zake wapi nije NimuondoeHuyo wa kulia ni yule TISS aliekuwa anajifanya kuuza madafu Town.View attachment 989351View attachment 989353View attachment 989354
Sent using Jamii Forums mobile app
Aroo!Huyo wa kulia ni yule TISS aliekuwa anajifanya kuuza madafu Town.View attachment 989351View attachment 989353View attachment 989354
Sent using Jamii Forums mobile app
unamaanisha ile clip iliyosoma tarehe na mwaka vya 1995? kijana machachari Nassari alinidisappoint sanaBila kusahau uchaguzi wa Meya wa Dar na pia RC Mnyeti alipokuwa DC.
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhHuyo wa kulia ni yule TISS aliekuwa anajifanya kuuza madafu Town.View attachment 989351View attachment 989353View attachment 989354
Sent using Jamii Forums mobile app
CRIMINAL PEDAGOGY???
Kwa usalama wa Taifa letu ukibahatika kumjua mtu anayefanya kazi ya usalama wa Taifa tafadhali usisambaze.Tunahatarisha usalama wake na wetu pia!!!Hawa watu wanafanya kazi kubwa sana.