tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,307
Sasa wangeyajulia wapi haya wakati redio ilikuwa ina patikana kwa mwenyekiti wa kijiji tu.hz story mababu zetu wala hawatusimilii wakati wao enzi hzo walikuwepo
Sasa wangeyajulia wapi haya wakati redio ilikuwa ina patikana kwa mwenyekiti wa kijiji tu.hz story mababu zetu wala hawatusimilii wakati wao enzi hzo walikuwepo
utajihadhari vipi na ukoma usipomjua mwenye ukoma ???Hahahahahaaa.Mkuu weye mpende tu.Baba Nyerere alituasa tusiwe wenye kuulizana makabila ila tujihadhari na ukoma tu.
Aisee!Akili kum-kichwa ingawa chukulia "ukoma" kwa upana na uzito zaidi.utajihadhari vipi na ukoma usipomjua mwenye ukoma ???
Okay asante sana for being transparent and honest with me mkuuHuna flow nzuri ya uandishi
KIJANA KUWA MZALENDO, IPENDE TANZANIA YAKO.Thanks
HahahaaaaaUnajipenda?
Kuna tofauti gani kati yako na huyo Dada yako infantry??How? Kivipi kwa mfano?
Dada Infantry? Sidhani kama infantry ana jinsia ya kikeKuna tofauti gani kati yako na huyo Dada yako infantry??
Wewe ni jinsia gani???Dada Infantry? Sidhani kama infantry ana jinsia ya kike
Hiyo ni ID nyingine ya mleta maada. Mkuu mchunie tu aboost replies japo mwanaume kujifanya demu haijakaa poa.Wewe ni jinsia gani???
Mkuu, nina ID moja tu ya Infantry humu JFHiyo ni ID nyingine ya mleta maada. Mkuu mchunie tu aboost replies japo mwanaume kujifanya demu haijakaa poa.
Ingia google tu maadamu kiingereza kiwepo utakuta yote hayaMimi pia nampenda sana huyu mkaka sijui kabila gani?
binadamu hatuna shukrani mada imeeleweka vizuri tupende kupeana moyo kwa kila jambo jemaHate speech. Kama unampenda the bold nenda ukasome jabari zake na sio kumkatisha tamaa mwenzio. Kumbuka hatuwezi kuwa sawa. Kila mtu ana namna yake ya kuwasilisha kitu. Usimlazimishe aige kazi ya mtu. Kumbuka halipwi ila kaona sio vibaya kutupa habari hii. Sina chuki ni ushauriu tu