Wangetulia 60 ya uhuru ikapita
Nchi huru yenye watu wasiyo huru. Amazing!Viongozi hao akiwemo Mwenyekiti wa Bawacha Taifa Sharrifa Suleyman , wamekamatwa kwenye kikao cha ndani kwa tuhuma nzito ZA KUFANYA KIKAO SIKU YA KUMBUKUMBU YA UHURU WA TANGANYIKA , Viongozi hao wapo Mkoani Kigoma kwa ajili ya usajili wa Chadema Digital .
Wamewekwa Selo , na Watafikishwa Mahakamani hivi karibuni , bali bado hatujafahamu sheria waliyoivunja .
Kwanini?Wangetulia 60 ya uhuru ikapita