Kakobe yuko wapi?

Kadogoo

JF-Expert Member
Feb 26, 2007
2,073
341
Huyu mchungaji kabla ya uchaguzi alikuwa mpiga debe mkubwa wa mgombea mmoja wa upinzani sasa sijui ameishia wapi!!
Uchaguzi wa mwaka 2000 alimpigia debe lyatonga mrema, 2010 ni slaa, sasa sijui uchaguzi wa 2015 anajiandaa kumpigia nani!!!
 
Lini alisema anampigia kampeni mmoja wa wagombea??? wapi alitaja??? nilisikiliza hotuba zote mbili hakukua na sehemu yoyote aliyotaja fulani achaguliwe ni hisia mgando zenu tu!!! Kwanini tusiitaje radio Kheri gazeti la alhuda na vyombo vingine ambavyo viliandika na kutaja kwa wazi kabisa? Why Kakobe tu??? kwa hio hao wengine walikua na haki ya kuwapigia kampeni hao wagombea waliowataka wao??? hatutafika kwa mawazo mufilisi namna hii? afteraw, who is KAKOBE?
 
Lini alisema kua alikua msemaji mkuu?? kama ndo unaanza kujifunza kutuma post zako hebu kaa ufikirie before
 
Lini alisema anampigia kampeni mmoja wa wagombea??? wapi alitaja??? nilisikiliza hotuba zote mbili hakukua na sehemu yoyote aliyotaja fulani achaguliwe ni hisia mgando zenu tu!!! Kwanini tusiitaje radio Kheri gazeti la alhuda na vyombo vingine ambavyo viliandika na kutaja kwa wazi kabisa? Why Kakobe tu??? kwa hio hao wengine walikua na haki ya kuwapigia kampeni hao wagombea waliowataka wao??? hatutafika kwa mawazo mufilisi namna hii? afteraw, who is KAKOBE?

mbona umekasirika? mimi ninauliza tu, bila jazba na hasira ungenijibu au kunyamaza! sasa sijui nini kimekukasirisha au ni majeraha ya uchaguzi? sio mimi ni wa tz ndio walioamua! sasa tusahau yaliyopita tujenge nchi yetu!!
 
Alipokuwa anatoa elimu ya uraia na kuanika ukweli ndo mnataka mumuassociate na mmoja wa wagombea as if aliwai mtaja
 
Tanzania Kwanza acha kuleta hoja thaifu hapa. Mch. Kakobe ni mtu wa kuelimisha jamii na ana haki ya kuwaonyesha njia waumini wake kwa yale yote yanayowahusu hata hili la kisiasa. upo hapo?
 
Mamuluki wewe wacha kusumbua PHD za watu kisa tumbo lako Mtaliwa hata rasa mwaka huu ili mjulikane mko mrengo wake...fisi wa ahadi nyie
 
Lini alisema kua alikua msemaji mkuu?? kama ndo unaanza kujifunza kutuma post zako hebu kaa ufikirie before
 
TZ kwanza, samahani mpwa kama unaona nimejibu kwa jazba, nadhani ilikua nature ya topic yenyewe, tuko pamoja sana mpwa lazma jamvi lichangamke, asante kwa hoja nzuri isiyo na mashiko lakini mpwa unazionaje ahadi za huyu jamaa yako, zinatekelezeka kweli? nakumbuka aliuliza ahadi ngapi kaahidi akajibu kuwa hakumbuki, sasa atatekelezaje ahadi asizozijua ba kuzikumbuka?
 
Leo hii kasalisha kanisani kwake mwenge. Umeenda pale ukamkosa? Au labda humfahamu.
 
tz kwanza, samahani mpwa kama unaona nimejibu kwa jazba, nadhani ilikua nature ya topic yenyewe, tuko pamoja sana mpwa lazma jamvi lichangamke, asante kwa hoja nzuri isiyo na mashiko lakini mpwa unazionaje ahadi za huyu jamaa yako, zinatekelezeka kweli? Nakumbuka aliuliza ahadi ngapi kaahidi akajibu kuwa hakumbuki, sasa atatekelezaje ahadi asizozijua ba kuzikumbuka?

nadhani atakumbushwa na wale walioahidiwa ikiwa atasahau hizo ahadi ila sina uhakika kama chama chenu kitaweza kuwasomesha bure watoto na kupunguza bei ya cementi ktk miji ambayo chama chenu kitaongoza serikali za mitaa maana mtakusanya kodi ktk manispaa zenu!
 
Huyu mchungaji kabla ya uchaguzi alikuwa mpiga debe mkubwa wa mgombea mmoja wa upinzani sasa sijui ameishia wapi!!
Uchaguzi wa mwaka 2000 alimpigia debe lyatonga mrema, 2010 ni slaa, sasa sijui uchaguzi wa 2015 anajiandaa kumpigia nani!!!
Pumba, next?
 
nadhani atakumbushwa na wale walioahidiwa ikiwa atasahau hizo ahadi ila sina uhakika kama chama chenu kitaweza kuwasomesha bure watoto na kupunguza bei ya cementi ktk miji ambayo chama chenu kitaongoza serikali za mitaa maana mtakusanya kodi ktk manispaa zenu!
filthy
 
leo hii kasalisha kanisani kwake mwenge. Umeenda pale ukamkosa? Au labda humfahamu.

mimi nilikuwa nangojea tahmini yake baada ya uchaguzi kwani aliwaelimisha waumini wake ni nani anaefaa kuchaguliwa na kufanya ibada maalum ya uchaguzi, sasa angetufanyia haki kutathmini huu uchaguzi aidha atuambie kama huyu aliechaguliwa ni kiongozi bora au sio mteule wa mungu? Lakini akinyamaza na kuanza ibada zake kimya kimya atatuchanganya!!!
 
Hebu tumuache KAKOBE tuangalie yale magazeti na radio zenu zilizompigia debe huyo alilazimisha ushindi, wao watapata nini?
 
Huyu mchungaji kabla ya uchaguzi alikuwa mpiga debe mkubwa wa mgombea mmoja wa upinzani sasa sijui ameishia wapi!!
Uchaguzi wa mwaka 2000 alimpigia debe lyatonga mrema, 2010 ni slaa, sasa sijui uchaguzi wa 2015 anajiandaa kumpigia nani!!!

wewe sasa ni mzushi au ndiyo ile umbea sunnah ya mtume?
 
Hebu tumuache KAKOBE tuangalie yale magazeti na radio zenu zilizompigia debe huyo alilazimisha ushindi, wao watapata nini?

wee TZ KWANZA, hatuwezi kutoa elimu bure kwa nini? hakuna kisichowezekana ila tulifundishwa na kulazimishwa kuamini kuwa HAIWEZEKANI kuwa hivyo!! kama wewe ni msomaji wa literature ungekubaliana nami kuwa muda una maamuzi yake, ukifika hakuna wa kuupinga!!!
 
wewe sasa ni mzushi au ndiyo ile umbea sunnah ya mtume?[/Q

KUMTUKANA MTUME UTAKUWA UNAVUKA MPAKA!!! MIMI SIJAMTUKANA KAKOBE ILA NIMEULIZA SWALI SASA WEWE NAONA UNAKWENDA MBALI ZAIDI KWA KUMNASIBISHA MTUME NA UMBEA!!!
MKUU TUSIFIKE HUKO, KUWA NA HESHIMA NA ADABU KWANI SI TABIA NA MAADILI UNAYOFUNDISHWA KANISANI KUMTUKANA MTUME!
 
Huyu mchungaji kabla ya uchaguzi alikuwa mpiga debe mkubwa wa mgombea mmoja wa upinzani sasa sijui ameishia wapi!!
Uchaguzi wa mwaka 2000 alimpigia debe lyatonga mrema, 2010 ni slaa, sasa sijui uchaguzi wa 2015 anajiandaa kumpigia nani!!!
Kwani bei cement haimuumizi Kakobe wanapojenga kanisa??? kwani Kakobe hasomeshi watoto? waumini wake hawaumii na hali ngumu ya maisha?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom