Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Japo sikubaliana na msimamo wa kakobe kuhusu kupita umeme au kutopita katika eneo la kanisa lake lakini amenifurahisha kwamba anaweza kuwaongoza waumini wake wakaungana kudai wanachodai na wengi kama sio wote wako naye daima..wanamuamini na wanamfuata...
Ukilinganisha na vyama vyetu vya Upinzani (CUF, CHADEMA etc) wameshindwa kwa miaka mingi kuwaunganisha watanzania kudai vitu vya msingi kama katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, kushughulikia mafisadi etc..
My conclusion: Wapinzani hakuna leaders ambao wanaweza kupata watu mia tatu wanaowaamini kama kakobena waumini wake wakadai bila uwoga madai ya msingi????
Ukilinganisha na vyama vyetu vya Upinzani (CUF, CHADEMA etc) wameshindwa kwa miaka mingi kuwaunganisha watanzania kudai vitu vya msingi kama katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, kushughulikia mafisadi etc..
My conclusion: Wapinzani hakuna leaders ambao wanaweza kupata watu mia tatu wanaowaamini kama kakobena waumini wake wakadai bila uwoga madai ya msingi????