Kakobe vs Vyama vya Upinzani?

Tumain

JF-Expert Member
Jun 28, 2009
3,154
70
Japo sikubaliana na msimamo wa kakobe kuhusu kupita umeme au kutopita katika eneo la kanisa lake lakini amenifurahisha kwamba anaweza kuwaongoza waumini wake wakaungana kudai wanachodai na wengi kama sio wote wako naye daima..wanamuamini na wanamfuata...

Ukilinganisha na vyama vyetu vya Upinzani (CUF, CHADEMA etc) wameshindwa kwa miaka mingi kuwaunganisha watanzania kudai vitu vya msingi kama katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, kushughulikia mafisadi etc..

My conclusion: Wapinzani hakuna leaders ambao wanaweza kupata watu mia tatu wanaowaamini kama kakobena waumini wake wakadai bila uwoga madai ya msingi????
 
-so imani yako mkuu imehamia kwa Kakobe kuliko viongozi wa upinzani sio?Au kakaobe ana uwezo kuliko viongozi wetu wa upinzani katika kuhamasisha?
 
unamaanisha kakobe agombee urais?

NO! ninamaanisha ana sifa za kiongozi kupita viongozi wa vyama vya siasa. Kiongozi bila wafuasi wenye kukuamini ni vigumu kuleta mabadiliko na kusikilizwa madai yako...
 
-so imani yako mkuu imehamia kwa Kakobe kuliko viongozi wa upinzani sio?Au kakaobe ana uwezo kuliko viongozi wetu wa upinzani katika kuhamasisha?

Imani haijahamia na wala haitahamia

Yes ana uwezo kupita viongozi wa upinzani Tanzania.
 
kina mrema,mziray, si ndio viongozi wetu.wengine hata hawajulikani lakini wana vyama vya upinzani. it means wale wananchi wachache ambao hawaipendi ccm wanaendelea kugawanywa tena.
wat do u expect T?
 
wapinzani,? ninaowaaminia tu ni cuf-zanzibar, wapinzani bara hamna kitu, kujipa matumaini yasiyokuwepo, we angalia tu, Mbowe, Slaa ...... taja

Hakuna namna ambayo mtu mwenye akili timamu akasema kuna upinzani bara!

wanajitetea kwenye kivuli eti watu hawana elimu!, Tumaini, wakati Mkwawa anawapiga wajerumani alikuwa amesoma shule gani? wafuasi wake walikuwa wanasoma JF?

Simply I hate them!
 
wapinzani,? ninaowaaminia tu ni cuf-zanzibar, wapinzani bara hamna kitu, kujipa matumaini yasiyokuwepo, we angalia tu, Mbowe, Slaa ...... taja

Hakuna namna ambayo mtu mwenye akili timamu akasema kuna upinzani bara!

wanajitetea kwenye kivuli eti watu hawana elimu!, Tumaini, wakati Mkwawa anawapiga wajerumani alikuwa amesoma shule gani? wafuasi wake walikuwa wanasoma JF?

Simply I hate them!

Kakobe anawaumini mia tatu lakini madai yake (japo mimi naamini ame-over state issue yenyewe) lakini ameweza kuonyesha kwamba number is not the issue...

Hizo streotype kwamba watu hawana elimu ina maana wao hawana elimu kabisaa...

Kama una elimu unaweza kumfundisha mtu yeyote akakuelewa na kukuamini, hawaamini kwasababu wao wenyewe hawana elimu/maarifa ya kuwaambia wananchi wanachoelewa au wanachoamini!

Najiuliza hata wafuasi mia tatu jamani then...huko upinzani bado sana...
 
kina mrema,mziray, si ndio viongozi wetu.wengine hata hawajulikani lakini wana vyama vya upinzani. it means wale wananchi wachache ambao hawaipendi ccm wanaendelea kugawanywa tena.
wat do u expect T?

Achana na kina Mrema, mziray. To be honest mrema alikuwa hero miaka hiyo wasomi (supposingly wenye elimu waka-frustrate kama kawaida)

How about Lipumba and Slaa (favourite JF leader), viongozi wakubwa nini hao waganga njaa ndugu.

Nasikia Slaa hata akiita watu kwenye department yake si wote wanamuamini na kuwa tayari kufa naye? itakuwaje kitaifa?
 
Kakobe anawaumini mia tatu lakini madai yake (japo mimi naamini ame-over state issue yenyewe) lakini ameweza kuonyesha kwamba number is not the issue...

Hizo streotype kwamba watu hawana elimu ina maana wao hawana elimu kabisaa...

Kama una elimu unaweza kumfundisha mtu yeyote akakuelewa na kukuamini, hawaamini kwasababu wao wenyewe hawana elimu/maarifa ya kuwaambia wananchi wanachoelewa au wanachoamini!

Najiuliza hata wafuasi mia tatu jamani then...huko upinzani bado sana...

wewe upinzani ni another ajira nchi hii, ukipata nyingine unaacha!! ndio maana hutaweza kumpata mtu wa caliber ya Raila, Morga n.k

lakini aho hao wapinzani leo wakisimama kidete, wanameza umati wa watanzania in a second, kumbuka yale ya zito bungeni.....

kumbuka mrema 95 watu tulivyoweweseka kila kona jina lake!! kura akapata vilevile, hakuna mtu wa kufanya juu zaidi ya Mrema?

kuchekacheka na CCM ndio kuna wafanya waonekane wanavyoonekana!
 
wewe upinzani ni another ajira nchi hii, ukipata nyingine unaacha!! ndio maana hutaweza kumpata mtu wa caliber ya Raila, Morga n.k

lakini aho hao wapinzani leo wakisimama kidete, wanameza umati wa watanzania in a second, kumbuka yale ya zito bungeni.....

kumbuka mrema 95 watu tulivyoweweseka kila kona jina lake!! kura akapata vilevile, hakuna mtu wa kufanya juu zaidi ya Mrema?

kuchekacheka na CCM ndio kuna wafanya waonekane wanavyoonekana!

Aisee umenikumbusha enzi za Mrema mjomba wangu kutoka village alikuwa lazima ahudhurie mikutano yote ya mrema mikoa ya karibu...kulikuwa na mwamko kwelikweli na wafuasi wake walimuamini na kumfuata...it was then..

You are right ngoja tusubiri Raila wa Tanzania??
 
Kakobe amekuwa na msimamo yake na huwa mara nyingi sana hayumbushi na mambo haya na anasema kile ambacho roho yake inajua na kuamini. Nawapongeza sana Kakobe na watu wake kuwa Imara sana
 
Kakobe amekuwa na msimamo yake na huwa mara nyingi sana hayumbushi na mambo haya na anasema kile ambacho roho yake inajua na kuamini. Nawapongeza sana Kakobe na watu wake kuwa Imara sana

Je kakobe si nafuu kuliko Mbowe?
 
mathematically unaandika hivi KAKOBE >> MBOWE

So it goes if

Lipumba =upinzani =CUF and
Mbowe=upinzani=Chadema
therefore Mbowe=Lipumba=Upinzani

Since Mbowe<< kakobe that means also
Lipumba << kakobe

Therefore: Upinzani<< kakobe???
 
wapinzani,? ninaowaaminia tu ni cuf-zanzibar, wapinzani bara hamna kitu, kujipa matumaini yasiyokuwepo, we angalia tu, Mbowe, Slaa ...... taja

Hakuna namna ambayo mtu mwenye akili timamu akasema kuna upinzani bara!

wanajitetea kwenye kivuli eti watu hawana elimu!, Tumaini, wakati Mkwawa anawapiga wajerumani alikuwa amesoma shule gani? wafuasi wake walikuwa wanasoma JF?

Simply I hate them!

Hiyo kitu nyeusi hapo juu nipo na wewe, wanapigwa ngwara wanakuja kusema hatuna elimu, sasa nani ambaye hana elimu mkufunzi yani hao wapinzani hawana ielimu kutuelimisha wanayoamini ama wanaoelimishwa hawaelewi waelimisha wanaelimisha nini.?
 
Tumain inawezekana wewe hujui na dawa ya asiyejua na huku anajifanya kuwa anajua ni kumwacha , na huwa ana jina lake sasa sitaki kuliandika hapa.
 
wewe upinzani ni another ajira nchi hii, ukipata nyingine unaacha!! ndio maana hutaweza kumpata mtu wa caliber ya Raila, Morga n.k

lakini aho hao wapinzani leo wakisimama kidete, wanameza umati wa watanzania in a second, kumbuka yale ya zito bungeni.....

kumbuka mrema 95 watu tulivyoweweseka kila kona jina lake!! kura akapata vilevile, hakuna mtu wa kufanya juu zaidi ya Mrema?

kuchekacheka na CCM ndio kuna wafanya waonekane wanavyoonekana!

Inabidi msema kweli atuandikie viongozi wa upinzani ambao nia yake ni kuwinda ruzuku. teh teh teh

Natania, mkuu lakini implication ya kuwa na vyeti feki ni kama kuwa na upinzani feki.
 
So it goes if

Lipumba =upinzani =CUF and
Mbowe=upinzani=Chadema
therefore Mbowe=Lipumba=Upinzani

Since Mbowe<< kakobe that means also
Lipumba << kakobe

Therefore: Upinzani<< kakobe???

Kwa mahesabu haya yafaa pia kuweka na yale Kibwetere na wakina Kiiza Besiyge kule Uganda .
 
Back
Top Bottom