Kakobe "Tanganyika huru lazima ipatikane, Nyerere sio Mungu naye alikuwa na mapungufu yake"

Askofu Kakobe aliyasema hayo 20.04.2014,Mungu ndiye aliyezigawa nchi na kuweka mipaka(MATENDO YA MITUME 17:24,26).Hivyo Tanganyika ni urithi tuliopewa na Mungu ili iwe urithi.Na kwahakika Tanganyika tumepewa urithi mwingi wa utajiri wa kila aina(ZABURI 16:6).Kuiondoa mipaka na kutoilinda ya Tanganyika yetu ni kujiletea laana(KUMBUKUMBU LATORATI 24:17).

Kwa hiyo kumbe mipaka haikuwekwa kule Berlin? Na tuseme kuwa ile mipaka iliyowekwa Berlin ndiyo Mungu kaiweka na ile iliyowekwa na sisi wenyewe "haijawekwa na Mungu," right? Siamini kama kumbe Watumishi wa Mungu wameathiriwa na ukoloni kiasi hicho!
 
Kwa hiyo kumbe mipaka haikuwekwa kule Berlin? Na tuseme kuwa ile mipaka iliyowekwa Berlin ndiyo Mungu kaiweka na ile iliyowekwa na sisi wenyewe "haijawekwa na Mungu," right? Siamini kama kumbe Watumishi wa Mungu wameathiriwa na ukoloni kiasi hicho!



Kakobe yuko sahihi kabisa. Ukitaka kujua mpango wa Mungu ni lazima ufikirie kwa kina na usiangalie wakoloni wooote kwa mtizamo hasi na kila kitu walichokileta kwamba hakikua na faida kwa binadamu.
Mara nyingine wale waliotawaliwa ndo walitka kushindana na wa koloni kwa kutaka kutumia nguvu hata pale penye faida.

Mfano tu suala la maendeleo ya elimu kuna makabila walipinga mpaka shule na hospitali zisijengwe kwenye maeneo yao.Mashamba yasilimwe kwao n.k .Matokeo yake hata utawala wa kiafrika umeshindwa kufikia ndoto zao.
Bila wazungu kumsomesha Nyerere kupata Mpaka Masters na kuwa katika Kiwango cha Mzungu mweusi na akakuta kuna Radio,magazeti na vyombo vya usafiri vya kuzunguka nchi nzima ili aimarishe umoja ambao kwa kiwango kikubwa wakoloni walikua wameuweka chini ya mipaka ya nchi moja ya utawala wenye ulinzi mmoja na kiongozi mmoja, angewezaje kujua theories mbalimbali za sayansi ya siasa ambazo alizisoma na kuweza kumuongezea heshma na ujuzi wa kuwatawala makabila 120?

Wakoloni wana mabaya yao mengi na mazuri pia yapo kama ulivyo utawala wa CCM.
 
Kakobe yuko sahihi kabisa. Ukitaka kujua mpango wa Mungu ni lazima ufikirie kwa kina na usiangalie wakoloni wooote kwa mtizamo hasi na kila kitu walichokileta kwamba hakikua na faida kwa binadamu.
Mara nyingine wale waliotawaliwa ndo walitka kushindana na wa koloni kwa kutaka kutumia nguvu hata pale penye faida.

Mfano tu suala la maendeleo ya elimu kuna makabila walipinga mpaka shule na hospitali zisijengwe kwenye maeneo yao.Mashamba yasilimwe kwao n.k .Matokeo yake hata utawala wa kiafrika umeshindwa kufikia ndoto zao.
Bila wazungu kumsomesha Nyerere kupata Mpaka Masters na kuwa katika Kiwango cha Mzungu mweusi na akakuta kuna Radio,magazeti na vyombo vya usafiri vya kuzunguka nchi nzima ili aimarishe umoja ambao kwa kiwango kikubwa wakoloni walikua wameuweka chini ya mipaka ya nchi moja ya utawala wenye ulinzi mmoja na kiongozi mmoja, angewezaje kujua theories mbalimbali za sayansi ya siasa ambazo alizisoma na kuweza kumuongezea heshma na ujuzi wa kuwatawala makabila 120?

Wakoloni wana mabaya yao mengi na mazuri pia yapo kama ulivyo utawala wa CCM.

ccm haina mazuri wewe. mimi naona wanafanya madudu tu kila kukicha.
 
Tanzania ni jina lililobuniwa na Mhindi. Halitokani na asili.
Libaki kwenye Muungano.
Tanganyika ni neno la asili kabisa
TANZANIA maana yake TAN(Tanganyika) ZAN(Zanzibar) na IA(INDIA) hilo jina sio letu. Aliyosema mtumishi wa Mungu ni ya rohöni, wachache wa rohoni wataelewa. Ila kumbuka asili haipotei lazima irudi.
 
"Neno la asili" lililobuniwa na Wajerumani, right?



JINA TANGANYIKA
HALIKUBUNIWA NA WAJERUMANI wala WAINGEREZA, walilichukua toka kwa babu zetu. Neno hili lina maana halisi ya maneno ya kiswahili . Sio neno la Kijerumani wala Kiingereza wao walilikuta kwetu ,hawakuja na hilo jina.

Kutoka TANGA kupita NYIKA yooooote ilikua ni eneo moja kubwa la watu wenye asili moja ,ambao waliliita hilo eneo NYIKA isiyo na mwisho mpaka walipokuta Ziwa kubwa.Walipofika kwenye hilo ziwa walishangilia na kula samaki huku wakitaja jina TANGA- NYIKA.
Tangu siku hiyo watu walilita hilo ziwa na samaki waliokuwepo TANGA na NYIKA
 
TANZANIA maana yake TAN(Tanganyika) ZAN(Zanzibar) na IA(INDIA) hilo jina sio letu. Aliyosema mtumishi wa Mungu ni ya rohöni, wachache wa rohoni wataelewa. Ila kumbuka asili haipotei lazima irudi.
Kwanini usingefikiria kuipata hiyo IA kwenye maneno yaliyobaki maana zipo hizo herufi
 
Wabongo wengi ni vilaza,hivi jina kama jina litawasaidia nini hasa kimaisha?
 
Sio kweli ,mtu anayepigania haki ni jasiri.
Mchungaji huyu alikuwa anaheshimika sana lakini alivyojiingiza kwenye siasa na kutuambia kwamba ameoteshwa kwamba rais mpya[kipindi kile] angetoka upinzani hapo ndipo hadhi yake iliposhuka. Mchungaji kujiingiza kwenye siasa siyo kitu kibaya ila akifanya hivyo basi awe tayari kujibiwa kwa namna yoyote ambayo wananchi hutumia kuwajibu wanasiasa wengine[Heshima ya uchungaji inatoweka ]
 
Back
Top Bottom