Kakobe halinganishwi na shehe au padri yoyote laiti ungekaa ktk mafundisho ungeshuhudia ukuu wa Mungu kupitia mtumishi wake
Mwanadamu hawezi kutwaa utukufu wa mungu. Aweza kuwa na maarifa tuu.lakini mungu ni yuleyule kila mahali.achaneni na ibada za kuabudu wanadamu.
Mwanadamu hawezi kutwaa utukufu wa mungu. Aweza kuwa na maarifa tuu.lakini mungu ni yuleyule kila mahali.achaneni na ibada za kuabudu wanadamu.