Prisoner 46664
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 1,948
- 1,237
tarehe 3/01/2015 mpaka 5/07/2015.
Hizi siku mbona kama sio tatu hivi?
tarehe 3/01/2015 mpaka 5/07/2015.
hiyo ni typing error imesharekebishwa ni tatu (3) Ijumaa hadi Jumapili 03/07/2015 - 05/07/2015Hizi siku mbona kama sio tatu hivi?
Kakobe halinganishwi na shehe au padri yoyote laiti ungekaa ktk mafundisho ungeshuhudia ukuu wa Mungu kupitia mtumishi wake
Kakobe halinganishwi na shehe au padri yoyote laiti ungekaa ktk mafundisho ungeshuhudia ukuu wa Mungu kupitia mtumishi wake
eeee na sadaka zitam-burudisha sana tu.
Mwanadamu hawezi kutwaa utukufu wa mungu. Aweza kuwa na maarifa tuu.lakini mungu ni yuleyule kila mahali.achaneni na ibada za kuabudu wanadamu.
Personality cult.
Hakuna mahali popote ametaja uende na sadaka. Ona aibu!
ijumaa,jmosi na jpili kunywa beer za kutosha then utakuwa umeburudika