johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,415
Daudi Mchambuzi ( Injinia) soma hiyooooooo!
Kama Askofu Kakobe amemkubali rasmi Rais Magufuli, na kwa kuwa Kakobe huwa anashiriki vikao vya kamati kuu ya Chadema kama mjumbe " mualikwa" .......nyie kina Daudi Mchambuzi ni nani hata muendelee kubisha bisha.?!!
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Kama Askofu Kakobe amemkubali rasmi Rais Magufuli, na kwa kuwa Kakobe huwa anashiriki vikao vya kamati kuu ya Chadema kama mjumbe " mualikwa" .......nyie kina Daudi Mchambuzi ni nani hata muendelee kubisha bisha.?!!
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!