Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kakobe...safi sana.
Kikwete na serikali yake ya kiislam walitaka kutudhulumu haki yetu hii ya msingi.
Kaka punguza ukali wa maneno niko chobingo NINASALI ROZALI YA MAMA BIKIRA MARIA
Kakobe...safi sana.
Kikwete na serikali yake ya kiislam walitaka kutudhulumu haki yetu hii ya msingi.
Ngoja twende Wizara ya Mambo ya Ndani tu-check kama ame-reniew usajili wa kanisa lake. Mwaka ule alipotishiwa usajili alijirekebisha, sasa anaanza chokochoko, ataipata.
Siasa kuzungumzwa Makanisani poa kabisa, misikitini ni "kuchanganya dini na siasa" fungeni makanisa yote tarehe 31 Oct lakini huyo Padri wenu Ikulu ataiona paa!
Wakristo wa kweli hawapigi kura, maana vita yao si ya nyama wala damu, wala si ya dunia hii.
Amuunga mkono Dr Slaa kwa afya na elimu. Endorsement hizi mhimu sana
jaji mfalili
mch kakobe
polls zote ikiwemo ya synovate
marando
wengine waoga tu ila wame endorse kimya kimya list continues
Kuanzishwa kwa jukwaa la makanisa nafikiri wote watafanya kama Kakobe. Arusha wamekwisha toa waraka wa pamoja kwa waumini wao - RC, KKKT na TAG.
Jamaa anamatatizo yule, akisahaulika anatafuta popularity faster, amekaa kibiashara zaidi....
Watu wamekwenda kwa Mungu, itakuwa Wizara ya Mambo ya Ndani. Huyo Masha mwenyewe hana imani na JK wenu.
Kakobe namfananisha na Yohana Mbatizaji.
Bado Masihi mwenyewe hajatoa tamko.
Tulieni. The time is now
Kaka punguza ukali wa maneno niko chobingo NINASALI ROZALI YA MAMA BIKIRA MARIA
Post ndefu lakini hakuna substantial ndani ni majungu tu.Hivi si ni hawa maaskofu na makasisi waliotuambia kikwete ni chaguo la mungu? Au sio wao jamani? Mimi nashindwa kuwaelewa hawa wachungaji wetu!! Yaani mchungaji wa mungu anawashauri waumini tena ndani ya kanisa wampigie kura hata mzinzi ili mradi awe mchapakazi!!!!
Yaani kanisa limekosa mchapakazi ktk nchi yetu hii yenye watu milioni 40 ila linamuona mtuy mmoja tu ambae ni mzinzi ndio aje atuongoze!!! Kama viongozi wa dini wamefikia hatua hiyo ya kudharau maadili na kuamua kutuchagulia wazinzi ndio wawe marais wetu basi wa tz tutegemee serikali itakayo kuwa na viongozi wazinzi waliokufa kimaadili na matokeo yake ni kupata wabunge wazinzi na mwisho watapitisha sheria zote chafu zilizo kinyume na maadili yetu ya kiafrika na hata zilizo kinyume na maumbile ya kibinadamu!!!
Huyu kakobe amevuka mpaka na naishauri serikali yetu imfanyia uchunguzi wa haraka ili kubaini kama anahusika na kuwaharibu watoto wadogo ktk kanisa lake au kama ana uhusiano na mtandao wa wachungaji waliopatikana na kashfa za uzinzi huko marekani, na ulaya maana yeye mwenyewe amethibitisha kuwa wazinzi hawana makosa yoyote hata wanaweza kuwa viongozi wetu!!!
Hii ni kauli ya hatari sana tena ikitoka ktk mdomo wa mchungaji wa kondoo ndio kabisa!!! Ushauri wangu tena wa kutoka moyoni kwa waumini wa kakobe na wakiristo wote mpuuzeni huyu askofu maana amekufa kimaadili na sijui huko kanisani huwa anahubiri nini? Kakobe anataka kutugawa wa tz na kuleta chuki za kidini na kama wa kiristo wamefikia mpaka wana hamasishana ndani ya makanisa nani wampe kura zao basi wa tz kuna hatari inakuja huko mbele maana waislamu nao wakianza kuhamasishana ndani ya misikiti yao, basi huwenda vurugu za kidini zisiepukike ole wetu!!!!
Wana jf lazima mutumie bongo zenu na muache kauli za kishabiki na za kiitikadi badala ya kuweka maslahi ya nchi yetu mbele nyinyi ndio mmekuwa mstari wa mbele kuwaunga mkono akina kakobe na pengo badala ya kuwaepuka maana hawa viongozi wanataka kuleta fitina ktk nchi yetu, wao ni wachungaji tu wa kondoo na sio wanasiasa!! Kazi za siasa waachiwe vyama vilivyosajiliwa kisheria. Kama akina kakobe wanahamu na siasa si watoke ndani ya makanisa ili waanzishe vyama vyao au wajiunge na chama wakitakacho? Nani kawazuia?
Mwaka 1993 lyatonga mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alimuonya shehe maarufu wa msikiti wa mtoro marehemu shekh kassim bin jumaa asihubiri siasa msikitini na kama hataacha yeye mrema atakuja msikitini na kumvua joho lake na kumpiga magumi!!! Na kweli mrema alimpiga huyu shehe magumi(alimsweka jela na kumdhalilisha kimwili na kiakili mpaka shekh kassim alipoachiwa huru hakuwa tena mzima na hakuchukuwa muda akafariki)
sasa naishauri serikali yetu isifanye kama alivyofanya mrema bali hatua za haraka zichukuliwe kumdhibiti huyu mchungaji kwani akiachiliwa aendelee hivi mimi naamini atachochea na kusababisha machafuko ktk nchi yetu!!!
Takataka tupu hizi umeandika hapa.Hivi si ni hawa maaskofu na makasisi waliotuambia kikwete ni chaguo la mungu? Au sio wao jamani? Mimi nashindwa kuwaelewa hawa wachungaji wetu!! Yaani mchungaji wa mungu anawashauri waumini tena ndani ya kanisa wampigie kura hata mzinzi ili mradi awe mchapakazi!!!!
Yaani kanisa limekosa mchapakazi ktk nchi yetu hii yenye watu milioni 40 ila linamuona mtuy mmoja tu ambae ni mzinzi ndio aje atuongoze!!! Kama viongozi wa dini wamefikia hatua hiyo ya kudharau maadili na kuamua kutuchagulia wazinzi ndio wawe marais wetu basi wa tz tutegemee serikali itakayo kuwa na viongozi wazinzi waliokufa kimaadili na matokeo yake ni kupata wabunge wazinzi na mwisho watapitisha sheria zote chafu zilizo kinyume na maadili yetu ya kiafrika na hata zilizo kinyume na maumbile ya kibinadamu!!!
Huyu kakobe amevuka mpaka na naishauri serikali yetu imfanyia uchunguzi wa haraka ili kubaini kama anahusika na kuwaharibu watoto wadogo ktk kanisa lake au kama ana uhusiano na mtandao wa wachungaji waliopatikana na kashfa za uzinzi huko marekani, na ulaya maana yeye mwenyewe amethibitisha kuwa wazinzi hawana makosa yoyote hata wanaweza kuwa viongozi wetu!!!
Hii ni kauli ya hatari sana tena ikitoka ktk mdomo wa mchungaji wa kondoo ndio kabisa!!! Ushauri wangu tena wa kutoka moyoni kwa waumini wa kakobe na wakiristo wote mpuuzeni huyu askofu maana amekufa kimaadili na sijui huko kanisani huwa anahubiri nini? Kakobe anataka kutugawa wa tz na kuleta chuki za kidini na kama wa kiristo wamefikia mpaka wana hamasishana ndani ya makanisa nani wampe kura zao basi wa tz kuna hatari inakuja huko mbele maana waislamu nao wakianza kuhamasishana ndani ya misikiti yao, basi huwenda vurugu za kidini zisiepukike ole wetu!!!!
Wana jf lazima mutumie bongo zenu na muache kauli za kishabiki na za kiitikadi badala ya kuweka maslahi ya nchi yetu mbele nyinyi ndio mmekuwa mstari wa mbele kuwaunga mkono akina kakobe na pengo badala ya kuwaepuka maana hawa viongozi wanataka kuleta fitina ktk nchi yetu, wao ni wachungaji tu wa kondoo na sio wanasiasa!! Kazi za siasa waachiwe vyama vilivyosajiliwa kisheria. Kama akina kakobe wanahamu na siasa si watoke ndani ya makanisa ili waanzishe vyama vyao au wajiunge na chama wakitakacho? Nani kawazuia?
Mwaka 1993 lyatonga mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alimuonya shehe maarufu wa msikiti wa mtoro marehemu shekh kassim bin jumaa asihubiri siasa msikitini na kama hataacha yeye mrema atakuja msikitini na kumvua joho lake na kumpiga magumi!!! Na kweli mrema alimpiga huyu shehe magumi(alimsweka jela na kumdhalilisha kimwili na kiakili mpaka shekh kassim alipoachiwa huru hakuwa tena mzima na hakuchukuwa muda akafariki)
sasa naishauri serikali yetu isifanye kama alivyofanya mrema bali hatua za haraka zichukuliwe kumdhibiti huyu mchungaji kwani akiachiliwa aendelee hivi mimi naamini atachochea na kusababisha machafuko ktk nchi yetu!!!
mwaka 2000 licha ya lipumba kuwa na nguvu na mrema kuonekana hohe hae, yaani hana uungwaji mono mkubwa , kakobe alijitokeza kumnadi Mrema eti kwa sababu akitaka mabadiliko huku akiamini kwamba Tlp ilikuwa haina nguvu. kama kweli akitaka mabadilko kwanini asimuunge mkono lipumba wakati huo kuiondosha ccm?
jee kujitokeza tena kumuunga mkono dk slaa kwa madai ya elimu bure na matibabu bure huku ahadi kama hiyo ikitolewa na lipumba ya elimu bure tena hadi chuo kiku na afya bure