Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Uchaguzi inabidi uwe unafanyika December 9
Nimekusoma. naamini watu wa kila kada watahamasishwa kupiga kura. Sipati picha watakaokuwa safarini siku hizo tutakosa kura zaokama mtu anataka kupiga kura anaweza tuu, KKKT na RC wana misa nyingi sana (tatu nakuendelea) na kila misa haichukui zaidi ya masaa 2 na zinaanza 12 asubuhi, so kusali sio kigezo labda kwa hao wanaosali asubuhi mpaka jioni
nadhani kuna watu wanafurahi wakristo wengi wasipige kura, safari hii tumefanya juhudi nyingi; lakini nec imeng'ang'ania, na hatuwezi kuacha kwenda kupiga kura kwani tunaweza kuchaguliwa kiongozi asiyefaa tukajutia kwa miaka mitano.
"hivyo natangaza rasmi siku hiyo ya uchaguzi hakutakuwa na ibada katika makanisa yote ya fgbf, milango ya makanisa hayo siku hiyo ifungwe na ibada ya siku hiyo ifanyike siku ya jumamosi," alisema askofu huyo.
Kakobe anazidi kuzihirisha kuwa ni askofu mwenye karama ya mfalme suleimani. Nakumbuka kile kisa cha wanawake wawili ambao mmoja wao alifiwa na mtoto. Kakobe anawafuasi kama 2M tanzania nzima najua watu hawatakubaliana na mimi!
jee kujitokeza tena kumuunga mkono dk slaa kwa madai ya elimu bure na matibabu bure huku ahadi kama hiyo ikitolewa na lipumba ya elimu bure tena hadi chuo kiku na afya bure
Wakristo wa kweli hawapigi kura, maana vita yao si ya nyama wala damu, wala si ya dunia hii.
Wakristo wa kweli hawapigi kura, maana vita yao si ya nyama wala damu, wala si ya dunia hii.
Kakobe...safi sana.
Kikwete na serikali yake ya kiislam walitaka kutudhulumu haki yetu hii ya msingi.
hata mie nashangaa!!!! anasubiri ashushiwe viongozi kutoka juu kama mikate ya manakura ni vita?
please do not quote the bible out of context. Kama hujui biblia kaa kimya sio kuibua mstari usiohusiana na uchaguzi na kuubandika kwenye maswala ya uchaguzi.wakristo wa kweli hawapigi kura, maana vita yao si ya nyama wala damu, wala si ya dunia hii.
please do not quote the bible out of context. Kama hujui biblia kaa kimya sio kuibua mstari usiohusiana na uchaguzi na kuubandika kwenye maswala ya uchaguzi.