..kaakobe yupo live BBC sasa....anahojiwa.....sasa!!!
Namsikia live ..Ok! personaly sikubalianai naye katu..kwa namna fulani: Haina maana kuwa kwa kuwa sisi(TZ) tulifanya makosa ya kutoandamana kwa makosa yetu..HILO lifanye Kibaki awe sahihi!!! Not right at all!!! Kibaki is wrong haihitaji kupewa pongezi. Au unasemaje???