Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Kwani sisi atujui maisha ya JK? Tuache siasa za chumbani, tuchague kiongozi bora.
Penye red, kamaliza yote.
Kwani sisi atujui maisha ya JK? Tuache siasa za chumbani, tuchague kiongozi bora.
Hajapotoka Mkuu Hebu wachambue viongozi wetu Wakuu ndani ya CCM nakuhakikishia Kama kigezo kingehusisha Na uadilifu ndani ya ndoa Hakuna hata mmoja ambae angepita
Kakobe ni Mtumishi wa kweli wa Mungu. Wale akina sijui mzee wa.upako na dokta rwakatare hawawezi kuikemea serikali yao. Wao ni funika kombe mwanaharamu apite
Hakuna mtu msafi hata mmoja ndani ya CCM
Katika salaam zake za Christmas jana katika Kanisa la F.G.B.F, Mwenge, Dar es Salaam, Askofu Mkuu Zachary Kakobe amezungumza kwa takribani saa mbili nzima mambo mazito sana kuhusu Uchaguzi Mkuu, Tume huru ya Uchaguzi, Ukabila na Ukanda, kufukuza viongozi katika vyama vya siasa na Serikali na mambo mengine mengi kuhusu mustakabali wa Taifa na mambo ya Kiroho. Kalamu na wino havitoshi kuyaandika. Tafuta wasaa wa kusikia hapa unedited full version ya mahubiri yake ya Christmas.
si kweli ukisikiliza vizuri CD yake utaona ame,mpongeza Kikwete kwa hatua la utawala. Sikiliza vizuri CD yake yote usikurupuke!!kumbe mzee ni chadema, maana anamuokoa slaa na mbowe hapa
shauri yako mwenye mawazo ya faida za dunia hii peke yakekweli kabsa,kakobe ana upeo wa hajabu...mi nashauri agombee urais hata kwa kupitia TLP.
Ujinga ni mtaji wa wanasiasa Wachovu wasiokubali mabadiliko .Humu Jf sio wajinga kiasi cha kutomfahamu Kakobe.Kiongozi anapozungumzia jambo ni vyema akajitazama mwenyewe kwanza kwa wanaomfahamu Kakobe ni mtu alieanza shughuli za kwa kuuza kanda za kaset pale Temeke mwisho akiwa na studio yenye jina la Edition Mlanga
Baada ya hapo ndipo alipobadilisha biashara na kuingia katika dini ambayo imemletea utajiri mkubwa mpaka sasa watoto wake wanasoma Marekani.
Suala la kujiuliza utajiri aliokuwa nao ameupata wapi na kwa nini asitumie utajiri huo aliokuwa nao kuwaendeleza hata waumini wake tu.
Kama kweli anauchungu na wananchi wa taifa hili badala yake anawachangisha michango mpaka mara nyingine wanakosa nauli ya kurudi majumbani kwao mara ngapi tunawapa lift waumini wake pale Mwenge.
ACHENI UNAFKI VIONGOZI WETU WA DINI MUOGOPENI MUNGU MNAYOYAFANYA NI ZAIDI YA WANA SIASA.
Ndivyo alivyo Nyeusi anaiita nyeusi na sio nyeupe.
Namkubali Kakobe,ana hekima kubwa.Mimi kama ningekuwa mkuu wa nchi ningemwomba Kakobe awe mshauri wangu.
Viongozi wa nchi na Rasilimali zetu.
Aliendelea kusema kuwa Tanzania ni nchi iliyo barikiwa sana kwa kuwa na Rasilimali nyingi lakini wananchi wake ni maskini. Alisema, hii inatokana na kuwa na viongozi ambao hawana maono ya kuwaletea wananchi maendeleo badala yake wao wanajiangalia wenyewe na familia zao.
Hili linamhusu na yeye Kakobe moja kwa moja.Kanisa lake limebarikiwa sana kwa raslimali lakini waumini wake ni maskini wa kutupwa hana maono ya kuwaletea maendeleo waumini wake anajiangalia mwenyewe na familia yake.
Jamani hamjui huyu ni kati ya MANABII WA UONGO WALIOTAFSIRIWA KWENYE BIBLE? MBONA WATZEE TUNA AKILI ZA KUAMBIWA?kweli kabsa,kakobe ana upeo wa hajabu...mi nashauri agombee urais hata kwa kupitia TLP.