Kiongozi anapozungumzia jambo ni vyema akajitazama mwenyewe kwanza kwa wanaomfahamu Kakobe ni mtu alieanza shughuli za kwa kuuza kanda za kaset pale Temeke mwisho akiwa na studio yenye jina la Edition Mlanga
Baada ya hapo ndipo alipobadilisha biashara na kuingia katika dini ambayo imemletea utajiri mkubwa mpaka sasa watoto wake wanasoma Marekani.
Suala la kujiuliza utajiri aliokuwa nao ameupata wapi na kwa nini asitumie utajiri huo aliokuwa nao kuwaendeleza hata waumini wake tu.
Kama kweli anauchungu na wananchi wa taifa hili badala yake anawachangisha michango mpaka mara nyingine wanakosa nauli ya kurudi majumbani kwao mara ngapi tunawapa lift waumini wake pale Mwenge.
ACHENI UNAFKI VIONGOZI WETU WA DINI MUOGOPENI MUNGU MNAYOYAFANYA NI ZAIDI YA WANA SIASA.
Baada ya hapo ndipo alipobadilisha biashara na kuingia katika dini ambayo imemletea utajiri mkubwa mpaka sasa watoto wake wanasoma Marekani.
Suala la kujiuliza utajiri aliokuwa nao ameupata wapi na kwa nini asitumie utajiri huo aliokuwa nao kuwaendeleza hata waumini wake tu.
Kama kweli anauchungu na wananchi wa taifa hili badala yake anawachangisha michango mpaka mara nyingine wanakosa nauli ya kurudi majumbani kwao mara ngapi tunawapa lift waumini wake pale Mwenge.
ACHENI UNAFKI VIONGOZI WETU WA DINI MUOGOPENI MUNGU MNAYOYAFANYA NI ZAIDI YA WANA SIASA.