Kakangu ameamua mwanae abadili kozi sababu ya Bodi ya Mikopo kuendeshwa kwa siasa!

NewPage

JF-Expert Member
Mar 22, 2021
1,281
2,020
Kakangu ana mwanae ambaye anaingia mwaka wa tatu kozi ya Udaktari (MD) kwa chuo ambacho nisingependa kukitaja. Mwanetu huyo pamoja na kuomba mkopo mara ya tatu mfululizo amekuwa akinyimwa. Siku zote amekuwa akilalamikia sana vipngozi wa Bodi ya Mikopo na hapa viongozi wetu hawa. Amekosa upendo nao kabisa. Huyu anatamani aanze upya ili hiyo miaka mitatu iliyobaki asome hata degree ingine tu ambayo haina gharama kama za Udaktari. Hii yote ni kwa sababu akiwa likizo humsaidia mzazi wake ilia apate anagalau karo.
Sidhani kama huyu kijana akija kuwa Daktari kisha Badru au Nyahende au familia zao wakienda kutibiwa na yeye atawapokea vizuri. Huyu kanyimwa mkopo hivi hivi kwa kuwa eti mzazi wake mmoja yupo kazini Serikalini. Huyu ni mmoja tu je wengine walioumizwa huko itakuwaje? Serikali ishsuriwe wadau wote wawekwe sawa kuepuka maslahi binafsi.
 
Karma will hunt them down
JamiiForums-407096383.jpg
 
Kaka vitu vya kawaida sanha hivo Mimi nshawai kuomba mkopo miaka mitatu mfululizo yote nimekosa na sipa akaunt zangu sijawai kukosea maombi hila mungu mkubwa chuo nimemaliza kwa mbinde alimanusura niache hila shukrani kwa mungu alinisaidia kuwa na marafiki wenye upendo walikua wanapiga mchango Mimi nafanikisha kulipa ada mungu awabariki nawaeshimu sanah marafiki wangu wamenisaidia kwa kiwango cha juu kufanikisha Leo nami niwe na degree na kwenye hii serikali namueshimu abood tu mbunge wa moro mjini alijitoa snah kwangu mungu ampe maisha marefu na yenye baraka tele anapaswa kuwa mfano kwa wabunge wa majimbo mengine
 
Kaka vitu vya kawaida sanha hivo Mimi nshawai kuomba mkopo miaka mitatu mfululizo yote nimekosa na sipa akaunt zangu sijawai kukosea maombi hila mungu mkubwa chuo nimemaliza kwa mbinde alimanusura niache hila shukrani kwa mungu alinisaidia kuwa na marafiki wenye upendo walikua wanapiga mchango Mimi nafanikisha kulipa ada mungu awabariki nawaeshimu sanah marafiki wangu wamenisaidia kwa kiwango cha juu kufanikisha Leo nami niwe na degree na kwenye hii serikali namueshimu abood tu mbunge wa moro mjini alijitoa snah kwangu mungu ampe maisha marefu na yenye baraka tele anapaswa kuwa mfano kwa wabunge wa majimbo mengine
Unafikiri kikwazo wewe kupata mkopo ilikuwa ni nini?
 
Kakangu ana mwanae ambaye anaingia mwaka wa tatu kozi ya Udaktari (MD) kwa chuo ambacho nisingependa kukitaja. Mwanetu huyo pamoja na kuomba mkopo mara ya tatu mfululizo amekuwa akinyimwa. Siku zote amekuwa akilalamikia sana vipngozi wa Bodi ya Mikopo na hapa viongozi wetu hawa. Amekosa upendo nao kabisa. Huyu anatamani aanze upya ili hiyo miaka mitatu iliyobaki asome hata degree ingine tu ambayo haina gharama kama za Udaktari. Hii yote ni kwa sababu akiwa likizo humsaidia mzazi wake ilia apate anagalau karo.
Sidhani kama huyu kijana akija kuwa Daktari kisha Badru au Nyahende au familia zao wakienda kutibiwa na yeye atawapokea vizuri. Huyu kanyimwa mkopo hivi hivi kwa kuwa eti mzazi wake mmoja yupo kazini Serikalini. Huyu ni mmoja tu je wengine walioumizwa huko itakuwaje? Serikali ishsuriwe wadau wote wawekwe sawa kuepuka maslahi binafsi.
Asiache ..
Apambane kutafuta kidogo kidogo
Ajishughulishe akiweza
Wakope kwa ndugu jamaa na marafiki
 
Kakangu ana mwanae ambaye anaingia mwaka wa tatu kozi ya Udaktari (MD) kwa chuo ambacho nisingependa kukitaja. Mwanetu huyo pamoja na kuomba mkopo mara ya tatu mfululizo amekuwa akinyimwa. Siku zote amekuwa akilalamikia sana vipngozi wa Bodi ya Mikopo na hapa viongozi wetu hawa. Amekosa upendo nao kabisa. Huyu anatamani aanze upya ili hiyo miaka mitatu iliyobaki asome hata degree ingine tu ambayo haina gharama kama za Udaktari. Hii yote ni kwa sababu akiwa likizo humsaidia mzazi wake ilia apate anagalau karo.
Sidhani kama huyu kijana akija kuwa Daktari kisha Badru au Nyahende au familia zao wakienda kutibiwa na yeye atawapokea vizuri. Huyu kanyimwa mkopo hivi hivi kwa kuwa eti mzazi wake mmoja yupo kazini Serikalini. Huyu ni mmoja tu je wengine walioumizwa huko itakuwaje? Serikali ishsuriwe wadau wote wawekwe sawa kuepuka maslahi binafsi.
Niliwahi kuandika kuhusu Nyahende na Badru hapa. Hawa watu wanapaswa kuondoshwa haraka sana, Hawafai na wana viburi sana. KWani walijaribu hata kupindisha Sheria na Kanuni za Bodi ili mtu asiweze kupeleka rufaa yake Mahakamani iwapo inatokea mtu hajaridhika na maamuzi yao ya utoaji wa mikopo. Ho...yooooo kabisa!
 
Mzazi Kama yupo serikalini sio Rahisi Apate mkopo labda aongope tu

Mtu aliye serikalini hawezi kukosa Ada 1.2 million kwa Ajili ya kuhakikisha mwanae anapata Degree
 
Back
Top Bottom