Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Camera iwe yake au ya mume kuangalia pcha kwani unakatazwa? Na kitu kama camera si watu wanatumia wote? huyo mwanaume ni limbukeni, kwani kutembea nao ni lazima awapige pcha hao wanawake halafu bila kujali anarudi home na mipicha yake, kha! Mwambie aingie kwenye internet atafute mwanaume mzur ambaye yuko uchi au kakaa hata beach ampige picha halafu na yeye akiulizwa akatae katakata.