Kaka yetu anasaidia ndugu wa mke wake, sisi hatusaidii

Mkuu hata mm kwaupande wangu Naona dalili ziko wazi kabisa Kwa brother,Ila nilichoona chamaana Sana,nikujipambania Tu mwenyewe kama vile yatima,ukifanikiwa zaidi yake ataanza kukutafuta yy ndipo mnaweza kuongea Kwa kuheshimiana mkuu,the best revenge is to be better than Ur rival.
Goodgoodgoodgoodgoodgoooood
 
Case closed.
 

Attachments

  • 20220710_232518.jpg
    20220710_232518.jpg
    29.9 KB · Views: 10
Katika maisha kosea vyote ila sio kuoa. Huyu kaka etu ana roho ya uchuro yani sisi wadogo zake tumbo moja tukiwa na shida ya kifedha jibu lake atasema Sina pesa ukibahatika sana basi utapewa nusu tu au unapewa kwa masimango lakini ndugu zake mke wake anawajali anacheka nao kila shida anawasaidia.

Mama mkubwa ametuambia karogwa na mke wake sisi kama ndugu tutafute mganga tumnasue maana huenda kapewa rimbwata. Huwezi sahau nyumbani kwenu ukawa unatunza watu ambao sio nduguzo, kwanini Hao watoto wasipewe hela na ndugu zao huko halafu waje kwa kaka etu kuwa ombaomba, kila nikienda kumsalimia broo nawakuta wapo, kila rikizo za shule na vyuo wakifunga wanaenda kwa broo.

Halafu utasikia shemeji shemeji, shemeji ya minyoko. Kuna siku miaka mitatu nyuma nilikwazika kweli, niliomba pesa ya ada akasema hawezi nipa mkononi akaenda benki akalipia, ila ndugu wa mke wake akitaka pesa ya Ada anampa cash in hand ila mimi haniamini. Binafsi nimeacha hata kwenda kumsalimia ila ipo siku atanikumbuka tu
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Wanawake wengi wakishaolewa japo sio wote huwa wanakuwa na roho mbaya. Hawapendi ndugu wa mume.

Nimeshawahi kushuhudia ndugu yetu mmoja alikuwa na upendo na ndugu zake,,kabla hajaoa lkn alivyooa tu kazi ikaanza. Sema ndugu wa mume kila mtu na maisha yake kwa hiyo hata kutembeleana ni nadra lkn hata itokee, ametembelewa na ndugu zake mke wake wala haangaiki kusema leo ndugu wa mume wanakuja. Kama siku hiyo kulikuwa na ratiba ya kupika makande yatapikwa hayohayo,,lkn siku wakiwa wanakuja ndugu zake ,,,kutapikwa mavyakula ya kila aina ambayo wala hayakuwepo kwenye ratiba.

Kwa hiyo anachosema mtoa mada yupo sahihi,, shida sio kutolea macho hela za kaka bali upendo ule anaowasaidia ndugu wa mke asaidie na ndugu zake. Kama anaweza waamin ndugu wa mke awaamin na ndugu zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wa mume bana! Yaan kaka yenu akioa tayari mshaeka chuki kwa wifi/shemeji eti kaja kumaliza pesa za kaka yetu, hamtaki wifi/shemeji yenu atembelewe na nduguze, wadogo zake wakisoma eti ni pesa ya kaka, kwao wakijenga ni pesa ya kaka, yaan ni kama mlieka agano na Mungu kwamba upande wa mke lazima wawe fukara wa kutegemea pesa za ndugu zenu! Hamtaki ndugu wa mke asaidiwe ata kidogo wakati kaka yenu bahati mbaya ametangulia mbele za haki hakuna ndugu atajali watoto wake zaidi ya kugombania urithi afu watoto wanakuja kusaidiwa na wajomba ambao mliwaona tegemezi kwa kaka yenu
Hivi kwenye hizi ndoa ni mume tu ndo anakuwa wa kwanza kufa?
Wanawake wengi wanataka kauli kama yako, "ukifa/akifa nitahangaika na watoto, mara oooh ndugu wataninyanyasa, n.k

Mbona sijawahi kusikia mwanaume akisema habari za "mke wangu akifa ...."
 
Hivi kwenye hizi ndoa ni mume tu ndo anakuwa wa kwanza kufa?
Wanawake wengi wanataka kauli kama yako, "ukifa/akifa nitahangaika na watoto, mara oooh ndugu wataninyanyasa, n.k

Mbona sijawahi kusikia mwanaume akisema habari za "mke wangu akifa ...."
In most cases wengi wanatangulia wanaume wanawaacha wajane, sio kama wanawake huwa hawafi, wanakufa saaana tu ila issue ya watoto na mke kuteseka huwa linawaka wuuu
 
Katika maisha kosea vyote ila sio kuoa. Huyu kaka etu ana roho ya uchuro yani sisi wadogo zake tumbo moja tukiwa na shida ya kifedha jibu lake atasema Sina pesa ukibahatika sana basi utapewa nusu tu au unapewa kwa masimango lakini ndugu zake mke wake anawajali anacheka nao kila shida anawasaidia.

Mama mkubwa ametuambia karogwa na mke wake sisi kama ndugu tutafute mganga tumnasue maana huenda kapewa rimbwata. Huwezi sahau nyumbani kwenu ukawa unatunza watu ambao sio nduguzo, kwanini Hao watoto wasipewe hela na ndugu zao huko halafu waje kwa kaka etu kuwa ombaomba, kila nikienda kumsalimia broo nawakuta wapo, kila rikizo za shule na vyuo wakifunga wanaenda kwa broo.

Halafu utasikia shemeji shemeji, shemeji ya minyoko. Kuna siku miaka mitatu nyuma nilikwazika kweli, niliomba pesa ya ada akasema hawezi nipa mkononi akaenda benki akalipia, ila ndugu wa mke wake akitaka pesa ya Ada anampa cash in hand ila mimi haniamini. Binafsi nimeacha hata kwenda kumsalimia ila ipo siku atanikumbuka tu
Duu
 
Back
Top Bottom