Pre GE2025 Kaka yake Lissu: Mbowe anatukuza utajiri wake na kumnyanyasa Lissu kwa umaskini wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,047
5,593
Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa wanadaiwa kutoka nje ya mstari na badala yake walipaswa kueleza sera zao kwa wanachama.

"Kampeni zao kwa ujumla zinaenda vizuri ingawaje kwenye huu mnyukano hawa wagombea hasa wawili Freeman Mbowe na bwana Tundu (Tundu Lissu) kuna maeneo ambayo wameenda nje ya Reli, badala ya kujadili hoja wameanza kurushiana maneno ambayo siyo ya staha..."
Pia, Soma:
 
Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa wanadaiwa kutoka nje ya mstari na badala yake walipaswa kueleza sera zao kwa wanachama.

"Kampeni zao kwa ujumla zinaenda vizuri ingawaje kwenye huu mnyukano hawa wagombea hasa wawili Freeman Mbowe na bwana Tundu (Tundu Lissu) kuna maeneo ambayo wameenda nje ya Reli, badala ya kujadili hoja wameanza kurushiana maneno ambayo siyo ya staha..."
Pia, Soma:
suluhisho la umaskini ni kua na bidii tu kwenye kazi, vinginevyo ombaomba itaendelea kukufanya uwe myonge na wa kutegemea huruma ya jamii tu 🐒
 
Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa wanadaiwa kutoka nje ya mstari na badala yake walipaswa kueleza sera zao kwa wanachama.

"Kampeni zao kwa ujumla zinaenda vizuri ingawaje kwenye huu mnyukano hawa wagombea hasa wawili Freeman Mbowe na bwana Tundu (Tundu Lissu) kuna maeneo ambayo wameenda nje ya Reli, badala ya kujadili hoja wameanza kurushiana maneno ambayo siyo ya staha..."
Pia, Soma:
Akina Lissu na kaka yake waache ukabila na nepotism.
 
Mbowe anahujumu Chadema kwa fedha zake!
Inasemekana kuwa Mbowe ametoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu. Kwa maneno mengine Mkutano Mkuu usingefanyika bila mchango wake. Sasa kwa vile watu wengi mnaona kuwa anawahujumu basi changeni angalau milioni 200 mumrudishie ili asiwasimange na pesa zake. Wakati huo huo mchangieni Lissu milioni 30 alizoombwa achangie. Milioni 230 hakiwezi kuwashinda.

Amandla...
 
Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa wanadaiwa kutoka nje ya mstari na badala yake walipaswa kueleza sera zao kwa wanachama.

"Kampeni zao kwa ujumla zinaenda vizuri ingawaje kwenye huu mnyukano hawa wagombea hasa wawili Freeman Mbowe na bwana Tundu (Tundu Lissu) kuna maeneo ambayo wameenda nje ya Reli, badala ya kujadili hoja wameanza kurushiana maneno ambayo siyo ya staha..."
Pia, Soma:
Maria kamnunulia gari la milioni elfu 1 lissu. Huo si utajiri?
 
Inasemekana kuwa Mbowe ametoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu. Kwa maneno mengine Mkutano Mkuu usingefanyika bila mchango wake. Sasa kwa vile watu wengi mnaona kuwa anawahujumu basi changeni angalau milioni 200 mumrudishie ili asiwasimange na pesa zake. Wakati huo huo mchangieni Lissu milioni 30 alizoombwa achangie. Milioni 230 hakiwezi kuwashinda.

Amandla...
Hiyo m250 imetoka kwa Abdul na ruzuku ikiingia mwamba ataidai.
 
Inasemekana kuwa Mbowe ametoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu. Kwa maneno mengine Mkutano Mkuu usingefanyika bila mchango wake. Sasa kwa vile watu wengi mnaona kuwa anawahujumu basi changeni angalau milioni 200 mumrudishie ili asiwasimange na pesa zake. Wakati huo huo mchangieni Lissu milioni 30 alizoombwa achangie. Milioni 230 hakiwezi kuwashinda.

Amandla...


Ruzuku ya chama huwa inaenda wapi mpaka chama hakiwezi kujiendesha kugharamia mkutano mkuu wa wajumbe ? Au Ruzuku huwa inaingia mifukoni mwa mbowe na kusababisha chama kukosa pesa ya kujiendesha.
 
Inasemekana kuwa Mbowe ametoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu. Kwa maneno mengine Mkutano Mkuu usingefanyika bila mchango wake. Sasa kwa vile watu wengi mnaona kuwa anawahujumu basi changeni angalau milioni 200 mumrudishie ili asiwasimange na pesa zake. Wakati huo huo mchangieni Lissu milioni 30 alizoombwa achangie. Milioni 230 hakiwezi kuwashinda.

Amandla...
Sawa tunachanga
 
Ruzuku ya chama huwa inaenda wapi mpaka chama hakiwezi kujiendesha kugharamia mkutano mkuu wa wajumbe ? Au Ruzuku huwa inaingia mifukoni mwa mbowe na kusababisha chama kukosa pesa ya kujiendesha.
Majibu yatapatikana baada ya Mbowe kutoka madarakani. Ndio tutajua kwa nini CDM wanaishiwa wakati mapesa ya ruzuku na ada za digital yapo kibao.

Proof of the pudding is in the eating.

Amandla...
 
Back
Top Bottom