technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Kesi ya Kubenea ambaye amepata dhamana Jana baada ya wakili maarufu Arusha ambaye Ni Kaka yake lissu kujitokeza kumtetea ipasavyo.
Hakika nimeona maajabu baada ya kumuona mwanaume akimwaga machozi
Kiukweli ujafa ujaumbika yale machozi hata Kama Kubebea ana makosa lakini ni ujumbe tosha Sana kwa watawala wa nchi hii.
Watu wote pia tutoke tutetee haki zetu kwani huwezi kujua zamu yako itakuwa lini?
Uwe CCM uwe upinzani inatakiwa kuwa makini Sana na utawala huu maana hatujuwi kesho wataamka na nani na kesi gani.
Hongera Kaka yake Lissu kwa kujitoa na kumtetea kubenea.
Mungu akubariki.
Hakika nimeona maajabu baada ya kumuona mwanaume akimwaga machozi
Kiukweli ujafa ujaumbika yale machozi hata Kama Kubebea ana makosa lakini ni ujumbe tosha Sana kwa watawala wa nchi hii.
Watu wote pia tutoke tutetee haki zetu kwani huwezi kujua zamu yako itakuwa lini?
Uwe CCM uwe upinzani inatakiwa kuwa makini Sana na utawala huu maana hatujuwi kesho wataamka na nani na kesi gani.
Hongera Kaka yake Lissu kwa kujitoa na kumtetea kubenea.
Mungu akubariki.