Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 5,725
- 7,562
Hoja,
Rafiki angu amemwajiri kijana (kisambaa) kufanya kazi, baadaya ya wiki kadhaa akamtumia bosi ujumbe huu "kaka wana mila zao kijijini wameniambia tangu tar 2 wanataka TZS (000000)...kwa ajili ya kusafisha nyota yake.
Akapewa hizo TZS
Sasa amerudi na hoja nyingine tangu aajiriwe hela haoni, yaani anahisi mkewe amemchafulia nyota yake ya kupata hela
Msaada unahitajika kujua sera za vijana wa Kisambaa katika maswala ya utendaji kazi/mila/nk kwa anayefahamu
Rafiki angu amemwajiri kijana (kisambaa) kufanya kazi, baadaya ya wiki kadhaa akamtumia bosi ujumbe huu "kaka wana mila zao kijijini wameniambia tangu tar 2 wanataka TZS (000000)...kwa ajili ya kusafisha nyota yake.
Akapewa hizo TZS
Sasa amerudi na hoja nyingine tangu aajiriwe hela haoni, yaani anahisi mkewe amemchafulia nyota yake ya kupata hela
Msaada unahitajika kujua sera za vijana wa Kisambaa katika maswala ya utendaji kazi/mila/nk kwa anayefahamu