Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 456
Nasikia FifA WALIBAN HAYO MANENO kw wanasoka.
Nasikia FifA WALIBAN HAYO MANENO kw wanasoka.
Kwa nini?
Ninabarikiwa sana ninapoona watu naarufu kama Kaka wakimkiri Yesu Kristo hadharani na mbele ya umati mkubwa kama wa mashabiki wa mpira. Glory be to God.
Ulokole wake kwenye pesa mbona unasimama? Sijui kimaadili ya kilokole yanasemaje kuhusu mavazi, kwani nakumbuka huyu jamaa alitangaza chupi flani hivi, na kuonekana hadharani amevaa chupi tu. Pia hata Robert Kelly alitangaza kuwa ni mlokole, ila baada ya mda mchache alionekana akitoa nyimbo na kufanya shooting na madada wakiwa na vichupi tu! Au mimi sijaelewa maana ya ulokole!
Ulokole wake kwenye pesa mbona unasimama? Sijui kimaadili ya kilokole yanasemaje kuhusu mavazi, kwani nakumbuka huyu jamaa alitangaza chupi flani hivi, na kuonekana hadharani amevaa chupi tu. Pia hata Robert Kelly alitangaza kuwa ni mlokole, ila baada ya mda mchache alionekana akitoa nyimbo na kufanya shooting na madada wakiwa na vichupi tu! Au mimi sijaelewa maana ya ulokole!
same thing nimesema kwa post ya juu, alikuwa anatangaza boxer za emporio armani nyeupe, ndio akatokelezea kwa kideo na boxer tu. tangu hapo nikaona ni ubatili mtupu na ricardo anajilisha upepo!