BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Kaka yangu ni mpenzi sana wa muziki wa hip hop. Mke wake ni mjamzito, Ijumaa walienda kufanya ultra sound na wameambiwa mtoto anayekuja ni wa kiume.
Sasa kumekuwa na ubishani wa hali ya juu mpaka wamenuniana mpaka leo, kisa ni kwamba kaka anataka mwanae aitwe 2pac wakati mke wake anasema atoe jina lolote lile lakini sio hilo. Anadai kuwa hilo ni jina ni la kihuni sana.
Kaka ameshaanza kujiita ''Baba 2Pac'', kwenye social media amebadili majina anajiita ''Baba 2Pac'' ndio hapo mke wake anazidi kununa hatari.
Imepostiwa na,
Mdogo wa Baba 2pac
Sasa kumekuwa na ubishani wa hali ya juu mpaka wamenuniana mpaka leo, kisa ni kwamba kaka anataka mwanae aitwe 2pac wakati mke wake anasema atoe jina lolote lile lakini sio hilo. Anadai kuwa hilo ni jina ni la kihuni sana.
Kaka ameshaanza kujiita ''Baba 2Pac'', kwenye social media amebadili majina anajiita ''Baba 2Pac'' ndio hapo mke wake anazidi kununa hatari.
Imepostiwa na,
Mdogo wa Baba 2pac