Kajala, Paula wahojiwa polisi wakidaiwa kusambaza picha za Harmonize

Tuwe na akiba ya maneno mambo ndo kwanza yameanza. Hapa hakuna yeyote wakumsaidia baada ya madhambi yao kumulikwa tutajisikia aibu kwa kuwasimamia
 
By the way hakuna cha uzungu wala nini huyu mtoto angekuwa wangu ningemnyoosha tu mzazi haupaswi kumkatia Tamaa binti yako kuanzia kumsomesha Hadi kwenye tabia
Huyu unapiga nusu kuuwa mwenyewe anakaa kwenye mstari,na hii kuzaa zaa hovyo kujidanganya matunzo nitakuwa namtumia mama yake acha anilelee mtoto wangu ndo mwisho wanazusha mabalaa kama haya.

Kama huyu angezaliwa ndani ya familia akakua ndani ya familia possibility ya kuharibika kiasi hiki ingekuwa ndogo sana hawa singo moms ni hatari wanaharibu sana kizazi!
 
Ungemfanya Nini?
Huyo ni adhabu za maana hajawahi kupewa ndo maana anakuwa na wenge,huko mitaani acha hii popoma inayong'arishwa na camera 360 wapo watoto wazuri kinyama but husikii wamefanya hata theluthi ya anachokifanya huyu kutokana na mikong'oto ya wazazi wanayokutana nayo wakizingua.
 
Nawaona Wapumbavu katika cycle yao ya upumbavu.Pamoja na hayo natamani nipate fursa ya kumtia dudu huyu mtoto wa kajala na hata kajala mwenyewe huku ray van na hamonaizi wakiwa wamewashika miguu kuwatanua.

Hahaaa wewe mtu umenifanya nicheke
 
Mapenzi upofu Boss, mimi naikubaligi sana

Ni huyu au kuna mwingine??
JamiiForums1371474317.jpg


Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom