warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,378
Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .
Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.
Hivi wanajua maana reality show hawa? Ebu wakachungulie kwanza reality shows za South Africa tu Hapo halafu waje waone kama kweli na wao wanataka kufanya reality show au bongo movie.
Kwa East Africa Zari peke yako ndo atleast ana hadhi ya kufanya reality show ikafanya poa, she is smart , she is living a a life, hajasoma But ako na exposure, anaishi kistaa, Zari kipindi chake hata ulaya wanaweza kuangalia, she is on that level yani , sasa hawa mama ntilie mtu na Mama ake mamburula shule hawana, akili hawana,, kusafir tu Dubai washajione akina kim kardashian mxieew
Kwanza kajala kazubaa sana hana swagg zozote, yani mmeona mmepata kiki kidogo tu mkaamua kupiga picha eti reality show, huyo paula ukimuona live hana huo mvuto ni mzuri tu wa sura, utopolo mtupu
Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.
Hivi wanajua maana reality show hawa? Ebu wakachungulie kwanza reality shows za South Africa tu Hapo halafu waje waone kama kweli na wao wanataka kufanya reality show au bongo movie.
Kwa East Africa Zari peke yako ndo atleast ana hadhi ya kufanya reality show ikafanya poa, she is smart , she is living a a life, hajasoma But ako na exposure, anaishi kistaa, Zari kipindi chake hata ulaya wanaweza kuangalia, she is on that level yani , sasa hawa mama ntilie mtu na Mama ake mamburula shule hawana, akili hawana,, kusafir tu Dubai washajione akina kim kardashian mxieew
Kwanza kajala kazubaa sana hana swagg zozote, yani mmeona mmepata kiki kidogo tu mkaamua kupiga picha eti reality show, huyo paula ukimuona live hana huo mvuto ni mzuri tu wa sura, utopolo mtupu