Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,708
- 45,071
Muda mchache uliopita, wapinzani wa Simba katika robo fainali ya Caf Champions League, Kaizer Chiefs wamefungwa goli 2-1 na Tshakhuma Fc inayofundishwa Dyran Kerr aliyewahi kuifundisha Simba miaka ya nyuma. Ikumbukwe Tshakhuma Fc inashika nafasi ya 14 katika ligi kuu ya Afrika Kusini (PSL).
Kaizer Chiefs maarufu kama Amakhosi, wamepoteza mchezo huo huku mchezaji wao akilambwa kadi nyekundu na kuwaacha wakishika nafasi ya 9 katika msimamo wa ligi kuu ya Afrika Kusini.
Nafikiri Simba Sc watakuwa wamefatilia mchezo huu kwa uzuri kabisa, na nimegundua udhaifu mkubwa katika idara ya ulinzi ya Kaizer Chiefs.
Kaizer Chiefs maarufu kama Amakhosi, wamepoteza mchezo huo huku mchezaji wao akilambwa kadi nyekundu na kuwaacha wakishika nafasi ya 9 katika msimamo wa ligi kuu ya Afrika Kusini.
Nafikiri Simba Sc watakuwa wamefatilia mchezo huu kwa uzuri kabisa, na nimegundua udhaifu mkubwa katika idara ya ulinzi ya Kaizer Chiefs.