Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 1,672
- 2,331
Uto bila makandokando ya akina mpili angechapwa 9-0Simba nae angetinga fainali angechapwa kichapo hicho hicho
Uto bila makandokando ya akina mpili angechapwa 9-0Simba nae angetinga fainali angechapwa kichapo hicho hicho
Ama kweli Yanga mmezoea kulalamika, yaani ile Red card unasema sio sahihi, ama haukuangalia mpira ulihadithiwa tu nduguWaarabu wamebebwa red card siyo sahihi kabisa
Sikuuona kabisa mi nasoma comments tu humuAma kweli Yanga mmezoea kulalamika, yaani ile Red card unasema sio sahihi, ama haukuangalia mpira ulihadithiwa tu ndugu
Basi usiamini kwenye Comments ndugu yangu,Sikuuona kabisa mi nasoma comments tu humu
Wangeingia fainali ya wapi bhana! Kikosi kipana mwisho wake ni robo fainali.
Wamenidisapoint kweli Hawa wasauzi. Hata hivyo mpira ulikuwa wa hovyo Sana utafikiri ndondo cup? No mvuto wacha tusubiri KigomaKweli waliua mbu
Kivipi mpira haukua na mvuto! Angefungwa al ahaly usungekuja na haya maneno, ungeanza kuwasifu kaiza chipsiWamenidisapoint kweli Hawa wasauzi. Hata hivyo mpira ulikuwa wa hovyo Sana utafikiri ndondo cup? No mvuto wacha tusubiri Kigoma
Waarabu wamebebwa red card siyo sahihi kabisa
Tunaaminishwa kabisa kuwa jana tungewashuhudia watani zetu wanacheza fainaliNa nyie yaliwapiga 4
Umetumia busara kumuelimisha pengine mwenzio ana mahabaKivipi mpira haukua na mvuto! Angefungwa al ahaly usungekuja na haya maneno, ungeanza kuwasifu kaiza chipsi
Al ahaly kama kawaida yao wanajua mpira
Angalia hapa tofauti ya Ahaly na chipsi wako
View attachment 1857921
Um
Umetumia busara kumuelimisha pengine mwenzio ana mahaba
Moja kwamojaKwahiyo simba wangeingia final kama Wangemlamba kaizer
Moja kwamoja
Imefanyaje imeingia fainali au uyanga unakusumbuaUnajiaminisha vipi kwa Wydad Casablanca?
Imefanyaje imeingia fainali au uyanga unakusumbua