OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,166
- 103,623
Acha na stori za Yanga na serikali ya kiujanja-ujanja. Twende tumzungumzie mpinzani wa Simba Sc robo fainali.
Hii timu ina hali ngumu sana na kuna kila dalili za kucheza playoff ili ibaki ligi kuu. Yeye na timu ya pili kutoka mwisho wanapishana point 5 tu.
Kocha wao amewaambia mashabiki waache mdomo hakuna mtu aliyewekewa bunduki kushabikia Chiefs.
Hii habari iwafikie Utopolo wasijiangaishe kuunda kamati topolo la mapokezi
Simba Nguvu Moja