Kaizer Chiefs hali mbaya, anaweza kucheza playoff

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,166
103,623
184726773_3671062113000402_4081475598685800081_n.jpg

Screenshot_20210510-154948_Chrome.jpg

Acha na stori za Yanga na serikali ya kiujanja-ujanja. Twende tumzungumzie mpinzani wa Simba Sc robo fainali.

Hii timu ina hali ngumu sana na kuna kila dalili za kucheza playoff ili ibaki ligi kuu. Yeye na timu ya pili kutoka mwisho wanapishana point 5 tu.

Kocha wao amewaambia mashabiki waache mdomo hakuna mtu aliyewekewa bunduki kushabikia Chiefs.

Hii habari iwafikie Utopolo wasijiangaishe kuunda kamati topolo la mapokezi

Simba Nguvu Moja
 
Kaizer Chiefs na Orlando Pirates ndizo Simba na Yanga za South Africa.

Huwa zinacheza Soweto Derby. Na
Zina pressure sana ndio maana unaona kuna kujitetea hapo.

Sulala kufanya vibaya, huwezi kuconclude kwamba team iko vibaya, hata ugumu wa league unachangia pia

 
Back
Top Bottom