Kaini alipata wapi mke wake?

Nilishwahi uliza swali hili kwa mchungaji wangu mmoja na alinipa majibu haya.

1. Biblia tunayotumia haina rekodi ya kila kitu kilichotokea mwanzo, yaani siyo vyote viliandikwa na inasemekana kuna biblia ambayo ina record ya yote yaliyotokea mwanzo ( binafsi sijawahi kuiona ).

2. Matukio ya kwenye Bible yalikuwa yanaandikwa baada ya kupita muda fulani, yaani utaratibu wa kukusanya mistari ilikuwa ikifanyika ambapo kuna mistari ilibeba rekodi za miaka kadhaa mpaka mstari mwingine kutokea.

Kwa mfano hilo la Kaini, haijulikani ni baada ya miaka mingapi tukio hilo lilitokea na ndani ya huo muda Je, Adam na Hawa hawakufanikiwa kupata watoto wengine ? Ambao nao walitapakaa maeneo tofautitofauti.

3. Kupitia sababu hiyo ya pili ndipo hapo Kaini alipata mke ambaye inaonekana alikuwa ndugu yake either wa damu au alikuwa ndugu yake na ndugu zake wa damu.

Nilimuuliza mchungaji, kwanini sasa kwasasa mtu kumuoa dada yake au ndugu yake ni dhambi ilihali hapo zamani Kaini aliweza kufanya hivyo??

Alinipa jibu hili:

Kwa kipindi kile Mungu aliruhusu iwe hivyo ili watu waendelee kuzaliana na kuijaza dunia hivyo haikuwa dhambi tofauti na inavyotafsirika leo.

Baada ya kunipa ufafanuzi huo nilikuwa na maswali mengi sana ila nilimuaga mchungaji ili nisijeibua maswali yasiyokuwa na majibu
Si kila mchungaji ana roho wa kumsaidia kusoma na kupata maana halisi ya kibiblia... si ajabu alikupa jibu analodhani yeye na si kwa usaidizi wa roho mtakatifu.
 
Nahisi Ni kwa sababu biblia inataja vizazi vya watu kwa kupitia watoto wa kiume mfano Ni :Adam kumzaa kain,Abel na Seth so hii haimaanishi kuwa hao waliotajwa ndio peke yao tu walizaliwa na ADAM NA HAWA ukute Kain hata hakuwa wakwanza kuzaliwa kwa Hawa Bali waeza kuta walizaliwa wa kike wengi alafu yeye Ndo akafatia na kwa kuwa biblia kuhesabu watu ilikuwa inahesabu wanaume tu peke yao labda ndio maana
Upo right mkuu, enzi hizo wanawake hawakuhesabiwa kabisa hivyo kaini alimuoa dada yake ambaye hakuwa mentioned kwenye Bililia.
Hata wakati yesu analisha watu kwa samaki na mikati, Bililia inasema wanawake hawakuhesabiwa!
 
Adam na Eva hawakuwa wanadamu wa kwanza kuumbwa na Mungu, ila ni wanadamu wa kwanza kuumbwa katika bustani ya Edeni. Walikuwa ni aina mpya kabisa na Mungu akawatenga waishi katka bustani ya Edeni maisha yao yote. Ila nje mbali na bustani kulikuwepo binadamu wengine kabisa wakiishi. Baada ya kuasi na kufukuzwa bustanini ndo wakaja kuishi nje ya bustani ambapo pia watu wengine walkuwepo wakiishi kabla yao. Na hao watu waloumbwa mapema walokuwa wanaishi mbali na bistani walikuwa weusi kumbe ndo waafrika.
Msemaji baada ya kuvuta bangi 😂 😂 😂
1617125797602.png
 
Ndugu, Ukitaka kuchuma dhambi we endela kuihoji biblia kwenye masuala ya kiutata kwa uwezo wa kibinadamu. Tafsiri ya Biblia ni kitu kizito mno - masuala mengine kwenye biblia unahitaji Roho mtakatifu kupata ufunuo !!
Sidhani kama unachofikiri ni kweli maana lazima tuhoji baadhi ya vitu
 
Adam na Eva hawakuwa wanadamu wa kwanza kuumbwa na Mungu, ila ni wanadamu wa kwanza kuumbwa katika bustani ya Edeni. Walikuwa ni aina mpya kabisa na Mungu akawatenga waishi katka bustani ya Edeni maisha yao yote. Ila nje mbali na bustani kulikuwepo binadamu wengine kabisa wakiishi. Baada ya kuasi na kufukuzwa bustanini ndo wakaja kuishi nje ya bustani ambapo pia watu wengine walkuwepo wakiishi kabla yao. Na hao watu waloumbwa mapema walokuwa wanaishi mbali na bistani walikuwa weusi kumbe ndo waafrika.
😅😅😅😅😅

Aiseee hii umetoa wapi?
 
Adam na Eva hawakuwa wanadamu wa kwanza kuumbwa na Mungu, ila ni wanadamu wa kwanza kuumbwa katika bustani ya Edeni. Walikuwa ni aina mpya kabisa na Mungu akawatenga waishi katka bustani ya Edeni maisha yao yote. Ila nje mbali na bustani kulikuwepo binadamu wengine kabisa wakiishi. Baada ya kuasi na kufukuzwa bustanini ndo wakaja kuishi nje ya bustani ambapo pia watu wengine walkuwepo wakiishi kabla yao. Na hao watu waloumbwa mapema walokuwa wanaishi mbali na bistani walikuwa weusi kumbe ndo waafrika.
Andiko lipi
 
hapo zamani watu walikuwa wakiishi kama wanyama maana ni zama za ujinga

Reference: mbuzi kumpanda mama yake, kuzaa na Dada zake hizo ndiyo zama za ujinga zivyokuwa

Umekumbuka


Matendo ya mtume 17:30 SUV

Basi,. zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.




soma hii pia

MWANZO 19:30-38 "Loti/Lutu aliogopa kuishi Soari kisha akauhama mji huo yeye pamoja na binti zake wawili.Wakaenda kuishi pangoni milimani.

Binti yake mkubwa akamwambia dadake mdogo "Tazama baba yetu ni mzee na hakuna mwanamume nchini wa kutuoa tupate watoto.Tumlevye baba yetu ili tulale naye atuzalie watoto."


Usiku huo wakamlevya baba yao divai na binti mkubwa akalala naye na kupata mimba........
 
Wakisha kujibu mkuu!

Naomba uwaulize kama yesu alikuwa mwanadamu kweli na Mungu pia, je sifa zote za kibinadamu alikuwa nazo?

Mfano: Yesu kama mwanaume je alisimamisha (erection)

Kwasababu hata mtoto wa mwaka mmoja au miwili hupata erection.

If yes ! Can we call it Holy Erection!?
 
Natumai ni mzima na unaendelea vyema na majukumu, Kama unaumwa utapona kwa uwezo wa muumba wako.

HOJA YA MSINGI:

“Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, na baadae Seth, Je, mke wa Kaini alitoka wapi?”
Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa, na kwenye hii mada tutajibu hili swali linalo wachanga sana watu.
MUKTASARI:
Katika Mwanzo sura ya 3 na ya 4 tunapata habari zifuatazo:

(1) Hawa alikuwa “mama ya kila mtu anayeishi.”

(2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu.

(3) Baada ya kufukuzwa na kuwa “mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,” Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ‘mtu yeyote akakutana naye’ na kujaribu kumuua. [Angalia hoja hapa "Kaini anaogopa kuuwawa na watu wengine"] Hapa panaonyesha kuwa Kaini alikuwa na ndugu wengine.

(4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. Kumbe basi Kaini alikuwa na ndugu wengine zaidi ya Abel na Seth.

(5) “Baadaye” Kaini alilala na mke wake “katika nchi ya Ukimbizi.”—Mwanzo 3:20; 4:3, 12, 14-17.

Naomba majibu tafadhari.
Maswali kama haya nimeuliza sana sipati jibu sahihi.
Ikitokea ukajibiwa vizuri tusogezane nipo counter mkuu.
 
Wakisha kujibu mkuu!

Naomba uwaulize kama yesu alikuwa mwanadamu kweli na Mungu pia, je sifa zote za kibinadamu alikuwa nazo?

Mfano: Yesu kama mwanaume je alisimamisha (erection)

Kwasababu hata mtoto wa mwaka mmoja au miwili hupata erection.

If yes ! Can we call it Holy Erection!?
Sawa mkuu
 
hapo zamani watu walikuwa wakiishi kama wanyama maana ni zama za ujinga

Reference: mbuzi kumpanda mama yake, kuzaa na Dada zake hizo ndiyo zama za ujinga zivyokuwa

Umekumbuka


Matendo ya mtume 17:30 SUV

Basi,. zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.




soma hii pia

MWANZO 19:30-38 "Loti/Lutu aliogopa kuishi Soari kisha akauhama mji huo yeye pamoja na binti zake wawili.Wakaenda kuishi pangoni milimani.

Binti yake mkubwa akamwambia dadake mdogo "Tazama baba yetu ni mzee na hakuna mwanamume nchini wa kutuoa tupate watoto.Tumlevye baba yetu ili tulale naye atuzalie watoto."


Usiku huo wakamlevya baba yao divai na binti mkubwa akalala naye na kupata mimba........
Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom