2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Kaini alioa dada yake sababu kipindi hicho ndio kwanza dunia ilikua inapanuka. Watu wanaweza kusema anaweza vipi kuoa dada,jibu ni kwa kipindi kile hakukua na sheria inayokataza kuoa na kuolewa na dada,baba,mama,au ndugu.Bado mkuu
Pia Abrahamu alioa dadayeke(Sara) Isaka alienda kuoa kwa wajomba zake.
Baada ya Sodoma na Gomora wale mabint waliobak na baba yao walilala naye ili mzee wao awaachie uridhi(watoto) sababu mzee alikua kazeeka sana na hakukua na vijana wa kuwazalisha kipindi hicho.
Chanzo: Biblia