Kaini alipata wapi mke wake?

Soma Biblia vizuri, ukishindwa jaribu kuongea na viongozi wako wa dini.

Changamoto ipo ktk usomaji wako, na pia kuna changamoto ya kimapokeo na lugha yetu adhimu kutokuwa na misamiati ya kutosha.

Adamu na Eva walikuwa kama reference point ya biblia, watu wengine wanaozungumziwa na Kaini hawakuwa ndugu zake.
alright
 
naweza kusema Wanadamu walikuwepo kabla ya Adam!
1) “Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. ”
— Mwanzo 1:27

Baada ya mamiiaka na miaka kupita 👇
2) “Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. ”
— Mwanzo 2:7
3) “Bwana akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. Bwana akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga. ”
— Mwanzo 4:15
Inamaana watu walikuwepo tofauti na uzao wa Adam
4). Mwanzo 4
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁶ Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana, akakaa katika nchi ya Nodi, mbele ya Edeni.
¹⁷ Kaini akamjua mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Henoko; akajenga mji akauita Henoko, kwa jina la mwanawe.
 
HOJA YA MSINGI

“Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, na baadae Seth, Je, mke wa Kaini alitoka wapi?”
Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa, na kwenye hii mada tutajibu hili swali linalo wachanga sana watu.
MUKTASARI:
Katika Mwanzo sura ya 3 na ya 4 tunapata habari zifuatazo:

(1) Hawa alikuwa “mama ya kila mtu anayeishi.”

(2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu.

(3) Baada ya kufukuzwa na kuwa “mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,” Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ‘mtu yeyote akakutana naye’ na kujaribu kumuua. [Angalia hoja hapa "Kaini anaogopa kuuwawa na watu wengine"] Hapa panaonyesha kuwa Kaini alikuwa na ndugu wengine.

(4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. Kumbe basi Kaini alikuwa na ndugu wengine zaidi ya Abel na Seth.

(5) “Baadaye” Kaini alilala na mke wake “katika nchi ya Ukimbizi.”—Mwanzo 3:20; 4:3, 12, 14-17.

Naomba majibu tafadhari.
Nitakujibu kwa kadri ya uwezo wangu na uelewa wangu , Ipo hivi shetani alipoangushwa kutoka mbinguni alishuka na nusu ya malaika na kutupwa Duniani,
𝐰𝐚𝐥𝐞 𝐦𝐚𝐥𝐚𝐢𝐤𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐩𝐨𝐬𝐡𝐮𝐤𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐢𝐭𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐣𝐢𝐭𝐮, 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐥𝐢𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐞𝐟𝐮 𝐧𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐛𝐢𝐧𝐭𝐢 𝐲𝐚𝐥𝐢𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚,
Tuje kwenye swali lako: kaini alipo muua ndugu yake Abel alikimbia nchi ya mbali ambapo huko alikutana ma majitu akaoa mabinti zao na kuwa na kizazi huko, Hapo ndipo yalipatikana magoriati na wafiristi

𝐮𝐧𝐚𝐩𝐨𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐦𝐳𝐢𝐚 𝐛𝐮𝐬𝐭𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐞𝐝𝐞𝐧𝐢 𝐡𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐳𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐡𝐚𝐩𝐚𝐧𝐚, 𝐛𝐮𝐬𝐭𝐚𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐞𝐝𝐞𝐧𝐢 𝐢𝐧𝐚𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐚𝐥𝐢𝐢𝐭𝐞𝐧𝐠𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐝𝐚𝐦𝐮 𝐰𝐞𝐦𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐬𝐢𝐨 𝐭𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐝𝐡𝐚𝐦𝐛𝐢.

𝐬𝐨𝐫𝐫𝐲 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐩𝐚 𝐮𝐬𝐡𝐚𝐡𝐢𝐝𝐢 𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐝𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐦𝐬𝐭𝐚𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐚𝐲𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐟𝐮𝐧𝐠𝐮𝐚 𝐛𝐢𝐛𝐥𝐞 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐢𝐚 𝐢𝐥𝐚 𝐧𝐢𝐧𝐚𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐝𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐡𝐚𝐲𝐨
 
Ustusumbue humu...Cain alikuwa ni mtoto wa shetani palee Hawa alipoliwa tunda la katikati ya Bustani je unapajua alipoliwa??...basi ndo alipoliwa hapo... tunda safi na tamu ........ hapo ikamea Mimba ya Cain ndo maana alikuwa Muuaji Bila kujali km Babaye!......



CAIN ALIWOWA WAPI... SI KWAO!!;

Mkuu wa Ulimwengu alikuwa tayari yumo humu ulimwenguni na watoto wake pia wengi tu walikuwepo, ambao hao hawakuwa wakiishi bustanini ....so cain alitoka Bustanini kuelekea Mashariki ya kaskazini, akawowa hao wana wa Mkuu wa ulimwengu ndo hao hao!! walio muua Yesu!

ndo hao hao! watakao sababisha vita ya Almagedon! NWO, Alama ya mnyama ndo hao hao! na hii 666, ndo hao hao waliotabiriwa na king James kuwa Tawala zenye nguvu Duniani zitatokea kaskazini, ndo hao hao!! walio jitokeza kwa ndoto ya Nabii Daniel nk!

kumbuka Nefilim walikuwepo kabla na baada ya gharika......mpaka leo hii wapo je unawajua??......nakupa home work!
Upo sahihi mkuu, jibu zuri
 
Kutokana na Biblia, "Mwz: 1:27 ....... Mungu alimwumba mwanamume na mwanamke aliwaumba". Kwa maana aliwafinyanga.

Vilevile "Mwz: 2:21, Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito nae akalala, kisha akatwaa ubavu wake mmoja akafunika nyama mahali pake. 22 na ule ubavu alioutoa kwa Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke akamleta kwa Adamu. 23 Adamu akasema SASA huyu ni mifupa katika mifupa yangu na nyama katika nyama yangu basi ataitwa mwanamke kwasababu ametwaliwa katika mwanamume".

Hapa inaonekana wazi kuwa uumbaji wa wanawake hawa 2 ulikuwa tofauti. Wakwanza ambaye anajulika kwa jina la Lilith (kwa mujibu wa waandishi mbalimbali kutoka kwenye Google) huyu aliumbwa kwa kufinyangwa sawa na Adamu. Hivyo hakumtii Adamu kwakuwa walikuwa sawa hakuona sababu ya kuwa chini ya Adamu.

Usawa unaodaiwa na wanawake siku hizi ulianzia hapo. Baada ya kuto kuelewana Lilith liondoka na kumuacha Adamu. Alikwenda kuolewa na Malaika Mkuu aliyeasi Mbinguni na kutupwa Duniani. Hivyo walizaa watoto (uzao wa uasi).

Kipindi hicho Adamu alibaki peke yake Bustanini. Ndipo Mungu hakuona vyema akamtengenezea mwanamke kutoka katika ubavu wake. Pia tunaona neno alilolitamka Adamu baada ya kupewa mwanamke "SASA" linaonyesha wazi kuwa kulikuwa na mwanamke wakwanza ambaye hakuridhika nae ila huyu wa SASA ndiye aliridhika nae.

Baadae ndipo walipo danganywa na Ibilisi (Nyoka) wakafukuzwa Bustanini. Wakaenda kuanzisha familia ambapo walimzaa Kaini na Abili na wengine Kaini alimuua Abili baada sadaka yake kukataliwa na Bwana Mungu. Nae Mungu alimlaani akatoka katika familia ya Adamu. Ndiyo baadae alienda kuoa. Alimuoa binti kutoka kwa mwanamke Lilith na Ibilisi, Uzao wao ni wa uasi maana wao walimuasi Mungu. Uzao huu ni mwingi na umembatana na Mambo kama mauaji, ngono, wizi, choyo, ubinafsi kutawaliwa na fedha badala ya kuitawala fedha, dhuluma, uonevu n.k uzao huu ni zao wa laana, ambao ni wengi hata sasa.

Na uzao wa Adamu na Hawa ni uzao wenye Baraka za Mungu. Umejaa upendo uvumilivu, kuchukuliana, staha yaani mambo yote mema yaliambatana na uzo huu wa Adamu na Hawa, ambao ni wachache hata sasa.

Sasa hebu tujingalie sisi tupo kwenye uzao gani wa Lilith na Ibilisi au Adamu na Hawa? Maana DNA zao tunzo na zitaendelea vizazi kwa vizazi. Naamini utakuwa umepata jibu la swali lako la "KAINI ALIPATA WAPI MKE"
 
Pili Kain alienda mbali alikooa huko huko
Hapa linaibuka swali jingine tena kuhusu Land of nod

The land of Nod was where Cain settled after he was punished by God for the murder of his brother Abel (Genesis 4:8). The Bible reads, “Then Cain went away from the presence of the LORD and settled in the land of Nod, east of Eden” (Genesis 4:16). No one knows where the land of Nod was located, only that it was east of Eden. The Bible does not mention the land of Nod again.
 
Back
Top Bottom