Kainerugaba yye ndie fisadi wa elimu

Mtoto wa jiji

Member
Feb 9, 2010
15
0
Nimesoma kitabu cha Kainerugaba Msemakweli nikagundua kuwa yeye ndo Fisadi wa elimu kwa sababu zifuatazo:
1. Anasema ni mwanasheria wakati hana hata uwezo wa kuandika kiswahili kilichonyooka
2. Anasema ni msomi wakati ameandiska kitabu bila kufuata misingi ya kiuandishi, yaani kufanya utafiti. yeye amepachika kashfa tu kwenye hako kajitabu.
3. Hajatueleza methodology aliotumia
Sawa tuseme hao anaowatuhumu ni mafisadi wa elimu. Je amejishughulisha ku-contact vyuo walivyosoma kuona kama vinatambulika na TCU? etc?

Watanzania tusishabikie uoza, vichaa watakuwa wanaibuka wana-chafua watu. We have to speak out!
Huyu Kainegugaba ni unguided missile au overt Ze Utam,
 
Mtoto wa jiji Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png

green.png

green_right.png
Join Date: Tue Feb 2010
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

report.gif
Report Post
subscribe.gif
Subscription


Wenye akili tumeishajua wewe ni nani! Ungekuwa na umakini ungerudi shuleni ukaanza masomo yako upya ndo maana umetajwa na huyu bwana Kainerugamba! Vingenevyo acha kutetea mafisadi wa Elimu Tanzania.
 
Nimesoma kitabu cha Kainerugaba Msemakweli nikagundua kuwa yeye ndo Fisadi wa elimu kwa sababu zifuatazo:
1. Anasema ni mwanasheria wakati hana hata uwezo wa kuandika kiswahili kilichonyooka
2. Anasema ni msomi wakati ameandiska kitabu bila kufuata misingi ya kiuandishi, yaani kufanya utafiti. yeye amepachika kashfa tu kwenye hako kajitabu.
3. Hajatueleza methodology aliotumia
Sawa tuseme hao anaowatuhumu ni mafisadi wa elimu. Je amejishughulisha ku-contact vyuo walivyosoma kuona kama vinatambulika na TCU? etc?

Watanzania tusishabikie uoza, vichaa watakuwa wanaibuka wana-chafua watu. We have to speak out!

Huyu Kainegugaba ni unguided missile au overt Ze Utam,

Wee!! Kwa nini usiwashauri hao waliosemwa ni mafisadi wa elimu kumpeleka mahakamani kwa kuwa hajaeleza methodology aliyotumia. Wewe una uhakika kwamba huyu Bwana hakuwasiliana na TCU? Nina wasiwasi na motive behind this posting!!!!

Tiba
 
Mtoto wa jiji it seems ni mtoto wa mfisadi wa elimu.Jamaa ameandika,kama ameandika uongo kuna rule of law,mafeki wote watamsue!
Hatuna investigative journalists,maana scandal zote Bot,Meremeta,deep green,rite etc
zingekuwa tayari vitabuni.
 
Nimesoma kitabu cha Kainerugaba Msemakweli nikagundua kuwa yeye ndo Fisadi wa elimu kwa sababu zifuatazo:
1. Anasema ni mwanasheria wakati hana hata uwezo wa kuandika kiswahili kilichonyooka
2. Anasema ni msomi wakati ameandiska kitabu bila kufuata misingi ya kiuandishi, yaani kufanya utafiti. yeye amepachika kashfa tu kwenye hako kajitabu.
3. Hajatueleza methodology aliotumia
Sawa tuseme hao anaowatuhumu ni mafisadi wa elimu. Je amejishughulisha ku-contact vyuo walivyosoma kuona kama vinatambulika na TCU? etc?

Watanzania tusishabikie uoza, vichaa watakuwa wanaibuka wana-chafua watu. We have to speak out!
Huyu Kainegugaba ni unguided missile au overt Ze Utam,

ka kojoe ulale mtoto!Umezidwa
 
Mtoto wa jiji Junior Member

red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png


green.png

green_right.png
Join Date: Tue Feb 2010
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

report.gif
Report Post
subscribe.gif
Subscription


Wenye akili tumeishajua wewe ni nani! Ungekuwa na umakini ungerudi shuleni ukaanza masomo yako upya ndo maana umetajwa na huyu bwana Kainerugamba! Vingenevyo acha kutetea mafisadi wa Elimu Tanzania.

yes masa, katumwa huyu na amekuja kwa ajili hii tu, kamaliza kazi hutamuona tena!!!!!!!!!!!!!!!!

mwaka wa uchaguzi huu, mafisadi wanajisafisha kwa kasi kabla ya october!!!!!!!!
 
Bwa ha ha ha..naona mkuki umechoma kwenyewe.

Kuandika Kiswahili kunahusiana vipi na UANASHERIA??
 
Huko kwenu mnasoma sheria kwa kiswahili!
Wewe ni mpenzi wa pombe gani? Mnazi huharibu utumbo na akili pia!!
 
Huyo jamaa na post yake moja, hakuna haja ya kuusumbua ubongo wangu kufikiri eti ni nani, hao ndo wale wale wa degree za online!
 
Wanaomtetea Kainerugaba ni mafisadi wa elimu pia. Yaani wana vyeti ambavyo havi reflect uwezo wao kichwani. Mtu ambaye hawezi ku spell laissez-faire kweli ana degree ya Sheria? aliandika Kikwete is a laizer-fair president. Ukisoma kitabu utadhani kimeandikwa na mtoto aliefeli Form two. Kwahiyo yeye ni fisadi wa elimu, ali-fisidi degree wakati yeye standard yake ni form two. [eriod
 
Nimesoma kitabu cha Kainerugaba Msemakweli nikagundua kuwa yeye ndo Fisadi wa elimu kwa sababu zifuatazo:
1. Anasema ni mwanasheria wakati hana hata uwezo wa kuandika kiswahili kilichonyooka
2. Anasema ni msomi wakati ameandiska kitabu bila kufuata misingi ya kiuandishi, yaani kufanya utafiti. yeye amepachika kashfa tu kwenye hako kajitabu.
3. Hajatueleza methodology aliotumia
Sawa tuseme hao anaowatuhumu ni mafisadi wa elimu. Je amejishughulisha ku-contact vyuo walivyosoma kuona kama vinatambulika na TCU? etc?

Watanzania tusishabikie uoza, vichaa watakuwa wanaibuka wana-chafua watu. We have to speak out!
Huyu Kainegugaba ni unguided missile au overt Ze Utam,

Huna hata aibu?? Huyo aliyekulipa vijisenti uje uweke upupu hapa JF mwambie amechemka. Kama wewe ni miongoni mwa akina lukuvi pole!!!

Lakini si uende mahakamani kama amekuonea???
 
Wanaomtetea Kainerugaba ni mafisadi wa elimu pia. Yaani wana vyeti ambavyo havi reflect uwezo wao kichwani. Mtu ambaye hawezi ku spell laissez-faire kweli ana degree ya Sheria? aliandika Kikwete is a laizer-fair president. Ukisoma kitabu utadhani kimeandikwa na mtoto aliefeli Form two. Kwahiyo yeye ni fisadi wa elimu, ali-fisidi degree wakati yeye standard yake ni form two. [eriod

Mkuu umeijua JF lini??
 
Nimesoma kitabu cha Kainerugaba Msemakweli nikagundua kuwa yeye ndo Fisadi wa elimu kwa sababu zifuatazo:
1. Anasema ni mwanasheria wakati hana hata uwezo wa kuandika kiswahili kilichonyooka
2. Anasema ni msomi wakati ameandiska kitabu bila kufuata misingi ya kiuandishi, yaani kufanya utafiti. yeye amepachika kashfa tu kwenye hako kajitabu.
3. Hajatueleza methodology aliotumia
Sawa tuseme hao anaowatuhumu ni mafisadi wa elimu. Je amejishughulisha ku-contact vyuo walivyosoma kuona kama vinatambulika na TCU? etc?

Watanzania tusishabikie uoza, vichaa watakuwa wanaibuka wana-chafua watu. We have to speak out!
Huyu Kainegugaba ni unguided missile au overt Ze Utam,

Mkaine akashengo....omurangira abakwasire kubi!!
 
Wanaomtetea Kainerugaba ni mafisadi wa elimu pia. Yaani wana vyeti ambavyo havi reflect uwezo wao kichwani. Mtu ambaye hawezi ku spell laissez-faire kweli ana degree ya Sheria? aliandika Kikwete is a laizer-fair president. Ukisoma kitabu utadhani kimeandikwa na mtoto aliefeli Form two. Kwahiyo yeye ni fisadi wa elimu, ali-fisidi degree wakati yeye standard yake ni form two. [eriod
spelling ikikosewa haina uhusiano na kisomo au akili ya mtu. inategemea na mchapaji na editor na ndiyo maana huwa kuna editions zinazofuata baada ya edition ya kwanza na editions hizi huwa zinarekebisha makosa madomadogo za edition ya awali na kuweka nyongeza kama zitakuwepo au kuondoa zingine kama zipo......
 
Mwandishi wa kitabu ametoa First Edition, ndio kitabu kina mapungufu mengi ukizingatia mukadha wa uandishi wa kitabu. Naona mwandishi alikuwa ametiwa shime sana kuhakikisha wananchi amabo ndi wapiga kura kuwa wajue ukweli kuhusu viongozi wanaotawala na kwa hilo amefanikiwa.
Ni marekebisho muhimiu yanatotakiwa ayafanye pindi atakapo toa second Edition ili kiwe bora zaidi na pia anahitataji msaada wa kimawazo katika hili na huo ndi umuhimu wa uchambuzi wa vitabu.
Mwisho nampongeza mwandishi kwa kazi aliyoifanya amejitahidi kukusanya taarifa husika kwa kadiri ya uwezo na muda alioupata pia apite kwenye taasisi zetu za elimu kwani pia kuna waalimu wabaishaji sana.
 
Na inawezekana kabisa makosa yalitokana na spidi ya kuanika mambo hadharani, kabla mafisadi wa elimu hawajamdhuru. Cha muhimu hapa ni kuangalia maudhui yaliyomo kwenye kitabu; "Je, wamesingiziwa?" Kama ndiyo, waende Kisutu.
 
Back
Top Bottom