M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Leo nimepata bahati ya kusoma kile kitabu cha Orodha ya Mafisadi wa Elimu Toleo la kwanza kilichoandikwa na Bw. Kainerugaba Msemakweli.,humo amewaandika waheshimiwa wote ambao wanatuhumiwa kuwa wameghushi sifa zao za taaluma tena kwa kinaga ubaga.,paliponichekesha sana ni katika pg. ya 19 na 20 alipokuwa akimzungumzia Dr. Mary Nagu, I quote....
"......anafanya yote haya akiwa anajua kuwa boss wake Rais Kikwete ni Laiser Affair President, anajua kuwa rais wetu hana muda wa kushughulikia mafisadi wa ndani kwa sababu muda mwingi yupo safarini Ulaya na Amerika.
Rais Kikwete amesafiri dunia hii kuliko Vasco Da Gama wa Ureno aliyegundua Cape Town ya Afrika ya Kusini, Mombasa na India. Kwa safari amempiku Christopher Columbus aliyegundua Amerika...."
Kwa kweli paragraph hii imenifurahisha sana,lakini pamoja na hilo ikanifanya nifikirie upya safari za Mheshimiwa.,inawezekana kweli anazunguka sana dunia na kusahau matatizo ya ndani?.,yeyote anaweza kunisaidia kunijuza ni kitu gani 'tangible' ambacho sisi kama wananchi tumeishanufaika nacho kutokana na hizi trips......?
"......anafanya yote haya akiwa anajua kuwa boss wake Rais Kikwete ni Laiser Affair President, anajua kuwa rais wetu hana muda wa kushughulikia mafisadi wa ndani kwa sababu muda mwingi yupo safarini Ulaya na Amerika.
Rais Kikwete amesafiri dunia hii kuliko Vasco Da Gama wa Ureno aliyegundua Cape Town ya Afrika ya Kusini, Mombasa na India. Kwa safari amempiku Christopher Columbus aliyegundua Amerika...."
Kwa kweli paragraph hii imenifurahisha sana,lakini pamoja na hilo ikanifanya nifikirie upya safari za Mheshimiwa.,inawezekana kweli anazunguka sana dunia na kusahau matatizo ya ndani?.,yeyote anaweza kunisaidia kunijuza ni kitu gani 'tangible' ambacho sisi kama wananchi tumeishanufaika nacho kutokana na hizi trips......?