Kaimu Postamaster Mbodo afanya kikao na viongozi wa vyama vya wafanyakazi wa Shirika la Posta

PendoLyimo

JF-Expert Member
Sep 30, 2014
878
955
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Bwana Macrice Daniel Mbodo Leo tarehe 17 Julai ,2021 amefanya kikao na Viongozi wa vyama vya Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania Bara na Zanzibar.

Bwana Mbodo ametumia nafasi hiyo kuelezea mkakati wa kukuza biashara za Shirika na mpango wa mwaka 2021/2022 pia amewaeleza mwelekeo wa utendaji katika kipindi hiki Cha dijitali na Namna ya kujipanga kiutekelezaji.

Kikao hicho kimefanyika
Ukumbi wa Bodi, Posta house, jijini Dar es Salaam.

IMG-20210717-WA0087.jpg
IMG-20210717-WA0089.jpg
IMG-20210717-WA0091.jpg
IMG-20210717-WA0088.jpg
IMG-20210717-WA0086.jpg
IMG-20210717-WA0090.jpg
IMG-20210717-WA0093.jpg
IMG-20210717-WA0094.jpg
IMG-20210717-WA0096.jpg
 
Yaan shirika la Posta kulizungumzia kwa hali ilivyo sasa ni sawa na kuzungumzia analogia kwenye ulimwengu wa digitali
 
Ahaaaaaa usikute hii tozo gandamizi ni mpango mkakati wa serikali ya awamu ya6 kulifufua posta na sim kwa kupora miamala ya kiditali kutoka kwenye makampuni ya voda, airtel, tigo etc
 
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Bwana Macrice Daniel Mbodo Leo tarehe 17 Julai ,2021 amefanya kikao na Viongozi wa vyama vya Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania Bara na Zanzibar.

Bwana Mbodo ametumia nafasi hiyo kuelezea mkakati wa kukuza biashara za Shirika na mpango wa mwaka 2021/2022 pia amewaeleza mwelekeo wa utendaji katika kipindi hiki Cha dijitali na Namna ya kujipanga kiutekelezaji.

Kikao hicho kimefanyika
Ukumbi wa Bodi, Posta house, jijini Dar es Salaam.

View attachment 1856988View attachment 1856989View attachment 1856991View attachment 1856995View attachment 1856993View attachment 1856994View attachment 1856996View attachment 1856997View attachment 1856998
Nafasi ya PostaMaster ipo wazi
 
Nafasi ya PostaMaster ipo wazi
Ndugu Kaimu Postamasta, Posta mmegoma kunilipa fidia au thamani ya mzigo niliotuma lakini haukufika unakotakiwa kwenda, niliwasilisha malalamiko mwaka 2018 mpaka leo mmekausha kabisa.. tracking number RR007422122TZ, tafadhali fanya kunilipa.
 
Ndugu Kaimu Postamasta, Posta mmegoma kunilipa fidia au thamani ya mzigo niliotuma lakini haukufika unakotakiwa kwenda, niliwasilisha malalamiko mwaka 2018 mpaka leo mmekausha kabisa.. tracking number RR007422122TZ, tafadhali fanya kunilipa.
Nenda kwenye website yao kisha tuma email ya malalamiko kwenye email address walioiweka pale
 
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Bwana Macrice Daniel Mbodo Leo tarehe 17 Julai ,2021 amefanya kikao na Viongozi wa vyama vya Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania Bara na Zanzibar.

Bwana Mbodo ametumia nafasi hiyo kuelezea mkakati wa kukuza biashara za Shirika na mpango wa mwaka 2021/2022 pia amewaeleza mwelekeo wa utendaji katika kipindi hiki Cha dijitali na Namna ya kujipanga kiutekelezaji.

Kikao hicho kimefanyika
Ukumbi wa Bodi, Posta house, jijini Dar es Salaam.

View attachment 1856988View attachment 1856989View attachment 1856991View attachment 1856995View attachment 1856993View attachment 1856994View attachment 1856996View attachment 1856997View attachment 1856998
Huyu Jamaa yuko vizuri...


P
 
Yaan shirika la Posta kulizungumzia kwa hali ilivyo sasa ni sawa na kuzungumzia analogia kwenye ulimwengu wa digitali
Institutional memory ya Shirika hili inaweza kusaidia kuelewa malalamiko ya sasa ya gharama za utumaji fedha kwa njia ya simu. Tukitafakari kuwa wakati wa mageuzi ya kiuchumi mwanzoni mwa miaka ya 90 uwekaji wa mifumo ya udhibiti (regulatory framework) hususan ktk huduma za kifedha na mawasiliano haukuzingatia sana suala la gharama za huduma hizi. Kiukweli hili ni tatizo la mda mrefu,licha ya maendeleo ya ICT ambayo yangelipunguza makali yake, ila limeshtua kwa sasa kutokana na kuwa la mpigo na kutangazwa.
 
Nenda kwenye website yao kisha tuma email ya malalamiko kwenye email address walioiweka pale
Nishafanya yote hayo, kwenye fomu ya tovuti, kwenye email zilizopo na hawakunijibu na physically nishafuatilia sana...hapa nawakumbushia tu, huenda wakaiona labda kule kwenye tovuti yao hawakuiona
 
Hakuna shirika hapo ni mfu
Nimesoma lugha ya picha tu nimeshafanya conclusion hakuna kitu. Ni usanii. Huyu jamaa anaonekana ni aina ya Makonda. Sijui kwa nini Tanzania sasa hivi watu wanaamini kuchapa kazi ni kupiga picha ukionyesha utendaji wa kisanii. Hata hao waliovaa hijab hizo picha ni mkakati maalum wa ''kutaka kuonekana'' au watoto wa mjini wanasema ''ntokeje''
 
Huyu Jamaa yuko vizuri...


P

Msanii huyu. Mimi naamini kipaji changu cha kusoma watu wachapa kazi real vs watu aina ya Makonda a.ka kina ..''n'tokeje''. Nikitumia utaalam wangu wa ''mambo ya nyakati'' nilioupata nchini Yugoslavia enzi zile nimegundua hata hizo picha zenye wanawake wenye hijab ni namna tu ya ''kwenda na wakati uliopo'' ili ''nionekane''
 
Back
Top Bottom